< 1 Korintským 3 >

1 A já, bratří, nemohl jsem vám mluviti jako duchovním, ale jako tělesným, jako maličkým v Kristu.
Ndugu zangu, mimi sikuweza kusema nanyi kama watu wa kiroho, bali kama watu wa mwilini, kama watoto wachanga katika Kristo.
2 Mlékem jsem vás živil, a ne pokrmem; nebo jste ještě nemohli, ano i nyní ještě nemůžete.
Naliwanywesha maziwa, wala si chakula kigumu, kwa kuwa hamkuwa tayari kwa hicho chakula. Naam, hata sasa hamko tayari.
3 Ještě zajisté tělesní jste. Nebo poněvadž jest mezi vámi nenávist, svárové a různice, zdaž ještě tělesní nejste, a podlé člověka nechodíte?
Ninyi bado ni watu wa mwilini. Kwa kuwa bado kuna wivu na magombano miongoni mwenu, je, ninyi si watu wa mwilini? Je, si mwaendelea kama watu wa kawaida?
4 Nebo když někdo říká: Já jsem Pavlův, jiný pak: Já Apollův, zdaliž nejste tělesní?
Kwa maana mmoja anaposema, “Mimi ni wa Paulo,” na mwingine, “Mimi ni wa Apolo,” je, ninyi si wanadamu wa kawaida?
5 Kdo tedy jest Pavel, kdo Apollo, než služebníci, skrze něž jste uvěřili, a jakž jednomu každému dal Pán?
Kwani, Apolo ni nani? Naye Paulo ni nani? Ni watumishi tu ambao kupitia wao mliamini, kama vile Bwana alivyompa kila mtu huduma yake.
6 Jáť jsem štípil, Apollo zaléval, ale Bůh dal zrůst.
Mimi nilipanda mbegu, Apolo akatia maji, lakini Mungu ndiye aliikuza.
7 A protož aniž ten, kdož štěpuje, jest něco, ani ten, kdož zalévá, ale Bůh, kterýž zrůst dává.
Hivyo mwenye kupanda na mwenye kutia maji si kitu, bali Mungu peke yake ambaye huifanya ikue.
8 Ten pak, kdož štěpuje, a ten, kdož zalévá, jedno jsou, a však jeden každý svou vlastní odplatu vezme podlé své práce.
Apandaye mbegu ana lengo sawa na yule atiaye maji na kila mmoja atalipwa kulingana na kazi yake.
9 Božíť jsme zajisté pomocníci, Boží rolí, Boží vzdělání jste.
Kwa kuwa sisi tu watendakazi pamoja na Mungu. Ninyi ni shamba la Mungu, jengo la Mungu.
10 Podlé milosti Boží sobě dané, jako moudrý stavitel, základ jsem založil, jiný pak na něm staví. Ale jeden každý viz, jak na něm staví.
Kwa neema Mungu aliyonipa, niliweka msingi kama mjenzi stadi na mtu mwingine anajenga juu yake. Lakini kila mmoja inampasa awe mwangalifu jinsi anavyojenga.
11 Nebo základu jiného žádný položiti nemůž, mimo ten, kterýž položen jest, jenž jest Ježíš Kristus.
Kwa maana hakuna mtu yeyote awezaye kuweka msingi mwingine wowote isipokuwa ule uliokwisha kuwekwa, ambao ni Yesu Kristo.
12 Staví-liť pak kdo na ten základ zlato, stříbro, kamení drahé, dříví, seno, strniště,
Kama mtu yeyote akijenga juu ya msingi huu kwa kutumia dhahabu, fedha, vito vya thamani, miti, majani au nyasi,
13 Jednohoť každého dílo zjeveno bude. Den zajisté to okáže; nebo v ohni zjeví se, a jednoho každého dílo, jaké by bylo, oheň zprubuje.
kazi yake itaonekana ilivyo, kwa kuwa Siku ile itaidhihirisha. Itadhihirishwa kwa moto, nao moto utapima ubora wa kazi ya kila mtu.
14 Zůstane-liť čí dílo, kteréž na něm stavěl, vezme odplatu.
Kama kile alichojenga kitabaki, atapokea thawabu yake.
15 Pakliť čí dílo shoří, vezme škodu, ale sám spasen bude, a však tak, jako skrze oheň.
Kama kazi kitateketea, atapata hasara, ila yeye mwenyewe ataokolewa, lakini tu kama mtu aliyenusurika kwenye moto.
16 Zdaliž nevíte, že chrám Boží jste, a Duch Boží v vás přebývá?
Je, hamjui ya kwamba ninyi wenyewe ni hekalu la Mungu na kwamba Roho wa Mungu anakaa ndani yenu?
17 Jestližeť kdo chrámu Božího poškvrňuje, tohoť zatratí Bůh; nebo chrám Boží svatý jest, jenž jste vy.
Kama mtu yeyote akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamwangamiza; kwa maana hekalu la Mungu ni takatifu, na ninyi ndiyo hilo hekalu.
18 Žádný sám sebe nesvoď. Zdá-li se komu z vás, že jest moudrý na tomto světě, budiž bláznem, aby byl učiněn moudrým. (aiōn g165)
Msijidanganye. Kama mtu yeyote miongoni mwenu akidhani kuwa ana hekima kwa viwango vya dunia hii, inampasa awe mjinga ili apate kuwa na hekima. (aiōn g165)
19 Moudrost zajisté světa tohoto bláznovství jest u Boha. Nebo psáno jest: Kterýž lapá moudré v chytrosti jejich.
Kwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upuzi mbele za Mungu. Kama ilivyoandikwa: “Mungu huwanasa wenye hekima katika hila yao,”
20 A opět: Znáť Pán přemyšlování moudrých, že jsou marná.
tena, “Bwana anajua kwamba mawazo ya wenye hekima ni ubatili.”
21 A tak nechlub se žádný lidmi; nebo všecky věci vaše jsou.
Hivyo basi, mtu asijivune kuhusu wanadamu! Vitu vyote ni vyenu,
22 Buď Pavel, buď Apollo, buď Petr, buď svět, buď život, buď smrt, buď přítomné věci, buďto budoucí, všecko jest vaše,
ikiwa ni Paulo au Apolo au Kefa au dunia au uzima au mauti, au wakati uliopo au wakati ujao, haya yote ni yenu
23 Vy pak Kristovi, a Kristus Boží.
na ninyi ni wa Kristo, naye Kristo ni wa Mungu.

< 1 Korintským 3 >