< Psalmi 36 >

1 Zborovođi. Od sluge Jahvina Davida. Grešan je naum u srcu zlotvora, straha Božjega nema on pred očima.
Dhambi hunena kama unabii katika moyo wa mwovu; machoni mwake hamna hofu ya Mungu.
2 Sam sebi on laska suviše, grijeha svog ne vidi i ne mrzi.
Kwa maana yeye hujifariji mwenyewe, akifikiria kuwa dhambi zake hazitagundulika na kuchukiwa.
3 Riječi usta njegovih prijevara su i zlodjelo, za razumnost i dobro on više ne mari.
Maneno yake ni yenye dhambi na udanganyifu; hataki kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
4 Bezakonje smišlja na postelji svojoj, na opaku ostaje putu, od zla ne odustaje.
Alalapo kitandani, hupanga namna ya kutenda dhambi; yeye hukaa nje kwenye nja ya uovu; yeye hakatai uovu.
5 Do neba je, Jahve, dobrota tvoja, do oblaka vjernost tvoja.
Uaminifu wa agano lako, Yahwe, unafika mbinguni; uaminifu wako unafika mawinguni.
6 Pravednost je tvoja k'o Božji vrhunci, a sudovi tvoji k'o duboko more: ljude i stoku ti, Jahve, spasavaš.
Haki yako ni kama milima ya Mungu; hukumu yako ni kama kina kirefu. Yahwe, wewe huwahifadhi wote wanadamu na wanyama.
7 Kako li je dragocjena, Bože, dobrota tvoja, pod sjenu krila tvojih ljudi se sklanjaju;
Ni jinsi gani uaminifu wa aganao lako ni wa thamani, Mungu! Watu hukimbilia usalama chini ya uvuli wa mbawa zako.
8 site se pretilinom Doma tvojega, potocima svojih slasti ti ih napajaš.
Nao watatoshelezwa tele na utajiri wa chakula nyumbani mwako; utawafanya wanywe kutoka katika mto wa baraka zako za thamani.
9 U tebi je izvor životni, tvojom svjetlošću mi svjetlost vidimo.
Kwa kuwa mna chemichemi ya uzima; na katika mwanga wako tutaiona nuru.
10 Zakrili dobrotom sve koji te štuju i pravednošću svojom sve koji su srca čestita.
Uupanue uaminifu wa agano lako kikamilifu kwa wale wanao kujua wewe, ulinzi wako uwe juu ya wanyoofu wa moyo.
11 Neka me ne zgazi noga ohola, i ruka grešnika neka me ne goni.
Usiuache mguu wa mwenye kiburi unisogelee. Usiiache mkono wa mwovu unitoweshe.
12 Gle, padoše koji čine bezakonje: oboreni su da više ne ustanu.
Kule wafanyao maovu wameanguka; wameharibiwa hawawezi kuinuka.

< Psalmi 36 >