< Daniel 5 >

1 Balsazar král učinil hody veliké tisíci knížatům svým, a před nimi víno pil.
Mfalme Belshaza alifanya sherehe kubwa kwa kwa ajili ya wakuu wake wa kuheshimiwa wapatao elfu moja, na alikunywa divai mbele yao wote watu elfu moja.
2 A když pil víno Balsazar, rozkázal přinésti nádobí zlaté a stříbrné, kteréž vynesl Nabuchodonozor otec jeho z chrámu Jeruzalémského, aby z něho pili král i knížata jeho, ženy jeho i ženiny jeho.
Wakati Belshaza alipokuwa akionja divai, alitoa agizo la kuleta vyombo vilivyotengenezwa kwa dhahabu au kwa fedha ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka katika hekalu huko Yerusalemu, ambavyo yeye, na wakuu wake, na wake zake, na masuria waliweza kuvinywea.
3 I přineseno jest nádobí zlaté, kteréž vynesli z chrámu domu Božího, kterýž byl v Jeruzalémě, a pili z něho král i knížata jeho, ženy jeho i ženiny jeho.
Watumishi walivileta vyombo ya dhahabu vilivyokuwa vimechukulia katika hekalu, nyumba ya Mungu huko Yerusalemu. Mfalme na wakuu wake, na wake zake na masuria walivinywea.
4 Pili víno, a chválili bohy zlaté a stříbrné, měděné, železné, dřevěné a kamenné.
Walikunywa divai na kuzisifu sanamu zao zilizotengenezwa kwa dhahabu na fedha, shaba, chuma, mbao na mawe.
5 V touž hodinu vyšli prstové ruky lidské, a psali naproti svícnu na stěně paláce královského, a král hleděl na částky ruky, kteráž psala.
Kwa wakati huo huo vidole vya mkono wa mtu vilionekana mbele ya kinara cha taa na kuandika katika ukuta uliopigwa lipu katika ikulu ya mfalme. Mfalme aliweza kuona sehemu ya mkono ulipokuwa unaandika.
6 Tedy jasnost královská změnila se, a myšlení jeho zkormoutila ho, a pasové bedr jeho rozpásali se, i kolena jeho jedno o druhé se tlouklo.
Ndipo uso wa mfalme ulibadilika na mawazo yake yalimwogopesha; miguu yake haikuweza kumfanya asimame, na magoti yake yalikuwa yakigongana kwa pamoja.
7 A zkřikl král ze vší síly, aby přivedeni byli hvězdáři, Kaldejští a hadači. I mluvil král a řekl mudrcům Babylonským: Kdokoli přečte psání toto, a výklad jeho mi oznámí, šarlatem odín bude, a řetěz zlatý na hrdlo jeho, a třetím v království po mně bude.
Mfalme alitoa agizo kwa kupiga kelele, waletwe ndani wale ambao hudai wanaweza kuzungumza na wafu, watu wenye hekima, na wataalamu wa nyota. Mfalme akawaambia wale waliojulikana kwa hekima katika Babeli, “Yeyote atakayeyaeleza maandishi haya na maana yake atavikwa nguo za zambarau na atavikwa na mkufu wa dhahabu shingoni mwake. Naye atakuwa mtawala wa tatu wa juu kwa mamlaka katika ufalme.”
8 I předstoupili všickni mudrci královští, ale nemohli písma toho čísti, ani výkladu oznámiti králi.
Ndipo watu wote wa mfalme walikuwa wakijulikana kwa hekima yao waliingia ndani, lakini hawakuweza kuyasoma maandishi wala kueleza maana yake kwa mfalme.
9 Pročež král Balsazar velmi předěšen byl, a jasnost jeho změnila se na něm, ano i knížata jeho zkormouceni byli.
Kisha mfalme Belshaza alishitushwa sana na mwonekano wa uso wake ulibadilika. Wakuu wake nao walishangazwa sana.
10 Královna pak, příčinou té věci královské a knížat jeho, do domu těch hodů vešla, a promluvivši královna, řekla: Králi, na věky živ buď. Nechť tě neděsí myšlení tvá, a jasnost tvá nechť se nemění.
Ndipo sasa malkia alikuja katika nyumba ya sherehe kwasababu ya kile ambacho mfalme na wakuu wake walikuwa wamekisema. Malkia akasema, “Mfalme na aishi milele! Usiache mawazo yako yakakusumbua. Usiruhusu mwonekano wa uso wako ubadilike.
