< Izaiáš 18 >

1 Běda zemi zastěňující se křídly, kteráž jest při řekách země Mouřenínské,
Ole kwa nchi ya mvumo wa mabawa, kando ya mito ya Kushi,
2 Posílající po moři posly, v nástrojích z sítí po vodách, řka: Jděte, poslové rychlí, k národu rozptýlenému a zloupenému, k lidu hroznému zdávna i posavad, k národu všelijak potlačenému, jehož zemi řeky roztrhaly.
iwapelekayo wajumbe wake kwa njia ya bahari kwa mashua za mafunjo juu ya maji. Nendeni, wajumbe wepesi, kwa taifa la watu warefu wenye ngozi nyororo, kwa taifa linaloogopwa mbali na karibu, taifa gomvi lenye lugha ngeni, ambalo nchi yao imegawanywa kwa mito.
3 Všickni obyvatelé světa, a přebývající na zemi, když bude korouhev vyzdvižena na horách, uzříte, a když troubiti se bude trubou, uslyšíte.
Enyi mataifa yote ya ulimwengu, ninyi mnaoishi duniani wakati bendera itakapoinuliwa milimani, mtaiona, nayo tarumbeta itakapolia, mtaisikia.
4 Nebo takto praví Hospodin ke mně: Spokojímť se, a podívám z příbytku svého, a budu jako teplo vysušující po dešti, a jako oblak dešťový v čas horké žně.
Hili ndilo Bwana aliloniambia: “Nitatulia kimya na kutazama kutoka maskani yangu, kama joto linalometameta katika mwanga wa jua, kama wingu la umande katika joto la wakati wa mavuno.”
5 Před vinobraním zajisté, když se vypučí pupenec, a květ vydá hrozen trpký, ještě rostoucí, tedy podřeže révíčko noži, a rozvody odejme a zpodtíná.
Kwa maana, kabla ya mavuno, wakati wa kuchanua ukishapita na maua yakawa zabibu zinazoiva, atayakata machipukizi kwa mundu wa kupogolea matawi, naye atakata na kuyaondoa matawi yaliyopanuka.
6 I budou zanecháni všickni spolu ptactvu z hor, a šelmám zemským, a bude na nich přes léto ptactvo, a všeliké šelmy zemské na nich přes zimu zůstanou.
Yote yataachwa kwa ajili ya ndege wawindao wa mlimani na wanyama pori, ndege watajilisha juu yake wakati wote wa kiangazi, nao wanyama pori wakati wote wa masika.
7 V ten čas přinesen bude dar Hospodinu zástupů ( od lidu rozptýleného a zloupeného, od lidu hrozného zdávna i posavad, národu všelijak potlačeného, jehožto zemi řeky rozchvátaly), k místu jména Hospodina zástupů, hoře Sion.
Wakati huo matoleo yataletwa kwa Bwana Mwenye Nguvu Zote kutoka kwa taifa la watu warefu wenye ngozi nyororo, kutoka kwa taifa linaloogopwa mbali na karibu, kutoka taifa gomvi lenye lugha ngeni, ambalo nchi yao imegawanywa kwa mito, matoleo yataletwa katika Mlima Sayuni, mahali pa Jina la Bwana Mwenye Nguvu Zote.

< Izaiáš 18 >