< Psalmi 74 >
1 Poučna pjesma. Asafova. Zašto si, Bože, posve zabacio, zašto kiptiš gnjevom na ovce paše svoje?
Mungu, kwa nini umetukataa milele? Kwa nini hasira yako inawaka dhidi ya kondoo wa malisho yako?
2 Sjeti se zajednice koju si davno stekao, plÓemena koje namače kao svoju baštinu i brda Siona gdje si Šator svoj udario!
Wafikilie watu wako, ambao uliwanunua siku nyingi zilizopita, kabila ambalo wewe umelikomboa liwe urithi wako, na Milima Sayuni, mahali uishipo.
3 Korakni k ruševinama vječnim - sve je u Svetištu razorio neprijatelj.
Uje utazame uharibifu kamili, uharibifu ambao umefanywa na adui mahali patakatifu.
4 Protivnici tvoji vikahu posred skupštine tvoje, znakove svoje postaviše k'o pobjedne znakove.
Washindani wako walivamia katikati ya mahali pako maalumu; walipandisha bendera zao za vita.
5 Bijahu kao oni koji mašu sjekirom po guštari,
Walipakatakata kwa shoka kama katika msitu mnene.
6 sjekirom i maljem vrata mu razbijali.
Walipaharibu na kuvunja sanaa zilizonakshiwa zote; walizivunja kwa shoka na nyundo.
7 Ognju predadoše Svetište tvoje, do zemlje oskvrnuše Prebivalište tvoga imena.
Walipachoma patakatifu pako; walipanajisi mahari unapoishi, wakigongagonga kwenye ardhi.
8 Rekoše u srcu: “Istrijebimo ih zajedno; spalite sva svetišta Božja na zemlji!”
Walisema mioyoni mwao, “Tutawaharibu wote.” Walichoma sehemu zako zote za kukutania katika nchi.
9 Ne vidimo znakova svojih, proroka više nema, i nitko među nama ne zna dokle ...
Sisi hatuoni tena ishara; hakuna tena nabii, na hakuna yeyote miongoni mwetu ajuaye haya yatadumu kwa muda gani.
10 Dokle će se još, o Bože, dušmanin rugati? Hoće li protivnik dovijeka prezirati ime tvoje?
Mpaka lini, Mungu, adui atakurushia wewe matusi? Je, atalitukana jina lako milele?
11 Zašto povlačiš ruku, zašto u krilu sakrivaš desnicu svoju?
Kwa nini umerudisha nyuma mkono wako, mkono wako wa kuume? Utoe mkono wako kwenye mavazi yako na uwaangamize.
12 No Bog je moj kralj od davnine, on koji posred zemlje spasava!
Lakini Mungu amekuwa mfalme wangu tangu enzi, akileta wokovu tuniani.
13 Ti svojom silom rasječe more, smrska glave nakazama u vodi.
Wewe uliigawa bahari; ulishambulia vichwa vya majitu ya kutisha baharini majini.
14 Ti si Levijatanu glave zdrobio, dao ga za hranu nemanima morskim.
Wewe ulishambulia vichwa vya lewiathani; na kumfanya awe chakula cha viumbe hai jangwani.
15 Ti si dao da provre izvor i bujica, ti si presušio rijeke nepresušne.
Ulizifungulia chemchem na vijito; uliikausha mito itiririkayo.
16 Tvoj je dan i noć je tvoja, ti učvrsti mjesec i sunce;
Mchana ni wako, na usiku ni wako pia; uliweka jua na mwezi mahari pake.
17 ti sazda sve granice zemlji, ti stvori ljeto i zimu.
Umeiweka mipaka ya nchi; umeumba majira ya joto na majira ya baridi.
18 Spomeni se ovoga: dušmanin ti se rugaše, Jahve, i bezumni narod pogrdi ime tvoje.
Kumbula vile adui alivyo vurumisha matusi kwako, Yahwe, na kwamba watu wapumbavu wamelitukana jina lako.
19 Ne predaj jastrebu život grlice svoje, i život svojih siromaha ne zaboravi zauvijek!
Usimtoe njiwa afe kwa mnyama wa porini. Usiusahau milele uhai wa watu wako walio onewa.
20 Pogledaj na Savez svoj, jer svi su zakuci zemlje puni tmina i nasilja.
Kumbuka agano lako, maana majimbo ya giza ya nchi yamejaa maeneo ya vurugu.
21 Ne daj da jadnik otiđe postiđen: neka siromah i ubog hvale ime tvoje!
Usiwaache walioonewa warudishwe kwa aibu; uwaache maskini na walioonewa walisifu jina lako.
22 Ustani, Bože, zauzmi se za svoju parnicu, spomeni se pogrde koju ti bezumnik svaki dan nanosi.
Inuka Mungu, itetee heshima yako; kumbuka wajinga wanavyokutukana machana kutwa.
23 Ne zaboravi vike neprijatelja svojih: buka buntovnika još se diže k tebi!
Usisahau sauti ya adui zako au kelele za wale wanaoendelea kukuchafua.