< Marek 8 >

1 V těch dnech když velmi veliký zástup byl, a neměli, co by jedli, svolav Ježíš učedlníky své, řekl jim:
Katika siku hizo, umati mkubwa wa watu ulikusanyika tena. Kwa kuwa walikuwa hawana chakula, Yesu akawaita wanafunzi wake akawaambia,
2 Lítost mám nad zástupy; nebo již tři dni trvají se mnou, a nemají, co by jedli.
“Ninauhurumia huu umati wa watu, kwa sababu sasa wamekuwa nami kwa muda wa siku tatu na hawana chakula.
3 A rozpustím-li je lačné do domů jejich, zhynou na cestě; nebo někteří z nich zdaleka přišli.
Nikiwaaga waende nyumbani bila kula, watazimia njiani kwa sababu baadhi yao wametoka mbali.”
4 Odpověděli mu učedlníci jeho: I odkud bude moci kdo tyto nakrmiti chleby zde na poušti?
Wanafunzi wake wakamjibu, “Lakini hapa nyikani tutapata wapi mikate ya kutosha kuwalisha?”
5 I otázal se jich: Kolik máte chlebů? A oni řekli: Sedm.
Yesu akawauliza, “Mna mikate mingapi?” Wakajibu, “Tuna mikate saba.”
6 I kázal zástupu posaditi se na zemi. A vzav těch sedm chlebů, díky učiniv, lámal a dával učedlníkům svým, aby předkládali. I kladli před zástup.
Akawaambia watu waketi chini. Akiisha kuichukua mikate saba na kushukuru, akaimega na kuwapa wanafunzi wake ili wawagawie watu. Wanafunzi wake wakafanya hivyo.
7 A měli rybiček maličko. Jichž požehnav, kázal i ty před ně klásti.
Walikuwa pia na visamaki vichache, Yesu akavibariki, akawaamuru wanafunzi wake wawagawie watu.
8 I jedli a nasyceni jsou; a sebrali, což pozůstalo drobtů, sedm košů.
Wale watu walikula na kutosheka. Baadaye wanafunzi wakakusanya vipande vilivyosalia, wakajaza vikapu saba.
9 Těch pak, kteříž jedli, bylo okolo čtyř tisíců. I propustil je.
Watu waliokula walikuwa wapata 4,000. Akiisha kuwaaga,
10 Potom hned vstoupiv na lodí s učedlníky svými, přeplavil se do krajin Dalmanutských.
aliingia kwenye mashua pamoja na wanafunzi wake, akaenda sehemu za Dalmanutha.
11 I vyšli farizeové, a počali se s ním hádati, hledajíce od něho znamení s nebe, pokoušejíce ho.
Mafarisayo wakaja, wakaanza kumhoji Yesu. Ili kumtega, wakamwomba awaonyeshe ishara kutoka mbinguni.
12 A on vzdech duchem svým, dí: Co pokolení toto znamení hledá? Amen pravím vám: Nebude dáno znamení pokolení tomuto.
Akahuzunika moyoni, akawaambia, “Kwa nini kizazi hiki kinataka ishara? Amin nawaambieni, hakitapewa ishara yoyote.”
13 A opustiv je, vstoupil zase na lodí, i plavil se dále.
Kisha akawaacha, akarudi kwenye mashua, akavuka hadi ngʼambo.
14 I zapomenuli s sebou vzíti chlebů, a neměli než jeden chléb s sebou na lodí.
Wanafunzi walikuwa wamesahau kuchukua mikate ya kutosha. Walikuwa na mkate mmoja tu kwenye mashua.
15 Tedy přikazoval jim, řka: Vizte a pilně se šetřte kvasu farizejského a kvasu Heródesova.
Yesu akawaonya: “Jihadharini na chachu ya Mafarisayo na ya Herode.”
16 I přemyšlovali, řkouce jeden k druhému: Chleba nemáme.
Wakajadiliana wao kwa wao, na kusema, “Anasema hivi kwa sababu hatukuleta mikate.”
17 A znaje to Ježíš, řekl jim: Co přemyšlujete o tom, že chleba nemáte? Ještě neznáte, ani nerozumíte? Ještě máte oslepené své srdce?
Yesu, akifahamu majadiliano yao, akawauliza: “Mbona mnajadiliana kuhusu kutokuwa na mikate? Je, bado hamtambui wala hamwelewi? Je, mbona mioyo yenu ni migumu kiasi hicho?
18 Oči majíce, nevidíte? A uši majíce, neslyšíte? A nepomníte,
Je, mna macho lakini mnashindwa kuona, na mna masikio lakini mnashindwa kusikia? Je, hamkumbuki?
19 Že jsem pět chlebů lámal mezi pět tisíců? Kolik jste plných košů drobtů sebrali? Řekli jemu: Dvanácte.
Nilipoimega ile mikate mitano kuwalisha watu 5,000, mlikusanya vikapu vingapi vilivyojaa vya masazo?” Wakamjibu, “Kumi na viwili.”
20 A když také sedm chlebů mezi čtyři tisíce, kolik jste plných košů drobtů vzali? I řkou jemu: Sedm.
“Je, nilipoimega ile mikate saba kuwalisha watu 4,000, mlikusanya vikapu vingapi vilivyojaa vya masazo?” Wakamjibu, “Saba.”
