< Filipským 4 >
1 A tak, bratří moji milí a přežádoucí, radost a koruno má, tak stůjte v Pánu, milí.
Kwa hiyo wapendwa wangu, ambao nawatamani, ambao ni furaha na taji yangu. Simameni imara katika Bwana, enyi rafiki wapendwa.
2 Evody prosím, i Syntychény prosím, aby jednostejně smyslily v Pánu.
Ninakusihi wewe Eudia, pia ninakusihi wewe Sintike, mrejeshe mahusiano ya amani kati yenu, kwa sababu ninyi, nyote wawili mliungana na Bwana.
3 Ano i tebe prosím, tovaryši můj vlastní, budiž jim pomocen, kteréžto v evangelium spolu se mnou pracovaly, i spolu s Klimentem a s jinými pomocníky mými, jejichž jména jsou v knize života.
Kwa kweli, niwasihi pia ninyi watenda kazi wenzangu, muwasaidie hawa wanawake kwa kuwa walitumika pamoja na mimi katika kueneza injili ya Bwana tukiwa na Kelementi pamoja na watumishi wengine wa Bwana, ambao majina yao yameandikwa katika kitabu cha uzima.
4 Radujte se v Pánu vždycky; opět pravím, radujte se.
katika Bwana siku zote. tena nitasema, furahini.
5 Mírnost vaše známa buď všechněm lidem. Pán blízko.
Upole wenu na ujulikane kwa watu wote. Bwana yuko karibu.
6 O nic nebuďte pečliví, ale ve všech věcech skrze modlitbu a poníženou žádost s díků činěním prosby vaše známy buďte Bohu.
Msijisumbue kwa jambo lolote. Badala yake, fanyeni mambo yenu yote kwa njia ya kusali, kuomba na kushukuru. Na mahitaji yenu yajulikane kwa Mungu.
7 A pokoj Boží, kterýž převyšuje všeliký rozum, hájiti bude srdcí vašich i smyslů vašich v Kristu Ježíši.
Basi amani ya Bwana iliyo kuu kuliko ufahamu wote, italinda mioyo na mawazo yenu kwa msaad Kristo Yesu.
8 Dále pak, bratří, kterékoli věci jsou pravé, kterékoli poctivé, kterékoli spravedlivé, kterékoli čisté, kterékoli milé, kterékoli dobropověstné, jestli která ctnost, a jestli která chvála, o těch věcech přemyšlujte.
Hatimaye, ndugu zangu; yatakafarini sana mambo yote yenye ukweli, heshima, haki, usafi, upendo, na yale yenye taarifa njema, yenye busara, pamoja na yale yanayohitaji kusifiwa.
9 Kterýmž jste se i naučili, je i přijali, a slyšeli i viděli na mně. Ty věci čiňte, a Bůh pokoje budeť s vámi.
Yatekelezeni mambo yale mliojifunza, mliyopokea mliyoyasikia na yale mliyoyaona kwangu naye Baba yetu wa amani atakuwa nanyi.
10 Zradoval jsem se v Pánu velice, že již opět zase rozzelenala se péče vaše o mne. Načež však byli jste myslili, ale nedostalo se vám příhodného času.
Ninayo furaha kubwa sana juu yenu katika Bwana kwa kuwa ninyi mmeonyesha tena nia ya kujihusisha kwenu juu ya mahitaji yangu. Kwa kweli, hapo awali mlitamani kunijali kwa mahitaji yangu japo hamkupata fursa ya kunisaidia.
11 Ne proto, že bych jakou nouzi měl, toto pravím; nebo já naučil jsem se dosti míti na tom, což mám.
Sisemi hivyo ili kujipatia kitu kwa ajili ya mahitaji yangu. Kwani nimejifunza kuridhika katika hali zote.
12 Umímť i snížen býti, umím také i hojnost míti; všudy a ve všech věcech pocvičen jsem, i nasycen býti i lačněti, totiž hojnost míti i nouzi trpěti.
Nafahamu kuishi katika hali ya kupungukiwa na pia katika hali ya kuwa na vingi. Katika mazingira yote haya mimi nimejifunza siri ya namna ya kula wakati wa shibe na jinsi ya kula wakati wa njaa, yaani vingi na kuwa mhihtaji.
13 Všecko mohu v Kristu, kterýž mne posiluje.
Ninaweza kufanya haya kwa kuwezeshwa na Yeye anitiaye nguvu.
14 A však dobře jste učinili, obcovavše mému ssoužení.
Hata hivyo, mlifanya vyema kushiriki nami katika dhiki zangu.
15 Víte pak i vy, Filipenští, že při počátku evangelium, když jsem šel z Macedonie, žádný zbor neudělil mi z strany dání a vzetí, než vy sami.
Ninyi wafilipi mnafahamu kwamba mwanzo wa injili nilipoondoka Makedonia, hakuna Kanisa lililoniwezesha katika mambo yanayohusu utoaji na kupokea isipokuwa ninyi pekee yenu.
16 Ano i do Tessaloniky jednou i podruhé, čehož jsem potřeboval, poslali jste mi.
Hata nilipokuwa Thesaslonika, ninyi mlinitumia msaada zaidi ya mara moja kwa ajili ya mahitaji yangu.
17 Ne proto že bych hledal darů, ale hledám užitku hojného k vašemu prospěchu.
Simaanishi kwamba natafuta msaada. Bali nasema ili mpate matunda yaletayo faida kwenu.
18 Přijalť jsem pak všecko, a hojněť mám, naplněnť jsem, vzav od Epafrodita to, což posláno od vás, vůni sladkosti, obět vzácnou a libou Bohu.
Nimepokea vitu vyote, na sasa nimejazwa na vitu vingi. Nimepokea vitu vyenu kutoka kwa Epafradito. Ni vitu vizuri vyenye kunukia mithiri ya manukato, vyenye kukubalika ambavyo vyote ni sadaka inayompendeza Mungu.
19 Bůh pak můj naplníť všelikou potřebu vaši podlé bohatství svého slavně v Kristu Ježíši.
Kwa ajili hiyo, Mungu wangu atawajazeni mahitaji yenu kwa utajiri wa utukufu wake katikaYesu Kristo.
20 Bohu pak a Otci našemu sláva na věky věků. Amen. (aiōn )
Sasa kwa Mungu na Baba yetu uwe utukufu milele na milele. Amina. (aiōn )
21 Pozdravtež všech svatých v Kristu Ježíši. Pozdravujíť vás bratří, kteříž jsou se mnou.
Salamu zangu zimfikie kila muumini katika Kristo Yesu. Wapendwa nilio nao hapa wanawasalimieni.
22 Pozdravujíť vás všickni svatí, zvláště pak ti, kteříž jsou z domu císařova.
Pia waumini wote hapa wanawasalimieni, hususani wale wa familia ya Kaisari.
23 Milost Pána našeho Jezukrista se všechněmi vámi. Amen.
Na sasa neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe na roho zenu.