< Psalmi 111 >

1 Aleluja! ALEF Hvalit ću Jahvu svim srcem svojim BET u zboru pravednika, u zajednici njihovoj.
Msifuni Bwana. Nitamtukuza Bwana kwa moyo wangu wote, katika baraza la wanyofu na katika kusanyiko.
2 GIMEL Silna su djela Jahvina, DALET nek' razmišljaju o njima svi koji ih ljube.
Kazi za Bwana ni kuu, wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.
3 HE Sjajno je i veličanstveno djelo njegovo, VAU i pravda njegova ostaje dovijeka.
Kazi zake zimejaa fahari na utukufu, haki yake hudumu daima.
4 ZAJIN Čudesima svojim spomen postavi, HET blag je Jahve i milosrdan.
Amefanya maajabu yake yakumbukwe, Bwana ni mwenye neema na huruma.
5 TET Hranu dade štovateljima svojim, JOD dovijeka se sjeća svoga Saveza.
Huwapa chakula wale wanaomcha, hulikumbuka agano lake milele.
6 KAF Silna djela svoja objavi svom narodu, LAMED u posjed im dade zemlju pogana.
Amewaonyesha watu wake uwezo wa kazi zake, akiwapa nchi za mataifa mengine.
7 MEM Djela ruku njegovih vjernost su i pravednost, NUN stalne su sve naredbe njegove,
Kazi za mikono yake ni za uaminifu na haki, mausia yake yote ni ya kuaminika.
8 SAMEK utvrđene za sva vremena, dovijeka, AJIN sazdane na istini i na pravdi.
Zinadumu milele na milele, zikifanyika kwa uaminifu na unyofu.
9 PE On posla spasenje svom narodu, SADE Savez svoj postavi zauvijek: KOF sveto je i časno ime njegovo!
Aliwapa watu wake ukombozi, aliamuru agano lake milele: jina lake ni takatifu na la kuogopwa.
10 REŠ Početak mudrosti strah Gospodnji! ŠIN Mudro čine koji ga poštuju. TAU Slava njegova ostaje dovijeka!
Kumcha Bwana ndicho chanzo cha hekima, wote wanaozifuata amri zake wana busara. Sifa zake zadumu milele.

< Psalmi 111 >