< Psalmi 54 >

1 Zborovođi. Uza žičana glazbala. Poučna pjesma. Davidova. Kad su Zifijci došli k Šaulu govoreći: “David se kod nas Spasi me, Bože, svojim imenom i jakošću svojom izbori mi pravdu!
Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?” Ee Mungu uniokoe kwa jina lako, unifanyie hukumu kwa uwezo wako.
2 Poslušaj, Bože, moju molitvu i usliši riječi usta mojih!
Ee Mungu, sikia maombi yangu, usikilize maneno ya kinywa changu.
3 Oholice ustadoše na me i moj život traže silnici: na Boga se ne osvrću.
Wageni wananishambulia, watu wakatili wanayatafuta maisha yangu, watu wasiomjali Mungu.
4 Evo, Bog mi pomaže, Gospodin krijepi život moj.
Hakika Mungu ni msaada wangu, Bwana ndiye anayenitegemeza.
5 Okreni nesreću na dušmane moje, zatri ih u vjernosti svojoj.
Mabaya na yawarudie wale wanaonisingizia, kwa uaminifu wako uwaangamize.
6 Od srca rado ću ti žrtvovati, slavit ću ti ime, Jahve, jer je dobrostivo,
Nitakutolea dhabihu za hiari; Ee Bwana, nitalisifu jina lako kwa kuwa ni vyema.
7 jer ti me izbavi iz svake nevolje, i oko moje vidje postiđene moje dušmane.
Kwa maana ameniokoa katika shida zangu zote, na macho yangu yamewatazama adui zangu kwa ushindi.

< Psalmi 54 >