< Psalmi 23 >
1 Psalam. Davidov. Jahve je pastir moj: ni u čem ja ne oskudijevam;
Zaburi ya Daudi. Bwana ndiye mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu.
2 na poljanama zelenim on mi daje odmora. Na vrutke me tihane vodi
Hunilaza katika malisho ya majani mabichi, kando ya maji matulivu huniongoza,
3 i krijepi dušu moju. Stazama pravim on me upravlja radi imena svojega.
hunihuisha nafsi yangu. Huniongoza katika njia za haki kwa ajili ya jina lake.
4 Pa da mi je i dolinom smrti proći, zla se ne bojim, jer si ti sa mnom. Tvoj štap i palica tvoja utjeha su meni.
Hata kama nikipita katikati ya bonde la uvuli wa mauti, sitaogopa mabaya, kwa maana wewe upo pamoja nami; fimbo yako na mkongojo wako vyanifariji.
5 Trpezu preda mnom prostireš na oči dušmanima mojim. Uljem mi glavu mažeš, čaša se moja prelijeva.
Waandaa meza mbele yangu machoni pa adui zangu. Umenipaka mafuta kichwani pangu, kikombe changu kinafurika.
6 Dobrota i milost pratit će mene sve dane života moga. U Jahvinu ću domu prebivati kroz dane mnoge.
Hakika wema na upendo vitanifuata siku zote za maisha yangu, nami nitakaa nyumbani mwa Bwana milele.