< Psalmi 80 >
1 Zborovođi. Po napjevu “Ljiljan svjedočanstva”. Asafov. Psalam. Pastiru Izraelov, počuj, ti što vodiš Josipa k'o stado ovaca! Ti što sjediš nad kerubima, zablistaj
Usikie, Mchungaji wa Israel, wewe uliye muongoza Yusufu kama kundi; wewe uketiye juu ya makerubi, utuangazie!
2 pred Efrajimom, Benjaminom, Manašeom: probudi silu svoju, priteci nam u pomoć!
Machoni pa Efraimu na Benjamini na Manase, uziinue nguvu zako; njoo na utuokoe.
3 Bože, obnovi nas, razvedri lice svoje i spasi nas!
Mungu, uturejeshe sisi; uangaze uso wako juu yetu, nasi tutaokolewa.
4 Jahve, Bože nad Vojskama, dokle ćeš plamtjeti, premda se moli narod tvoj?
Yahwe Mungu wa majeshi, mpaka lini utawakasirikia watu wako wanapoomba?
5 Dokle ćeš nas hraniti kruhom suza i obilno pojiti suzama?
Umewalisha wa mkate wa machozi na umewapa machozi ili wanywe katika kiasi kikubwa.
6 Dokle će se oko nas svađat' susjedi i rugat' nam se naši dušmani?
Umetufanya kitu kwa ajili ya majirani zetu kubishania, na maadui zetu hucheka kuhusu sisi kati yao.
7 Bože nad Vojskama, obnovi nas, razvedri lice svoje i spasi nas!
Mungu wa majeshi, uturejeshe sisi; nasi tutaokolewa.
8 Ti prenese čokot iz Egipta, pogane istjera, a njega zasadi.
Wewe ulileta mzabibu kutoka Misri; ukawafukuza mataifa na ukaupanda.
9 Ti mu tlo pripravi, i on pusti korijenje i napuni zemlju.
Uliisafisha ardhi kwa ajil yake; nao ulipata mzizi na kuijaza nchi.
10 Sjena mu prekri bregove, lozje mu k'o Božji cedrovi.
Milima ilifunikwa kwa kivuli chake, mierezi ya Mungu kwa matawi yake.
11 Mladice svoje ispruži do mora i svoje ogranke do Rijeke.
Ilieneza matawi yake mbali kama bahari na mashina yake mpaka kwenye Mto Euphrates.
12 Zašto si mu srušio ogradu da ga beru svi što putem prolaze,
Kwa nini umezibomoa kuta zake hata wapitao karibu huyachuma matunda yake.
13 da ga pustoši vepar iz šume, da ga pasu poljske zvijeri?
Ngurue wa msituni wanauharibu, na wanyama wa kondeni wanaula.
14 Vrati se, Bože nad Vojskama, pogledaj s neba i vidi, obiđi ovaj vinograd:
Urudi, Ee Mungu wa majeshi; kutoka mbinguni utazame chini na uuangalie na kuujali huu mzabibu.
15 zakrili što zasadi desnica tvoja, sina kog za se odgoji!
Huu ni mzizi ambao mkono wako wa kuume umeupanda, mashina ambayo wewe uliyafanya yakue.
16 Oni koji ga spališe i posjekoše nek' izginu od prijetnje lica tvojega!
Yamekatwa na kuchomwa; yameangamia kwa sababu ya kukemea kwako.
17 Tvoja ruka nek' bude nad čovjekom desnice tvoje, nad sinom čovječjim kog za se odgoji!
Mkono wako na uwe juu ya mtu aliye mkono wako wa kuume, kwa mwana wa mtu uliyemfanya imara kwa ajili yako mwenyewe.
18 Nećemo se više odmetnuti od tebe; poživi nas, a mi ćemo zazivati ime tvoje.
Ndipo hatuta kuacha wewe; utuhuishe, nasi tutaliita jina lako.
19 Jahve, Bože nad Vojskama, obnovi nas, razvedri lice svoje i spasi nas!
Yahwe, Mungu wa majeshi, uturejeshe sisi; utuangazie nuru ya uso wako, nasi tutaokolewa.