< Psalmi 108 >

1 Pjesma. Psalam. Davidov. Moje je srce sigurno, Bože, sigurno je srce moje: pjevat ću i svirati.
Ee Mungu, moyo wangu u thabiti; nitaimba, naam, nitaimba sifa pia kwa moyo mkuu.
2 Probudi se, dušo moja! Probudi se, harfo i citaro! Probudit ću zoru jutarnju.
Amka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
3 Hvalit ću te, Jahve, među narodima, među pucima tebi ću pjevati,
Nitakushukuru wewe, Yahwe, kati ya watu; nitakuimbia sifa kati ya mataifa.
4 jer do neba je dobrota tvoja, do oblaka tvoja vjernost.
Kwa maana uaminifu wa agano lako ni mkuu juu ya mbingu; na uaminifu wako wafika mawinguni.
5 Uzvisi se, Bože, nad nebesa, slava tvoja nek' je nad svom zemljom!
Ee Mungu, uinuliwe, juu ya mbingu, na utukufu wako utukuke juu ya nchi.
6 Da ti se ljubimci izbave, desnicom pomozi, usliši nas!
Ili kwamba wale uwapendao waokolewe, utuokoe sisi kwa mkono wako wa kuume na unijibu.
7 Bog reče u svom Svetištu: “Šekem ću razdijelit' kličući, dolinu ću Sukot izmjeriti.
Mungu ameongea katika utakatifu wake; “Nitashangilia; nitaigawanya Shekemu na nitalipima bonde la Sukothi.
8 Moj je Gilead, moj Manaše, Efrajim mi kaciga, Judeja žezlo moje!
Gileadi ni yangu, na manase ni yangu; Ephraimu ni nguvu ya kichwa changu; Yuda ni fimbo yangu ya kifalme.
9 Moab je sud iz kojeg se umivam, na Edom ću baciti obuću, nad Filistejcem slaviti pobjedu!”
Moabu ni bakuli langu la kunawia; nitatupa kiatu changu juu ya Edomu; nitapaza sauti katika ushindi kwa ajili ya Filisti.
10 Tko će me dovesti do utvrđena grada, tko će me dovesti do Edoma?
Ni nani atakaye nipeleka kwenye mji imara? Ni nani atakayeniongoza mpaka Edomu?”
11 Zar nećeš ti, o Bože, što nas odbaci? Zar nećeš više, Bože, sa četama našim?
Ee Mungu, sio wewe uliyetukataa? Hauendi vitani na jeshi letu.
12 Pomozi nam protiv dušmana, jer je ljudska pomoć ništavna!
Utupe msaada dhidi ya adui yetu, maana msaada wa wanadamu ni bure.
13 S Božjom pomoću hrabro ćemo se boriti, Bog će zgaziti naše dušmane.
Tutashinda kwa msaada wa Mungu; atawakanyaga kwa adui zetu.

< Psalmi 108 >