< Galatským 3 >
1 Ó nemoudří Galatští, kdo vás tak zmámil, abyste nebyli povolni pravdě, kterýmž před očima Ježíš Kristus prvé byl vypsán, a mezi vámi ukřižován?
Enyi Wagalatia, mmekuwa wajinga kweli! Ni nani aliyewaloga? Habari juu ya kusulubiwa kwake Yesu Kristo ilielezwa waziwazi mbele ya macho yenu.
2 Toto bych jen rád chtěl zvěděti od vás, z skutků-li zákona Ducha jste přijali, čili z slyšení víry?
Napenda kujua tu kitu kimoja kutoka kwenu: Je, mlipokea Roho wa Mungu kwa sababu ya kutimiza matakwa ya Sheria ama kwa sababu ya kuisikia na kuiamini Habari Njema?
3 Tak nemoudří jste? Počavše Duchem, nyní tělem konáte?
Je, mu wajinga kiasi hicho? Ninyi mlianza yote kwa msaada wa Roho je, mnataka sasa kumaliza kwa nguvu zenu wenyewe?
4 Tak mnoho trpěli jste nadarmo? A ještě nadarmo-li.
Je, mambo yale yote yaliyowapata ninyi yamekuwa bure tu? Haiwezekani!
5 Ten tedy, kterýž vám dává Ducha, a činí divy mezi vámi, z skutků-li zákona, čili z slyšení víry?
Je, Mungu huwajalia Roho na kutenda miujiza kati yenu ati kwa sababu mnatimiza yanayotakiwa na sheria, ama kwa sababu mnasikia Habari Njema na kuiamini?
6 Jako Abraham uvěřil Bohu, a počteno jemu to k spravedlnosti.
Chukueni kwa mfano habari za Abrahamu: yeye alimwamini Mungu, naye Mungu akamkubali kuwa mwadilifu.
7 A tak vidíte, že ti, kteříž jsou z víry, ti jsou synové Abrahamovi.
Sasa basi jueni kwamba watu wenye kumwamini ndio walio watoto halisi wa Abrahamu.
8 Předzvěděvši pak písmo, že z víry ospravedlňuje pohany Bůh, předpovědělo Abrahamovi: Že v tobě budou požehnáni všickni národové.
Maandiko Matakatifu yalionyesha kabla kwamba Mungu atawakubali watu wa mataifa kuwa waadilifu kwa njia ya imani. Hivyo Maandiko Matakatifu yalitangulia kumtangazia Abrahamu Habari Njema: “Katika wewe mataifa yote yatabarikiwa.”
9 A tak ti, kteříž jsou z víry, docházejí požehnání s věrným Abrahamem.
Basi, wale walio na imani wanabarikiwa pamoja na Abrahamu aliyeamini.
10 Kteříž pak koli z skutků zákona jsou, pod zlořečenstvím jsou. Nebo psáno jest: Zlořečený každý, kdož nezůstává ve všem, což jest psáno v knize zákona, aby to plnil.
Lakini wote wanaotegemea tu kutimiza yanayotakiwa na Sheria, wako chini ya laana. Maana, Maandiko Matakatifu yasema: “Yeyote asiyeshika na kutimiza yote yaliyoandikwa katika kitabu cha Sheria, yuko chini ya laana.”
11 A že z zákona nebývá žádný ospravedlněn před Bohem, zjevné jest, nebo spravedlivý z víry živ bude.
Ni dhahiri kwamba Sheria haiwezi kumfanya mtu akubaliwe kuwa mwadilifu; maana Maandiko Matakatifu yasema: “Mwadilifu kwa imani ataishi.”
12 Zákon pak není z víry, ale: Ten člověk, kterýž by plnil je, živ bude skrze ně.
Lakini Sheria haitegemei imani, ila Maandiko yasema: “Mwenye kutimiza yanayotakiwa na Sheria ataishi.”
13 Ale vykoupilť nás Kristus z zlořečenství zákona, učiněn byv pro nás zlořečenstvím, (nebo psáno jest: Zlořečený každý, kdož visí na dřevě, )
Kristo alitukomboa kutoka katika laana ya Sheria kwa kujitwalia laana hiyo kwa ajili yetu; maana Maandiko yanasema: “Yeyote aliyetundikwa msalabani amelaaniwa.”
14 Aby na pohany to požehnání Abrahamovo přišlo v Kristu Ježíši, a abychom zaslíbení Ducha přijali skrze víru.
Jambo hili lilifanyika kusudi ile baraka aliyopewa Abrahamu iwashukie watu wa mataifa mengine kwa njia ya Kristo, na ili kwa imani, tumpokee yule Roho ambaye Mungu alituahidia.