11 Jest muž v království tvém, v němž jest duch bohů svatých, v kterémž za dnů otce tvého osvícení, rozumnost a moudrost, jako moudrost bohů, nalezena, jehož král Nabuchodonozor otec tvůj knížetem mudrců, hvězdářů, Kaldejských a hadačů ustanovil, otec tvůj, ó králi,
Kuna mtu katika ufalme wako ambaye ana roho ya miungu watakatifu dani yake. Katika siku za baba yako, mwanga na weledi na hekima ya miungu ilipatikana ndani yake. Mfalme Nebukadneza, baba yako mfalme, alimfanya kuwa mkuu wa waganga, pamoja na mkuu wa wale wanazungumza na wafu, na wa wenye hekima, na wa wataalamu wa nyota.
12 Proto že duch znamenitý, i umění a rozumnost vykládání snů a oznámení pohádek, i rozvázání věcí nesnadných nalezeno při Danielovi, jemuž král jméno dal Baltazar. Nechať nyní zavolán jest Daniel, a oznámíť výklad ten.
Roho bora, ufahamu, weledi, kutafsiri ndoto, kufafanua mafumbo na kutatua matatizo - hizi ni sifa zilizopatikana kwa mtu huyu Danieli, ambaye mfalme alimwita Belteshaza. Sasa mwiteni Danieli naye atawaambia maana ya kile kilichoandikwa.”
13 Tedy přiveden jest Daniel před krále. I mluvil král a řekl Danielovi: Ty-li jsi ten Daniel, jeden z synů zajatých Judských, kteréhož přivedl král otec můj z Judstva?
Ndipo Danieli alipoletwa mbele ya mfalme. Mfalme akamwambia, “Wewe ni yule Danieli, mmoja kati ya watu wa mateka wa Yuda, ambao baba yangu mfalme aliwaleta kutoka Yuda.
14 Slyšel jsem zajisté o tobě, že duch bohů svatých jest v tobě, a osvícení i rozumnost a moudrost znamenitá nalezena jest v tobě.
Nimesikia habari kukuhusu wewe, kwamba roho ya miungu iko ndani yako, na ya kwamba mwanga na ufahamu na hekima bora inapatikana ndani yako.
15 A nyní přivedeni jsou přede mne mudrci a hvězdáři, aby mi písmo toto přečtli, a výklad jeho oznámili, a však nemohli výkladu věci té oznámiti.
Na sasa watu wanaojulikana kwa hekima na wale wanaozungumza na wafu, wamekwisha kuletwa mbele yangu, ili kusoma maandishi haya na kunijulisha maana ya tafsiri yake, lakini hawakuweza kunijulisha tafsiri yake.
16 Já pak slyšel jsem o tobě, že můžeš to, což jest nesrozumitelného, vykládati, a což nesnadného, rozvázati. Protož nyní, budeš-li moci písmo to přečísti, a výklad jeho mně oznámiti, v šarlat oblečen budeš, a řetěz zlatý na hrdlo tvé, a třetím v království po mně budeš.
Nimesikia kwamba unaweza kutoa tafsiri na kutatua matatizo. Sasa kama utaweza kusoma maandishi na kuniambia maana yake, utavikwa nguo za zambarau na kuwa na kuvalishwa mkufu wa dhahabu shingoni mwako, na utakuwa mtawala wa tatu mwenye mamlaka katika ufalme.”
17 Tedy odpověděl Daniel a řekl před králem: Darové tvoji nechť zůstávají tobě, a odplatu svou dej jinému, a však písmo přečtu králi, a výklad oznámím jemu.
Kisha Danieli akajibu mbele ya mfalme, “Zawadi yako na iwe kwa ajili yako mwenyewe, na thawabu yako na umpe mtu mwingine. Hata hivyo, mfalme, nitakusomea maandishi na nitakwaambia maana.
18 Ty králi, slyš: Bůh nejvyšší královstvím a důstojností i slávou a okrasou obdařil Nabuchodonozora otce tvého,
Na juu yako, Ewe mfalme, Mungu Aliye juu sana alimpa Nebukadneza baba yako ufalme, ukuu, heshima na enzi.
19 A pro důstojnost, kterouž ho obdařil, všickni lidé, národové a jazykové třásli a báli se před ním. Kohokoli chtěl, zabil, a kterékoli chtěl, bil, kteréž chtěl, povyšoval, a kteréž chtěl, ponižoval.
