< Psalmi 146 >

1 Aleluja! Hvali, dušo moja, Jahvu!
Msifuni Bwana! Ee nafsi yangu, umsifu Bwana,
2 Hvalit ću Jahvu sveg života svojeg. Dok me bude, Bogu svom ću pjevati.
Nitamsifu Bwana maisha yangu yote; nitamwimbia Mungu wangu sifa wakati wote niishipo.
3 Ne uzdajte se u knezove, u čovjeka od kog nema spasenja!
Usiweke tumaini lako kwa wakuu, kwa wanadamu ambao hufa, ambao hawawezi kuokoa.
4 Iziđe li duh iz njega, u zemlju svoju on se vraća i propadaju sve misli njegove.
Roho yao itokapo hurudi mavumbini, siku hiyo hiyo mipango yao yote hukoma.
5 Blago onom kome je pomoćnik Bog Jakovljev, kome je ufanje u Jahvi, Bogu njegovu,
Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake ni katika Bwana, Mungu wake,
6 koji stvori nebo i zemlju, more i sve što je u njima; koji ostaje vjeran dovijeka,
Muumba wa mbingu na nchi, na bahari na vyote vilivyomo ndani yake: Bwana anayedumu kuwa mwaminifu milele na milele.
7 potlačenima vraća pravicu, a gladnima kruh daje. Jahve oslobađa sužnje,
Naye huwapatia haki walioonewa na kuwapa wenye njaa chakula. Bwana huwaweka wafungwa huru,
8 Jahve slijepcima oči otvara. Jahve uspravlja prignute, Jahve ljubi pravedne.
Bwana huwafumbua vipofu macho, Bwana huwainua waliolemewa na mizigo yao, Bwana huwapenda wenye haki.
9 Jahve štiti tuđince, sirote i udovice podupire, a grešnicima mrsi putove.
Bwana huwalinda wageni na kuwategemeza yatima na wajane, lakini hupinga njia za waovu.
10 Jahve će kraljevati dovijeka, tvoj Bog, Sione, od koljena do koljena. Aleluja!
Bwana atamiliki milele, Mungu wako, ee Sayuni, kwa vizazi vyote. Msifuni Bwana.

< Psalmi 146 >