15 Bratří, po lidsku pravím: Však utvrzené člověka smlouvy žádný neruší, aniž k ní co přidává.
Ndugu, nitawapeni mfano kutoka maisha yetu ya kila siku. Fikirini juu ya mkataba kati ya watu wawili. Mkataba ukisha fanyika na kutiwa sahihi hapana mtu anayeuweka kando au kuuongezea kitu.
16 Abrahamovi pak učiněna jsou zaslíbení, i semeni jeho. Nedí: A semenům, jako o mnohých, ale jako o jednom: A semenu tvému, jenž jest Kristus.
Basi, Abrahamu alipewa ahadi, yeye pamoja na mzawa wake. Maandiko hayasemi: “Na wazawa wake,” yaani wengi, bali yasema, “Na mzawa wake,” yaani mmoja, naye ndiye Kristo.
17 Totoť pak pravím: Že smlouvy prvé od Boha stvrzené, vztahující se k Kristu, zákon, kterýž po čtyřech stech a po třidcíti letech začal se, nevyprazdňuje, aby slib Boží v nic obrátil.
Ninachotaka kusema ni hiki: Mungu alifanya agano lake akalithibitisha; Sheria ambayo ilitokea miaka mia nne na thelathini baadaye, haiwezi kulitangua hilo agano wala kuibatilisha hiyo ahadi.
18 Nebo jestližeť z zákona dědictví, již ne z zaslíbení. Ale Abrahamovi skrze zaslíbení Bůh daroval.
Maana, kama urithi ya Mungu inategemea Sheria, basi, haiwezi kutegemea tena ahadi ya Mungu. Kumbe, lakini Mungu alimkirimia Abrahamu kwa sababu aliahidi.
19 Což pak zákon? Pro přestupování ustanoven jest, dokudž by nepřišlo to símě, jemuž se stalo zaslíbení, způsobený skrze anděly v ruce prostředníka.
Ya nini basi, Sheria? Iliongezwa hapo ili kuonyesha uhalifu ni kitu gani, mpaka atakapokuja yule mzawa wa Abrahamu aliyepewa ile ahadi. Sheria ililetwa na malaika kwa mkono wa mpatanishi.
20 Ale prostředník není jednoho, Bůh pak jeden jest.
Ama hakika, mpatanishi hahitajiwi ikiwa jambo lenyewe lamhusu mtu mmoja; na Mungu ni mmoja.
21 Tedy zákon jest proti slibům Božím? Odstup to. Nebo kdyby byl zákon dán, kterýž by mohl obživiti, jistě z zákona byla by spravedlnost.
Je, Sheria inapingana na ahadi za Mungu? Hata kidogo! Maana, kama kungalitolewa sheria ambayo ingeweza kuwapa watu uzima, basi, tungeweza kukubaliwa kuwa waadilifu kwa njia ya Sheria.
22 Ale zavřelo písmo všecky pod hřích, aby zaslíbení z víry Jezukristovy dáno bylo věřícím.
Lakini sivyo; Maandiko Matakatifu yamekwisha sema kwamba ulimwengu wote upo chini ya utawala wa dhambi; na hivyo, kwa kumwamini Yesu Kristo, wenye kuamini watimiziwe ile ahadi.
23 Prvé pak, než přišla víra, pod zákonem byli jsme ostříháni, zavříni jsouce k té víře, kteráž potom měla zjevena býti.
Kabla ya kujaliwa imani, Sheria ilitufanya wafungwa mpaka imani hiyo iliyokuwa inakuja ifunuliwe.
24 A tak zákon pěstounem naším byl k Kristu, abychom z víry ospravedlněni byli.
Basi, hiyo Sheria ilikuwa kama mlezi wetu mpaka alipokuja Kristo, ili kwa njia ya imani, tukubaliwe kuwa waadilifu.
25 Ale když přišla víra, již nejsme pod pěstounem.
Tangu kufika kwa hiyo imani, Sheria si mlezi wetu tena.
26 Všickni zajisté synové Boží jste v Kristu Ježíši skrze víru.
Kwa njia ya imani, ninyi nyote mmekuwa watoto wa Mungu katika kuungana na Kristo.
27 Nebo kteřížkoli v Krista pokřtěni jste, Krista jste oblékli.
Ninyi nyote mliobatizwa mkaungana na Kristo ni kama vile mmemvaa Kristo.
28 Neníť ani Žid, ani Řek, ani slouha, ani svobodný, ani muž, ani žena. Nebo všickni vy jedno jste v Kristu Ježíši.
Hivyo, hakuna tena tofauti kati ya Myahudi na Mgiriki, mtumwa na mtu huru, mwanamume na mwanamke. Nyote ni kitu kimoja katika kuungana na Kristo Yesu.
29 A když Kristovi jste, tedy símě Abrahamovo jste, a podlé zaslíbení dědicové.
Ikiwa ninyi ni wa Kristo, basi ni wazawa wa Abrahamu, na mtapokea yale aliyoahidi Mungu.