< Skutky Apoštolů 18 >

1 Potom pak Pavel vyšed z Atén, přišel do Korintu.
Baada ya mambo hayo, Paulo aliondoka Athene kwenda Korintho.
2 A nalez jednoho Žida, jménem Akvilu, kterýž byl rodem z Pontu, kterýž nedávno byl přišel z Vlach, i Priscillu manželku jeho, (proto že byl rozkázal Klaudius, aby všickni Židé z Říma vyšli, ) i přivinul se k nim.
Huko akampata Myahudi aitwaye Akwila mtu wa kabila la Ponto, yeye na mke wake aitwaye Prisila walikuja kutoka huko Italia, kwa sababu Klaudia aliamuru Wayahudi wote waondoke Roma; Paulo akaja kwao;
3 A že byl téhož řemesla, bydlil u nich, a dělal; nebo řemeslo jejich bylo stany dělati.
Paulo akaishi na kufanya kazi nao kwani yeye anafanya kazi inayofanana na yao. Wao walikuwa ni watengeneza mahema.
4 I hádal se v škole na každou sobotu, a k získání přivodil i Židy i Řeky.
Paulo akajadiliana nao katika sinagogi kila siku ya Sabato. Aliwashawishi Wayahudi pamoja na Wagiriki.
5 A když přišli z Macedonie Sílas a Timoteus, rozněcoval se v duchu Pavel, osvědčuje Židům, že Ježíš jest Kristus.
Lakini Sila na Timotheo walipokuja kutoka Makedonia, Paulo alisukumwa na Roho kuwashuhudia Wayahudi kuwa Yesu ndiye Kristo.
6 A když oni odporovali a rouhali se, vyraziv prach z roucha, řekl jim: Krev vaše na hlavu vaši. Já čist jsa, hned půjdu ku pohanům.
Wakati Wayahudi walipompinga na kumdhihaki, hivyo Paulo akakung'uta vazi lake mbele yao, na kuwaambia, “Damu yenu na iwe juu ya vichwa vyenu wenyewe; Mimi sina hatia. Kutoka sasa na kuendelea, nawaendea Mataifa”.
7 A jda odtud, všel do domu nějakého Justa jménem, ctitele Božího, kteréhož dům byl u samé školy.
Hivyo akaondoka kutoka pale akaenda kwenye nyumba ya Tito Yusto, Mtu anayemwabudu Mungu. Nyumba yake iko karibu na sinagogi.
8 Krispus pak, kníže školy, uvěřil Pánu se vším domem svým, a mnozí z Korintských slyšavše, uvěřili a pokřtěni byli.
Krispo, kiongozi wa sinagogi pamoja na watu wa nyumbani mwake wakamwamini Bwana. Watu wengi wa Korintho waliomsikia Paulo akiongea waliamini na kubatizwa.
9 I řekl Pán v noci u vidění Pavlovi: Neboj se, ale mluv a nemlč.
Bwana akamwambia Paulo usiku kwa njia ya maono, “Usiogope, lakini ongea na usinyamaze.
10 Nebo já s tebou jsem, a žádnýť nesáhne na tebe, aťby zle učinil; nebo mnoho mám lidu v tomto městě.
Kwani Mimi niko pamoja nawe, na hakuna atakayejaribu kukudhuru, maana nina watu wengi katika mji huu”.
11 I byl tu půl druhého léta, káže jim slovo Boží.
Paulo akakaa huko kwa muda wa mwaka mmoja na miezi sita akifundisha neno la Mungu miongoni mwao.
12 Když pak Gallio vládařem byl v Achaii, povstali jednomyslně Židé proti Pavlovi, a přivedli jej před soudnou stolici,
Lakini Galio alipofanywa mtawala wa Akaya, Wayahudi walisimama pamoja kinyume na Paulo na kumpeleka mbele ya kiti cha hukumu,
13 Pravíce: Tento navodí lidi, aby proti zákonu ctili Boha.
wakisema, “Mtu huyu huwashawishi watu wamwabudu Mungu kinyume cha sheria”.
14 A když Pavel měl již otevříti ústa, řekl Gallio Židům: Ó Židé, jestliže by co nepravého stalo se, neb nešlechetnost nějaká, slušně bych vás vyslyšel.
Wakati Paulo alipokuwa akitaka kusema, Galio akawaambia Wayahudi, “Ninyi Wayahudi, kama ingelikuwa ni kosa au uhalifu, ingekuwa halali kuwashughulikia.
15 Pakliť jsou jaké hádky o slovích a o jméních a zákonu vašem, vy sami k tomu přihlédněte. Já zajisté toho soudce býti nechci.
