< Psalmi 22 >
1 Zborovođi. Po napjevu “Košuta u zoru”. Psalam. Davidov. Bože moj, Bože moj, zašto si me ostavio? Daleko si od ridanja moga.
Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha? Kwa nini uko mbali na wokovu wangu na mbali na maneno yangu yenye uchungu?
2 Bože moj, vičem danju, al'ne odvraćaš; noću vapijem i nema mi počinka.
Mungu wangu, ninalia mchana kutwa, lakini haunijibu, na wakati wa usiku sinyamazi!
3 A ipak, ti u Svetištu prebivaš, Nado Izraelova!
Bado wewe ni mtakatifu; wewe umekaa kama mfalme pamoja na sifa za Israeli.
4 U tebe se očevi naši uzdaše, uzdaše se, i ti ih izbavi;
Mababu zetu walikuamini wewe, na wewe uliwaokoa wao.
5 k tebi su vikali i spasavali se, u tebe se uzdali, i postidjeli se nisu.
Walikulilia wewe nao waka okolewa. Wao walikuamini wewe na hawakuvunjwa moyo.
6 A ja, crv sam, a ne čovjek, ruglo ljudi i naroda prezir.
Bali mimi ni funza na sio mtu, nisiye faa kwa ubinadamu na hudharauliwa na watu.
7 Koji me vode, podruguju se meni, razvlače usne, mašu glavom:
Wale wote wanionao hunisuta; hunidhihaki; hunitikisia vichwa vyao.
8 “U Jahvu se on uzda, neka ga sad izbavi, neka ga spasi ako mu omilje!”
Wao husema, “Yeye anamwamini Yahwe; mwache Yahwe amuokoe. Mwache amuokoe yeye, kwa kuwa yeye anampendeza sana Yeye.”
9 Iz krila majčina ti si me izveo, mir mi dao na grudima majke.
Kwa kuwa wewe ulinileta kutoka tumboni; wewe ulinifanya nikuamini wewe wakati nikiwa nanyonya matiti ya mama yangu.
10 Tebi sam predan iz materine utrobe, od krila majčina ti si Bog moj.
Nimekwisha tupwa kwako wewe tokea tumboni; wewe ni Mungu wangu tangu nikiwa tumboni mwa mama yangu!
11 Ne udaljuj se od mene, blizu je nevolja, a nikog nema da mi pomogne.
Usiwe mbali na mimi, kwa kuwa shida ikaribu; hayupo hata mmoja wa kusaidia.
12 Opkoliše me junci mnogobrojni, bašanski bikovi okružiše mene.
Maksai wengi wananizunguka mimi; maksai wenye nguvu ya Bashan wananizunguka mimi.
13 Ždrijela svoja razvaljuju na me k'o lav koji plijen kida i riče.
Wao wanafungua midomo yao kwangu kama simba aungurumaye akirarua windo lake.
14 Kao voda razlih se, sve mi se kosti rasuše; srce mi posta poput voska, topi se u grudima mojim.
Ninamwagwa nje kama maji, na mifupa yangu yote imeteguka. Moyo wangu ni kama nta; nao unayeyuka ndani ya sehemu zangu za ndani.
15 Grlo je moje kao crijep suho, i moj se jezik uz nepce slijepi: u prah smrtni bacio si mene.
Nguvu zangu zimekaushwa kama kipande cha ufinyanzi; ulimi wangu unanata juu ya mdomo wangu. Wewe umenilaza mimi katika vumbi la mauti.
16 Opkolio me čopor pasa, rulje me zločinačke okružile. Probodoše mi ruke i noge,
Kwa maana mbwa wamenizunguka; kundi la watu waovu limenizunguka; wamenitoboa mikono yangu na miguu yangu.
17 sve kosti svoje prebrojiti mogu, a oni me gledaju i zure na me.
Nami ninaweza kuihesabu mifupa yangu. Wao wananitazama na kunishangaa.
18 Haljine moje dijele među sobom i kocku bacaju za odjeću moju.
Wao wanagawa mavazi yangu kati yao wenyewe, wanapiga kura kwa ajili ya mavazi yangu.
19 Ali ti, o Jahve, daleko mi ne budi; snago moja, pohiti mi u pomoć!
Usiwe mbali, Yahwe; tafadhali harakisha kunisaidia mimi, nguvu yangu!
20 Dušu moju istrgni maču, iz šapa pasjih život moj.
Uiokoe roho yangu na upanga, maisha yangu mwenyewe na makucha ya mbwa mwitu.
21 Spasi me iz ralja lavljih i jadnu mi dušu od rogova bivoljih!
Uniokoe na mdomo wa simba; uniokoe na mapembe ya ng'ombe wa porini.
22 A sada, braći ću svojoj naviještat' ime tvoje, hvalit ću te usred zbora.
Nami nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; katikati ya kusanyiko la watu nitakusifu wewe.
23 “Koji se bojite Jahve, hvalite njega! Svi od roda Jakovljeva, slavite njega! Svi potomci Izraelovi, njega se bojte!
Ninyi mnao mwogopa Yahwe, msifuni yeye! Ninyi nyote kizazi cha Yakobo, muheshimuni yeye! Simameni katika hofu yake, ninyi nyote kizazi cha Israeli!
24 Jer nije prezreo ni zaboravio muku jadnika, i nije sakrio lice svoje od njega; kad ga je zazvao, on ga je čuo.”
Kwa kuwa haja dharau au kuchukia mateso ya aliye taabishwa; Yahwe hajamficha uso wake yeye; pindi wale walio taabishwa walipo mlilia yeye, yeye alisikia.
25 Zato ću te hvaliti u zboru veliku, pred vjernicima tvojim izvršit' zavjete.
Yahwe, katika kusanyiko la watu wako nitakusifu kwa yale uliyo tenda; nami nitatimiza nadhiri zangu mbele ya wale wanao muhofu yeye.
26 Siromasi će jesti i nasitit će se, hvalit će Jahvu koji traže njega: nek' živi srce vaše dovijeka!
Walio onewa watakula na kutosheka; wale ambao humtafuta Yahwe watamsifu yeye. Mioyo yenu iishi milele.
27 Spomenut će se i Jahvi se vratit' svi krajevi zemlje; pred njim će n§icÄe pasti sve obitelji pogana.
Watu wote wa duniani watakumbuka na kumrudia Yahwe; familia zote za mataifa watapiga magoti chini mbele yako.
28 Jer Jahvino je kraljevstvo, on je vladar pucima.
Kwa kuwa utawala ni wa Yahwe; yeye ni mtawala wa mataifa.
29 Njemu će se jedinom klanjati svi koji snivaju u zemlji, pred njim se sagnuti svi koji u prah silaze. I moja će duša za njega živjeti,
Watu wote wa duniani waliofanikiwa wata sherekea na wata abudu; wale wote washukao katika mavumbi watapiga magoti mbele zake, wale ambao hawawezi kulinda maisha yao wenyewe.
30 njemu će služiti potomstvo moje. O Gospodu će se pripovijedat'
Kizazi kijacho kitamtumikia yeye; wao watakiambia kizazi kinachofuatia kuhusu Bwana.
31 slijedećem koljenu, o njegovoj pravdi naviještati narodu budućem: “Ovo učini Jahve!”
Wao watakuja na kuzungumza kuhusu haki yake; wao watawaambia watu ambao bado hawaja zaliwa yale ambayo Yahwe ameyafanya!