21 I řekl jim: Kterakž nerozumíte?
Ndipo akawauliza, “Je, bado hamwelewi?”
22 I přišel do Betsaidy, a přivedli k němu slepého, prosíce ho, aby se ho dotekl.
Wakafika Bethsaida na baadhi ya watu wakamleta mtu mmoja kipofu wakamsihi Yesu amguse.
23 I ujav toho slepého za ruku, vyvedl jej ven z městečka, a plinuv na oči jeho, a vloživ na něj ruce, otázal se ho, viděl-li by co.
Yesu akamshika mkono huyo kipofu akampeleka nje ya kijiji. Baada ya kuyatemea mate macho ya yule kipofu na kumwekea mikono, Yesu akamuuliza, “Unaona chochote?”
24 A on pohleděv zhůru, řekl: Znamenám lidi; nebo vidím, že chodí jako stromové.
Yule kipofu akaangalia, akasema, “Ninaona watu, wanaonekana kama miti inayotembea.”
25 Potom opět vložil ruce na oči jeho, a kázal mu hleděti zhůru. I uzdraven jest, tak že i zdaleka jasně viděl všecky.
Yesu akamwekea tena mikono machoni. Kisha macho yake yakafunguka, kuona kwake kukarejea naye akaona kila kitu dhahiri.
26 I odeslal jej do domu jeho, řka: Aniž do toho městečka choď, aniž komu z městečka prav.
Yesu akamuaga aende nyumbani kwake, akimwambia, “Hata kijijini usiingie.”
27 Tedy vyšel Ježíš a učedlníci jeho do městeček Cesaree Filipovy. A na cestě tázal se učedlníků svých, řka jim: Kým mne praví býti lidé?
Yesu na wanafunzi wake wakaondoka kwenda katika vijiji vya Kaisaria-Filipi. Walipokuwa njiani, Yesu akawauliza, “Watu husema mimi ni nani?”
28 Kteříž odpověděli: Janem Křtitelem, a jiní Eliášem, jiní pak jedním z proroků.
Wakamjibu, “Baadhi husema wewe ni Yohana Mbatizaji, wengine husema ni Eliya, na bado wengine husema wewe ni mmojawapo wa manabii.”
29 Tedy on řekl jim: Vy pak kým mne býti pravíte? Odpověděv Petr, řekl jemu: Ty jsi Kristus.
Akawauliza, “Je, ninyi mnasema mimi ni nani?” Petro akajibu, “Wewe ndiwe Kristo.”
30 I přikázal jim s pohrůžkou, aby o něm žádnému nepravili.
Yesu akawaonya wasimwambie mtu yeyote habari zake.
31 I počal učiti je, že Syn člověka musí mnoho trpěti, a potupen býti od starších a předních kněží a zákonníků, a zabit býti, a ve třech dnech z mrtvých vstáti.
Ndipo akaanza kuwafundisha wanafunzi wake kuwa Mwana wa Adamu lazima atapata mateso mengi na kukataliwa na wazee, viongozi wa makuhani, na walimu wa sheria, na kwamba itampasa auawe lakini baada ya siku tatu afufuke.
32 A zjevně to slovo mluvil. Protož chytiv jej Petr, počal mu domlouvati.
Aliyasema haya waziwazi, ndipo Petro akamchukua kando na akaanza kumkemea.
33 Kterýžto obrátiv se, a pohleděv na učedlníky své, přimluvil Petrovi, řka: Jdiž za mnou, satane; nebo nechápáš, co jest Božího, ale co lidského.
Lakini Yesu alipogeuka na kuwaangalia wanafunzi wake, akamkemea Petro. Akasema, “Rudi nyuma yangu, Shetani! Moyo wako hauwazi yaliyo ya Mungu, bali ya wanadamu.”
34 A svolav zástup s učedlníky svými, řekl jim: Chce-li kdo za mnou přijíti, zapři sebe sám, a vezmi kříž svůj, a následuj mne.
Ndipo akauita ule umati wa watu pamoja na wanafunzi wake, akasema, “Mtu yeyote akitaka kunifuata, ni lazima ajikane mwenyewe, auchukue msalaba wake, anifuate.
35 Nebo chtěl-li by kdo duši svou zachovati, ztratíť ji; pakli by kdo ztratil duši svou pro mne a pro evangelium, tenť ji zachová.
Kwa maana yeyote anayetaka kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote atakayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu na kwa ajili ya Injili atayaokoa.
36 Nebo co prospěje člověku, by všecken svět získal, a své duši škodu učinil?
Je, itamfaidi nini mtu kuupata ulimwengu wote, lakini akayapoteza maisha yake?
37 Aneb jakou dá člověk odměnu za duši svou?
Au mtu atatoa nini badala ya nafsi yake?
38 Nebo kdož by se koli za mne styděl a za má slova v tomto pokolení cizoložném a hříšném, i Syn člověka styděti se bude za něj, když přijde v slávě Otce svého s anděly svatými.
Mtu yeyote akinionea aibu mimi na maneno yangu katika kizazi hiki cha uzinzi na dhambi, Mwana wa Adamu naye atamwonea aibu wakati atakapokuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu.”

< Marek 8 >