< Mudre Izreke 8 >

1 Ne propovijeda li mudrost i ne diže li razboritost svoj glas?
Je hekima haiti? Je ufahamu hapazi sauti yake?
2 Navrh brda, uza cestu, na raskršćima stoji,
Juu ya kilima kando ya barabara, kwenye njia panda, hekima anasimama.
3 kod izlaza iz grada, kraj ulaznih vrata, ona glasno viče:
Kando ya njia ya kuingilia mjini, karibu na milango ya mji, anaita kwa sauti.
4 “Vama, o ljudi, propovijedam i upravljam svoj glas sinovima ljudskim.
Watu, ninawaita ninyi na ninapaza sauti yangu kwa wana wa wanadamu.
5 Shvatite mudrost, vi neiskusni, a vi nerazumni, urazumite srce.
Ninyi wajinga, jifunzeni hekima, na ninyi mnaochukia maarifa, lazima mjipatieni moyo wa ufahamu.
6 Slušajte, jer ću zboriti o važnim stvarima, i moje će usne otkriti što je pravo.
Sikiliza na mimi nitasema mambo mazuri na nifumbuapo midomo yangu nitaongea haki.
7 Jer moje nepce zbori istinu i zloća je mojim usnama mrska.
Maana kinywa changu hunena uaminifu na midomo yangu huchukia uovu.
8 Sve su riječi mojih usta pravične, u njima nema ništa ni krivo ni prijetvorno.
Maneno ya kinywa changu yote ni haki; hakuna kilichogeuzwa wala kupotoshwa.
9 Sve su one jasne razboritomu i pravedne onomu tko je stekao spoznaju.
Maneno yangu yote yamenyooka kwa yule mwenye kuelewa; maneno yangu ni haki kwa wale wanaotafuta maarifa.
10 Primajte radije moju pouku no srebro i znanje požudnije od zlata.
Chagua fundisho langu badala ya fedha na maarifa kuliko dhahabu safi.
11 Jer mudrost je vrednija od biserja i nikakve se dragocjenosti ne mogu porediti s njom.
Maana mimi, hekima ni bora kuliko vito; hakuna unachokitamani kinaweza kulinganishwa na mimi.
12 Ja, mudrost, boravim s razboritošću i posjedujem znanje umna djelovanja.
Mimi, hekima, naishi kwa utaratibu, na ninamiliki maarifa na busara.
13 Strah Gospodnji mržnja je na zlo. Oholost, samodostatnost, put zloće i usta puna laži - to ja mrzim.
Hofu ya Mungu ni kuchukia uovu- nachukia majivuno na kiburi, njia ya uovu, na kauli iliyopotoka- hivyo ninavichukia.
14 Moji su savjet i razboritost, ja sam razbor i moja je jakost.
Ninaushauri mzuri na hekima sahihi; mimi ni busara; nguvu zipo kwangu.
15 Po meni kraljevi kraljuju i velikaši dijele pravdu.
Kwa njia yangu wafalme hutawala- pia na waungwana, na wote ambao hutawala kwa haki.
16 Po meni knezuju knezovi i odličnici i svi suci zemaljski.
Kwa njia yangu wafalme hutawala na waungwana na wote wanaotawala kwa haki.
17 Ja ljubim one koji ljube mene i nalaze me koji me traže.
Nawapenda wale wanaonipenda, na wale wanaonitafuta kwa bidii, wataniona.
18 U mene je bogatstvo i slava, postojano dobro i pravednost.
Kwangu kunautajiri na heshima, utajiri wa kudumu na haki.
19 Moj je plod bolji od čista i žežena zlata i moj je prihod bolji od čistoga srebra.
Tunda langu ni bora kuliko dhahabu, bora hata kuliko dhahabu safi.
20 Ja kročim putem pravde, sred pravičnih staza,
Ninazalisha kilicho bora kuliko fedha safi. Natembea katika njia ya haki,
21 da dadem dobra onima koji me ljube i napunim njihove riznice.
katika mapito ambayo huelekea kwenye haki, ili niwape urithi wale wanaonipenda na kuzijaza hazina zao.
22 Jahve me stvori kao počelo svoga djela, kao najraniji od svojih čina, u pradoba;
Yehova aliniumba tokea mwanzo- mwazoni mwa matendo yake ya nyakati za kale.
23 oblikovana sam još od vječnosti, odiskona, prije nastanka zemlje.
Tokea enzi za kale niliwekwa katika nafasi- tokea kwanza, tokea mwanzo wa dunia.
24 Rodih se kad još nije bilo pradubina, dok nije bilo izvora obilnih voda.
Kabla ya bahari, mimi nilizaliwa- kabla ya kuwepo chemchemi zenye maji tele.
25 Rodih se prije nego su utemeljene gore, prije brežuljaka.
Kabla ya milima na vilima kuwekwa, mimi nilizaliwa.
26 Kad još ne bijaše načinio zemlje, ni poljana, ni početka zemaljskom prahu;
Nilizaliwa kabla ya Yehova hajaiumba dunia wala makonde, hata mavumbi ya kwanza katika dunia.
27 kad je stvarao nebesa, bila sam nazočna, kad je povlačio krug na licu bezdana.
Nilikuwepo alipoziimarisha mbingu, wakati alipochora mstari katika sura ya kilindi.
28 Kad je u visini utvrđivao oblake i kad je odredio snagu izvoru pradubina;
Nilikuwepo alipoimarisha anga la juu na wakati wa kutengeneza kina cha chemchemi.
29 kad je postavljao moru njegove granice da mu se vode ne preliju preko obala, kad je polagao temelje zemlji,
Nilikuwepo alipotengeneza mipaka ya bahari, ili maji yasisambae kuvuka pale alipoyaamuru, na wakati anaamuru misingi ya dunia sehemu ya kukaa.
30 bila sam kraj njega, kao graditeljica, bila u radosti, iz dana u dan, igrajući pred njim sve vrijeme:
Nilikuwa kando yake, kama fundistadi mkuu, na mimi nilikuwa furaha yake siku kwa siku, nikifurahi mbele zake daima.
31 igrala sam po tlu njegove zemlje, i moja su radost djeca čovjekova.
Nilikuwa nikifurahi katika dunia yake yote na furaha yangu ilikuwa kwa wana wa wanadamu.
32 Tako, djeco, poslušajte me, blago onima koji čuvaju moje putove.
Na sasa, wanangu, nisikilizeni, maana wale wazishikao njia zangu watakuwa na furaha.
33 Poslušajte pouku - da stečete mudrost i nemojte je odbaciti.
Sikilizeni fundisho langu na mpate hekima; wala msilipuuze.
34 Blago čovjeku koji me sluša i bdi na mojim vratima svaki dan i koji čuva dovratnike moje.
Anisikilizaye atakuwa na furaha- kila siku akitazama katika malango yangu, akinisubiri pembeni mwa milango ya masikani yangu.
35 Jer tko nalazi mene, nalazi život i stječe milost od Jahve.
Maana yeyote anionaye mimi, anapata uzima, naye atapata kibali kwa Yehova.
36 A ako se ogriješi o mene, udi svojoj duši: svi koji mene mrze ljube smrt.”
Na yeyote asiyeniona mimi, hujiumiza mwenyewe, wote wanaonichukia hupenda mauti.

< Mudre Izreke 8 >