Lakini kwa sababu ni maswali, yanayohusu maneno na majina, na sheria zenu, basi hukumuni ninyi wenyewe. Mimi sitamani kuwa hakimu kwa habari ya mambo hayo.”
16 I odehnal je od soudné stolice.
Galio akawaamuru waondoke mbele ya kiti cha hukumu,
17 Tedy Řekové všickni, uchopivše Sostena, kníže školy, bili jej před soudnou stolicí, a Gallio na to nic nedbal.
Hivyo, wakamkamata Sosthene, kiongozi wa sinagogi, wakampiga mbele ya kiti cha hukumu. Lakini Galio hakujali walichokifanya.
18 Pavel pak, pobyv tam ještě za mnoho dní, i rozžehnav se s bratřími, plavil se do Syrie, a s ním spolu Priscilla a Akvila, oholiv hlavu v Cenchreis; nebo byl učinil slib.
Paulo, baada ya kukaa pale kwa muda mrefu, aliwaacha ndugu na kwenda kwa meli Siria pamoja na Prisila na Akwila. Kabla ya kuondoka bandarini, alinyoa nywele zake kwani alikuwa ameapa kuwa Mnadhiri.
19 I přišed do Efezu, nechal jich tu; sám pak všed do školy, hádal se s Židy.
Walipofika Efeso, Paulo alimwacha Prisila na Akwila pale, lakini yeye mwenyewe akaingia kwenye sinagogi na kujadiliana na Wayahudi.
20 A když ho prosili, aby déle pobyl u nich, nepovolil.
Walipomwambia Paulo akae nao kwa muda mrefu, yeye alikataa.
21 Ale požehnav jich, řekl: Musím já jistotně svátek ten, kterýž nastává, v Jeruzalémě slaviti, ale navrátím se k vám zase, bude-li vůle Boží. I bral se z Efezu.
Lakini akaondoka kwao, akawaambia, “Nitarudi tena kwenu, ikiwa ni mapenzi ya Mungu”. Baada ya hapo, akaondoka kwa meli kutoka Efeso.
22 A přišed do Cesaree, vstoupil, a pozdraviv církve, odtud šel do Antiochie.
Paulo alipotua Kaisaria, alipanda kwenda kusalimia Kanisa la Yerusalemu, kisha akashuka chini kwa kanisa la Antiokia.
23 A pobyv tu za některý čas, odšel a procházel pořád Galatskou krajinu a Frygii, potvrzuje všech učedlníků.
Baada ya kukaa kwa muda pale, Paulo aliondoka kupitia maeneo ya Galatia na Frigia na kuwatia moyo wanafunzi wote.
24 Žid pak nějaký, jménem Apollo, rodem z Alexandrie, muž výmluvný, přišel do Efezu, učený v písmě.
Myahudi mmoja aitwaye Apolo, aliyezaliwa huko Alexandria, alikuja Efeso. Alikuwa na ufasaha katika kuongea na hodari katika Maandiko.
25 Ten byl počátečně naučen cestě Páně, a byv vroucího ducha, mluvil a učil pilně těm věcem, kteréž jsou Páně, znaje toliko křest Janův.
Apollo alikuwa ameelekezwa katika mafundisho ya Bwana. Kwa jinsi alivyokuwa na bidii katika roho, aliongea na kufundisha kwa usahihi mambo yanayomuhusu Yesu, ila alijua tu ubatizo wa Yohana.
26 A ten počal svobodně mluviti v škole. Kteréhož slyševše Priscilla a Akvila, přijali ho k sobě, a dokonaleji vypravovali jemu o cestě Boží.
Apolo akaanza kuzungumza kwa ujasiri katika hekalu. Lakini Prisila na Akwila walipomsikia, walifanya urafiki naye na wakamwelezea juu ya njia za Mungu kwa usahihi.
27 A když chtěl jíti do Achaie, bratří napomenuvše ho, psali učedlníkům, aby jej přijali. Kterýž když tam přišel, mnoho prospěl těm, kteříž uvěřili skrze milost Boží.
Alipotamani kuondoka kwenda Akaya, ndugu walimtia moyo na kuwaandikia barua wanafunzi walioko Akaya ili wapate kumpokea. Alipowasili, kwa neema aliwasaidia sana wale waliomini.
28 Nebo náramně přemáhal Židy, zjevně přede všemi toho dokazuje z písem, že Ježíš jest Kristus.
Kwa nguvu zake na maarifa, Apolo aliwazidi Wayahudi hadharani akionesha kupitia maandiko ya kuwa Yesu ndiye Kristo.

< Skutky Apoštolů 18 >