< Pjesma nad Pjesmama 5 >

1 Došao sam u vrt svoj, o sestro moja, nevjesto, berem smirnu svoju i balzam svoj, jedem med svoj i saće svoje, pijem vino svoje i mlijeko svoje. Jedite, prijatelji, pijte i opijte se, mili moji!
Nimekuja kwenye bustani yangu, dada yangu, bibi arusi wangu; nimekusanya manemane yangu pamoja na kikolezo changu. Nimekula sega langu la asali na asali yangu; nimekunywa divai yangu na maziwa yangu. Marafiki Kuleni, enyi marafiki, mnywe; kunyweni ya kutosha, ee wapenzi.
2 Ja spavam, ali srce moje bdi. Odjednom glas! Dragi moj mi pokuca: “Otvori mi, sestro moja, prijateljice moja, golubice moja, savršena moja, glava mi je puna rose a kosa noćnih kapi.”
Nililala lakini moyo wangu ulikuwa macho. Sikiliza! Mpenzi wangu anabisha: “Nifungulie, dada yangu, mpenzi wangu, hua wangu, asiye na hitilafu. Kichwa changu kimeloa umande, na nywele zangu manyunyu ya usiku.”
3 “Svukla sam odjeću svoju, kako da je odjenem? Noge sam oprala, kako da ih okaljam?”
Nimevua joho langu: je, ni lazima nivae tena? Nimenawa miguu yangu: je, ni lazima niichafue tena?
4 Dragi moj promoli ruku kroz otvor, a sva mi utroba uzdrhta.
Mpenzi wangu aliweka mkono wake kwenye tundu la komeo; moyo wangu ulianza kugonga kwa ajili yake.
5 Ustadoh da otvorim dragome svome, a iz ruke mi prokapa smirna i poteče niz prste na ručku zavora.
Niliinuka kumfungulia mpenzi wangu, mikono yangu ikidondosha manemane, vidole vyangu vikitiririka manemane, penye vipini vya komeo.
6 Otvorih dragome svome, ali on se već bijaše udaljio i nestao. Ostala sam bez daha kad je otišao. Tražila sam ga, ali ga nisam našla, zvala sam, ali nije se odazvao.
Nilimfungulia mpenzi wangu, lakini mpenzi wangu alishaondoka; alikuwa amekwenda zake. Moyo wangu ulishuka kwa kuondoka kwake. Nilimtafuta lakini sikumpata. Nilimwita lakini hakunijibu.
7 Sretoše me čuvari koji grad obilaze, tukli su me, ranili i plašt mi uzeli čuvari zidina.
Walinzi walinikuta walipokuwa wakifanya zamu za ulinzi mjini. Walinipiga, wakanijeruhi, wakaninyangʼanya joho langu, hao walinzi wa kuta!
8 Zaklinjem vas, kćeri jeruzalemske, ako nađete dragoga moga, što ćete mu reći? Da sam bolna od ljubavi.
Enyi binti za Yerusalemu, ninawaagiza: kama mkimpata mpenzi wangu, mtamwambia nini? Mwambieni ninazimia kwa mapenzi.
9 Što je tvoj dragi bolji od drugih, o najljepša među ženama, što je tvoj dragi bolji od drugih te nas toliko zaklinješ?
Je, mpendwa wako ni bora kuliko wengine namna gani, wewe uliye mzuri kupita wanawake wote? Je, mpendwa wako ni mzuri kuliko wengine, namna gani, hata unatuagiza hivyo?
10 Dragi je moj bijel i rumen, ističe se među tisućama.
Mpenzi wangu anangʼaa, tena ni mwekundu, wa kuvutia miongoni mwa wanaume kumi elfu.
11 Glava je njegova kao zlato, zlato čisto, uvojci kao palmove mladice, crne poput gavrana.
Kichwa chake ni dhahabu safi kuliko zote, nywele zake ni za mawimbi na ni nyeusi kama kunguru.
12 Oči su njegove kao golubi nad vodom potočnom; zubi mu kao mlijekom umiveni, u okvir poredani.
Macho yake ni kama ya hua kandokando ya vijito vya maji, aliyeogeshwa kwenye maziwa, yaliyopangwa kama vito vya thamani.
13 Obrazi su njegovi kao lijehe mirisnog bilja, kao cvijeće ugodno, usne su mu ljiljani iz kojih smirna teče.
Mashavu yake ni kama matuta ya vikolezo yakitoa manukato. Midomo yake ni kama yungiyungi inayodondosha manemane.
14 Ruke su mu zlatno prstenje puno dragulja, prsa su njegova kao čista bjelokost pokrita safirima.
Mikono yake ni fimbo za dhahabu iliyopambwa kwa krisolitho. Mwili wake ni kama pembe ya ndovu iliyongʼarishwa iliyopambwa na yakuti samawi.
15 Noge su mu stupovi od mramora na zlatnom podnožju. Stas mu je kao Liban, vitak poput cedra.
Miguu yake ni nguzo za marmar zilizosimikwa katika vitako vya dhahabu safi. Sura yake ni kama Lebanoni, bora kama miti yake ya mierezi.
16 Govor mu je sladak i sav je od ljupkosti. Takav je dragi moj, takav je prijatelj moj, o kćeri jeruzalemske.
Kinywa chake chenyewe ni utamu, kwa ujumla yeye ni wa kupendeza. Huyu ndiye mpenzi wangu, huyu ndiye rafiki yangu, ee binti za Yerusalemu.

< Pjesma nad Pjesmama 5 >