< Hozeáš 7 >
1 Když léčím Izraele, tedy zjevuje se nepravost Efraimova a zlosti Samařské; nebo provodí faleš. Vnitř zlodějství, a vně provozují loupežnictví.
Wakati wowote ninapotaka kuponya Israeli, dhambi ya Efraimu inafunuliwa, pamoja na matendo maovu ya Samaria, kwa sababu wanafanya udanganyifu; mwizi huingia, na kundi la wanyang'anyi hushambulia mitaani.
2 Aniž na to pomýšlejí v srdci svém, že na všecku nešlechetnost jejich pamatují; již je obkličují skutkové jejich, a před mým oblíčejem jsou.
Hawatambui mioyoni mwao kwamba ninakumbuka matendo yao mabaya. Sasa matendo yao huwazunguka; yapo mbele ya uso wangu.
3 Nešlechetností svou obveselují krále, a klamy svými knížata.
Kwa sababu ya uovu wao wamemfanya mfalme awe na furaha, na maofisa wao kwa uongo wao.
4 Všickni napořád cizoloží, podobni jsouce peci zanícené od pekaře, kterýž přestává bdíti, jen ažby zadělané těsto zkynulo.
Wote ni wazinzi, kama tanuru iliyochomwa na mwokaji, ambaye huacha kuuchochea moto tangu kukanda unga mpaka kuwa chachu.
5 V den krále našeho k nemoci jej přivodí knížata láhvicí vína; vztahuje ruku svou s posměvači.
Siku ya mfalme wetu, viongozi walijifanya wagonjwa na ukali wa divai. Alinyoosha mkono wake kwa wale waliokuwa wakidhihaki.
6 Nebo přiložili k úkladům svým srdce své podobné peci; celou noc spí pekař jejich, v jitře hoří jako plamen ohně.
kwa mioyo kama tanuri, wao hupanga mipango yao ya udanganyifu. Hasira zao hulala usiku wote; asubuhi huwaka juu kama moto.
7 Všickni napořád rozpáleni jsou jako pec, a zžírají soudce své; všickni králové jejich padají, aniž kdo z nich volá ke mně.
Wote wamepata moto kama tanuru, na huwaangamiza wale wanaowatawala. Wafalme wao wote wameanguka; hakuna hata mmoja wao ananiita.
8 Efraim s národy smísil se, Efraim bude chléb podpopelný neobrácený.
Efraimu anajichanganya mwenyewe kati ya watu. Efraimu ni mkate ambayo haujawahi kugeuzwa.
9 Cizozemci zžírají sílu jeho, ačkoli on toho nezná; i šedinami prokvítaje, však vždy toho nezná.
Wageni wamekula nguvu zake, lakini hajui. Nywele za mvi hunyunyiza juu yake, lakini hajui.
10 A ačkoli pýcha Izraelova svědčí vůči proti němu, však se nenavracují k Hospodinu Bohu svému, aniž ho hledají s tím se vším.
Kiburi cha Israeli kinawashuhudia; hata hivyo, hawajarudi kwa Bwana, Mungu wao, wala hawakumtafuta licha ya hayo yote.
11 A Efraim jest jako holubice hloupá bez srdce; k Egyptskému králi volají, k Assyrskému se utíkají.
Efraimu ni kama njiwa, baradhuli na asiye na busara, humwita kwenda Misri, kisha huruka kwenda Ashuru.
12 Když odejdou, roztáhnu na ně sítku svou, a jako ptactvo nebeské přitrhnu je; kárati je budu tak, jakž slýcháno bylo o tom v shromáždění jejich.
Wakienda, nitasambaza wavu wangu juu yao, nami nitawaangusha kama ndege wa angani. Nitawaadhibu katika kusonga kwao pamoja.
13 Běda jim, že jsou poběhli mne. Zpuštění na ně, proto že se mi zpronevěřili, ješto jsem já je vykoupil, ale oni mluvili proti mně lži.
Ole wao! Kwa maana wamepotea kutoka kwangu. Uharibifu unawajia! Wao wameasi dhidi yangu! Napenda kuwaokoa, lakini waliongea uongo dhidi yangu.
14 Aniž volají ke mně z srdce svého, když kvílí na ložcích svých, a když pro obilé a mest shromažďujíce se, obracejí se ke mně,
Wala hawakunililia kwa moyo wao wote, lakini wanaomboleza kwenye vitanda vyao. Wanakusanyika kwa ajili ya nafaka na divai mpya, nao wananiasi mimi.
15 Ješto já potrestav, posiloval jsem ramen jejich, ale oni proti mně zlé vymýšlejí.
Ingawa niliwafundisha na kuimarisha mikono yao, sasa wanapanga mabaya dhidi yangu.
16 Navracujíť se, ale ne k Nejvyššímu, jsou jako lučiště omylné, padají od meče knížata jejich, od rozhněvání jazyka jejich, což jim ku posměchu jest v zemi Egyptské.
Wanarudi, lakini harudi kwangu, Niliye Juu. Wao ni kama upinde usiotumainika. Maofisa wao wataanguka kwa upanga kwa sababu ya udhalimu wa vinywa. Hii itakuwa ni aibu yao katika nchi ya Misri.