< Psalmi 99 >
1 Jahve kraljuje - nek' zadršću narodi; sjedi nad kerubima - zemlja nek' se potrese!
Bwana anatawala, mataifa na yatetemeke; anakalia kiti cha enzi katikati ya makerubi, dunia na itikisike.
2 Velik je Jahve na Sionu, uzvišen nada sve narode.
Bwana ni mkuu katika Sayuni; ametukuzwa juu ya mataifa yote.
3 Nek' slave ime tvoje veliko i strašno: ono je sveto!
Wanalisifu jina lako ambalo ni kuu na la kuogopwa: yeye ni mtakatifu!
4 Ti kralj si moćan koji ljubiš što je pravo, pravednost ti si utvrdio, pravo i pravednost vršiš u Jakovu.
Mfalme ni mwenye nguvu na hupenda haki, wewe umethibitisha adili; katika Yakobo umefanya yaliyo haki na sawa.
5 Uzvisujte Jahvu, Boga našega, padnite pred podnožje njegovo: ono je sveto.
Mtukuzeni Bwana Mungu wetu, na mkaabudu katika mahali pa kuwekea miguu yake; yeye ni mtakatifu.
6 Mojsije i Aron među svećenicima njegovim i Samuel među onima koji zazivaju ime njegovo: zazivahu Jahvu, i on ih usliša.
Mose na Aroni walikuwa miongoni mwa makuhani wake, Samweli alikuwa miongoni mwa walioliitia jina lake; walimwita Bwana, naye aliwajibu.
7 Iz stupa od oblaka govoraše njima: slušahu zapovijedi njegove i odredbe što ih dade.
Alizungumza nao kutoka nguzo ya wingu; walizishika sheria zake na amri alizowapa.
8 Jahve, Bože naš, ti si ih uslišivao; Bože, milostiv si bio njima premda si kažnjavao grijehe njihove.
Ee Bwana, wetu, ndiwe uliyewajibu, kwa Israeli ulikuwa Mungu mwenye kusamehe, ingawa uliadhibu matendo yao mabaya.
9 Uzvisujte Jahvu, Boga našega, padnite pred svetu goru njegovu: jer svet je Jahve, Bog naš.
Mtukuzeni Bwana Mungu wetu, mwabuduni kwenye mlima wake mtakatifu, kwa maana Bwana Mungu wetu ni mtakatifu.