< Psalmi 135 >
1 Aleluja! Hvalite ime Jahvino, hvalite, sluge Jahvine
Msifuni Yahwe. Lisifuni jina la Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe,
2 koji u Domu Jahvinu stojite u predvorjima Doma Boga našega!
ninyi msimamao katika nyumba ya Yahwe, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
3 Hvalite Jahvu jer dobar je Jahve, pjevajte imenu njegovu jer je ljupko!
Msifuni Yahwe, kwa kuwa ni mwema; liimbieni sifa jina lake, maana ni vizuri kufanya hivyo.
4 Jer Jahve sebi odabra Jakova, Izraela za dragu svojinu.
Kwa kuwa Yahwe amemchagua Yakobo kwa ajili yake mwenyewe, Israeli kama urithi wake.
5 Znadem da je velik Jahve, da je nad bozima svim gospodar.
Najua ya kuwa Yahwe ni mkuu, na kwamba Bwana wetu yuko juu ya miungu yote.
6 Što god se Jahvi svidi, to čini na nebu i na zemlji, na moru i u bezdanima.
Chochote Yahwe apendacho, hufanya mbinguni, duniani, katika bahari na katika vilindi vyote.
7 Oblake diže s kraja zemlje; stvara kiši munje, vjetar izvodi iz skrovišta njegovih.
Hushusha mawingu kutoka mbali, akifanya mianga ya radi kuongozana na mvua na kuleta upepo toka katika ghala yake.
8 On Egiptu pobi prvorođence, ljude i stoku podjednako.
Aliua mzaliwa wa kwanza wa Misri, wote wanadamu na wanyama.
9 On učini znamenja i čudesa usred tebe, Egipte, protiv Faraona i svih slugu njegovih.
Alituma ishara na maajabu kati yako Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
10 On pobi narode mnoge i pogubi kraljeve moćne:
Aliwashambulia mataifa mengi na aliua wafalme wenye nguvu,
11 Sihona, kralja amorejskog, i Oga, kralja bašanskog, i sva kraljevstva kanaanska.
Sihoni mfalme wa Waamori na Ogu mfalme wa Bashani na falme zote za Kanaani.
12 I dade njihovu zemlju u baštinu, u baštinu Izraelu, narodu svom.
Alitupatia sisi nchi yao kama urithi, urithi wa Israeli watu wake.
13 Ime tvoje, o Jahve, ostaje dovijeka i spomen na te, o Jahve, od koljena do koljena.
Jina lako, Yahwe, inadumu milele; Yahwe, kumbukumbu lako vizazi hata vizazi.
14 Jer Jahve štiti narod svoj, slugama svojim on je milostiv.
Kwa kuwa Bwana huwatetea watu wake na anahuruma juu ya watumishi wake.
15 Kumiri poganski, srebro i zlato, ljudskih su ruku djelo:
Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
16 usta imaju, a ne govore; oči imaju, a ne vide;
Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
17 uši imaju, a ne čuju; i nema daha u ustima njihovim.
zina masikio, lakini hazisikii, wala vinywani mwao hamna pumzi.
18 Takvi su i oni koji ih napraviše i svi koji se u njih uzdaju.
Wale wazitengenezao wanafanana nazo, vilevile kila anaye zitumainia.
19 Dome Izraelov, Jahvu blagoslivljaj! Dome Aronov, Jahvu blagoslivljaj!
Enyi kizazi cha Israeli, mtukuzeni Yahwe; kizazi cha Haruni, mtukuzeni Yahwe.
20 Dome Levijev, Jahvu blagoslivljaj! Štovatelji Jahvini, Jahvu blagoslivljajte!
Kizazi cha Lawi, mtukuzeni Yahwe.
21 Blagoslovljen sa Siona Jahve koji prebiva u Jeruzalemu!
Atukuzwe Yahwe katika Sayuni, yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Yahwe.