Na kwasababu ya ukuu huo, Mungu alimpa watu wote, mataifa, na lugha walimtetemekea na kumwogopa. Aliwauwa wale aliotaka wafe na aliwaacha hai wale aliotaka waishi. Aliwainua wale aliowataka, na aliwashusha wale aliowataka.
20 Když se pak bylo pozdvihlo srdce jeho, a duch jeho zmocnil se v pýše, ssazen byl z stolice království svého, a slávu odjali od něho.
Lakini wakati moyo ulipokuwa na kiburi na roho yake ilifanywa kuwa mgumu na kwasababu hiyo alitenda kwa kiburi, alishushwa kutoka kiti chake cha enzi cha kifalme, na waliiondoa enzi yake.
21 Ano i z spolku synů lidských vyvržen byl, a srdce jeho zvířecímu podobné učiněno bylo, a s divokými osly bylo bydlení jeho. Bylinu jako volům dávali jemu jísti, a rosou nebeskou tělo jeho smáčíno bylo, dokudž nepoznal, že panuje Bůh nejvyšší nad královstvím lidským, a že kohož chce, ustanovuje nad ním.
Aliondolewa katika ubinadamu, alikuwa na akili za mnyama, na aliishi na punda wa mwituni. Alikula majani kama ng'ombe. Mwili wake ulilowanishwa kwa umande wa kutoka mbinguni mpaka pale alipojifunza kwamba Mungu Aliye Juu anatawala juu ya falme za watu na ya kwamba humweka mtu yeyote amtakaye juu yake.
22 Ty také, synu jeho Balsazaře, neponížil jsi srdce svého, ačkolis o tom o všem věděl.
Wewe mwana wake, Belshaza, haujaunyenyekeza moyo wako, ingawa aliyajua haya yote.
23 Ale pozdvihls se proti Pánu nebes; nebo nádobí domu jeho přinesli před tebe, a ty i knížata tvá, ženy tvé i ženiny tvé pili jste víno z něho. Nadto bohy stříbrné a zlaté, měděné, železné, dřevěné a kamenné, kteříž nevidí, ani slyší, aniž co vědí, chválil jsi, Boha pak, v jehož ruce jest dýchání tvé i všecky cesty tvé, neoslavoval jsi.
Umejiinua mwenyewe kinyume cha Bwana wa mbinguni. Katika nyumba yake walikuletea vyombo ambavyo wewe, wakuu wako, wake zako na masuria wako walivinywea, na kisha ukaisifia sana sanamu zilitengenezwa kwa fedha na dhahabu, shaba, chuma, mbao, na mawe - sanamu ambazo haziwezi kuona, kusikia wa kujua kitu chochote. Haujamheshimu Mungu ambaye anaishikilia pumzi yako katika mkono wake na ambaye anazijua njia zako zote.
24 Protož nyní od něho poslána jest částka ruky této, a písmo to napsáno jest.
Ndipo Mungu aliutuma mkono kutoka katika makao yake na maandishi haya yaliandikwa.
25 A totoť jest písmo napsané: Mene, mene, tekel, ufarsin, totiž: Zčetl jsem, zčetl, zvážil a rozděluji.
Haya ndiyo maandishi ambayo yaliandikwa: 'Mene, Mene, Tekeli na Peresin.'
26 Tento pak jest výklad slov: Mene, zčetl Bůh království tvé, a k konci je přivedl.
Maana yake ni: 'Mene,' 'Mungu ameuhesabu ufalme wako na ameukomesha.'
27 Tekel, zvážen jsi na váze, a nalezen jsi lehký.
'Tekeli' 'umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua.'
28 Peres, rozděleno jest království tvé, a dáno jest Médským a Perským.
'Peresi' 'ufalme wako umegawanyika na wamepewa Wamedi na Waajemi.'”
29 Tedy z rozkazu Balsazarova oblékli Daniele v šarlat, a řetěz zlatý dali na hrdlo jeho, a rozhlašovali o něm, že má býti pánem třetím v království.
Ndipo Belshaza alitoa agizo, na walimvalisha Danieli mavazi ya zambarau. Mkufu wa dhahabu walimvisha shingoni, na mfalme alitoa tamko juu ya Danieli kuwa atakuwa mtawala mwenye mamlaka ya nafasi ya tatu katika ufalme.
30 V touž noc zabit jest Balsazar král Kaldejský.
Usiku ule Belshaza, mfalme wa Babeli aliuawa,
31 Darius pak Médský ujal království v letech okolo šedesáti a dvou.
na Dario Mwajemi aliuchukua ufalme alipokuwa na miaka ipatayo sitini na miwili.

< Daniel 5 >