< Psalmi 77 >
1 Zborovođi. Po Jedutunu. Asafov. Psalam. Glasom svojim Bogu vapijem, glas mi se Bogu diže i on me čuje.
Nitampazia Mungu sauti yangu, nitamuita Mungu kwa sauti yangu, na Mungu wangu atanisikia.
2 U dan nevolje tražim Gospodina, noću mi se ruka neumorno pruža k njemu, ne može se utješit' duša moja.
Katika siku ya taabu nilimtafuta Bwana; usiku niliinua mikono yangu, nayo haikuchoka. Moyo wangu ulikataa kufarijiwa.
3 Spominjem se Boga i uzdišem; kad razmišljam, daha mi nestane.
Ningali nikiugua nilielekeza mawazo yangu kwa Mungu. Nilimfikiria Mungu nilipokuwa dhaifu. (Selah)
4 Vjeđe moje držiš, potresen sam, ne mogu govoriti.
Uliyafanya macho yangu yasisinzie; nilisumbuka sana kuongea.
5 Mislim na drevne dane i sjećam se davnih godina;
Nilifikiri kuhusu siku za kale, kuhusu mambo yaliyopita muda mrefu.
6 razmišljam noću u srcu, mislim, i duh moj ispituje:
Wakati wa usiku niliukumbuka wimbo niliouimba mara moja. Nilifikiria kwa makini na kujaribu kuelewa kile kilichokuwa kimetokea.
7 “Hoće li Gospodin odbaciti zauvijek i hoće li ikad još biti milostiv?
Je, Mungu atanikataa milele? Je, hatanionesha tena huruma?
8 Je li njegova dobrota minula zauvijek, njegovo obećanje propalo za sva pokoljenja?
Je, uaminifu wa agano lake ulikuwa umetoweka milele? Je, ahadi yake imeshindwa milele?
9 Zar Bog je zaboravio da se smiluje, ili je gnjevan zatvorio smilovanje svoje?”
Je, Mungu amesahau kuwa mwenye neema? Je, hasira yake imeifunga huruma yake? (Selah)
10 I govorim: “Ovo je bol moja: promijenila se desnica Višnjega.”
Nilisema, “Hii ni huzuni yangu: mabadiliko ya mkono wa kuume wa Aliye Juu dhidi yetu.”
11 Spominjem se djela Jahvinih, sjećam se tvojih pradavnih čudesa.
Lakini nitayakumbuka matendo yako, Yahwe; nitafikiri kuhusu matendo yako makuu yaliyopita.
12 Promatram sva djela tvoja, razmatram ono što si učinio.
Nitayatafakari matendo yako yote nami nitayaishi.
13 Svet je tvoj put, o Bože: koji je bog tako velik kao Bog naš?
Njia yako, Mungu, ni takatifu; ni mungu gani wa kulinganishwa na Mungu wetu aliye mkuu?
14 Ti si Bog koji čudesa stvaraš, na pucima si pokazao silu svoju.
Wewe ni Mungu utendaye maajabu; wewe umeonesha nguvu zako kati ya mataifa.
15 Mišicom si izbavio narod svoj, sinove Jakovljeve i Josipove.
Uliwapa watu wako ushindi kwa uweza wako mkuu - ukoo wa Yakobo na Yusufu. (Selah)
16 Vode te ugledaše, Bože, ugledaše te vode i ustuknuše, bezdani se uzburkaše.
Maji yalikuona wewe, Mungu; maji yalikuona wewe, nayo yakaogopa; vina vya maji vilitetemeka.
17 Oblaci prosuše vode, oblaci zatutnjiše gromom i tvoje strijele poletješe.
Mawingu yalitiririsha maji chini; anga zito lilitoa sauti; mishale yako ilipita kati.
18 Grmljavina tvoja u vihoru zaori, munje rasvijetliše krug zemaljski, zemlja se zatrese i zadrhta.
Sauti yako kama ya radi ilisikika katika upepo; radi iliwasha dunia; nchi iliogopa na kutetemeka.
19 Kroz more put se otvori tebi i tvoja staza kroz vode goleme, a tragova tvojih nitko ne vidje.
Njia yako ilipita baharini na mapito yako katika maji mengi, lakini alama za miguu yako hazikuonekana.
20 Ti si svoj narod vodio kao stado rukama Mojsija i Arona.
Uliwaongoza watu wako kama kundi kwa mkono wa Musa na Haruni.