< Mudre Izreke 29 >
1 Čovjek koji, po opomeni, ostaje tvrdoglav, u tren će se slomiti, i neće mu biti spasa.
Mtu aliyepokea makaripio mengi lakini anashupaza shingo yake atavunjika ndani ya muda mfupi na hata pona.
2 Narod se veseli kad se množe pravednici, a puk uzdiše kad zavlada opaki.
Watenda mema wanapoongezeka, watu wanafurahi, bali wakati mtu mwovu anapotawala, watu huugua.
3 Čovjek koji ljubi mudrost, veseli oca svoga, a koji se druži s bludnicama, rasipa imetak.
Mwenye kupenda hekima baba yake anafurahi, bali anayeshikamana na makahaba huuharibu utajiri wake.
4 Kralj pravicom održava državu, a ruši je čovjek koji nameće daće.
Mfalme huimarisha nchi kwa haki, bali mwenye kudai rushwa huirarua.
5 Čovjek koji laska bližnjemu svome razapinje mrežu stopama njegovim.
Mtu anayejipendekeza kwa jirani yake anatandaza wavu kwenye miguu yake.
6 U grijehu je zamka zlu čovjeku, a pravednik likuje i veseli se.
Mtu mbaya hunaswa kwenye mtego wa dhambi yake mwenyewe, bali yeye atendaye haki huimba na kufurahi.
7 Pravednik razumije pravo malenih, a opaki ne shvaća spoznaju.
Atendaye haki hutetea madai ya masikini; mtu mwovu hafahamu maarifa kama hayo.
8 Podsmjevači uzbunjuju grad, a mudri stišavaju srdžbu.
Mwenye dhihaka huutia moto mji, bali wale wenye busara huigeuza ghadhabu.
9 Kad se mudrac parbi s bezumnikom, il' se srdio, il' se smijao, svejednako mira nema.
Mtu mwenye busara anapojadiliana na mpumbavu, hughadhabika na kucheka, hakutakuwa na utulivu.
10 Krvopije mrze poštenoga, a pravednici mu se za život brinu.
Mkatili humchukia mwenye ukamilifu na hutafuta maisha ya mwenye haki.
11 Bezumnik izlijeva sav svoj gnjev, a mudrac susteže svoju srdžbu.
Mpumabavu huonyesha hasira yake, bali mtu mwenye busara huishikilia na kujituliza mwenyewe.
12 Ako vladalac posluša riječ lažljivu, sve mu sluge postaju opake.
Kama matawala atazinagatia uongo, maafisa wake wote watakuwa waovu.
13 Siromah se i gulikoža susreću: Jahve obojici prosvjetljuje oči.
Mtu masikini na mkandamizaji wanafanana, maana Yehova huyapa nuru macho yao wote.
14 Kralj koji sudi siromasima po istini ima prijesto čvrst dovijeka.
Kama mfalme atamhukumu masikini kwa uaminifu, kiti chake cha enzi kitaimarishwa milele.
15 Šiba i ukor podaruju mudrost, a razuzdan mladić sramoti majku svoju.
Fimbo na maonyo huleta hekima, bali mtoto huru mbali na makaripio humwaibisha mama yake.
16 Kad se množe opaki, množi se i grijeh, ali pravednici promatraju propast njihovu.
Watu waovu wanapotawala, uovu huongezeka, bali wenye kutenda haki wataona anguko la watu waovu.
17 Ukori sina svoga, i zadovoljit će te i dati radost duši tvojoj.
Mwadibishe mwanao naye atakupa pumziko; ataleta furaha katika maisha yako.
18 Kad objave nema, narod se razuzda, a blago onome tko se drži Zakona!
Pasipo na maono ya kinabii watu huenda bila utaratibu, bali mwenye kuitunza sheria amebarikiwa.
19 Samim se riječima sluga ne popravlja, jer se ne pokorava iako umom shvaća.
Mtumwa hawezi kurekebishwa kwa maneno, maana ingawa anaelewa, hakuna mwitikio.
20 Jesi li vidio čovjeka brza na riječima? I bezumnik ima više nade nego on.
Je unamwona mtu mwenye haraka katika maneno yake? Kuna matumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko kwake.
21 Tko mazi slugu svoga od djetinjstva bit će mu poslije neposlušan.
Mwenye kumdekeza mtumwa wake tangu ujana, mwisho wake itakuwa taabu.
22 Gnjevljiv čovjek zameće svađu, a naprasit čovjek počini mnoge grijehe.
Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi na bwana mwenye hasira sana hutenda dhambi nyingi.
23 Oholost ponizuje čovjeka, a ponizan duhom postiže časti.
Kiburi cha mtu humshusha chini, bali mwenye roho ya unyenyekevu atapewa heshima.
24 Tko s lupežom plijen dijeli, mrzi sebe samog: čuje proklinjanje i ništa ne otkriva.
Anayeshirikiana na mwizi huyachukia maisha yake mwenyewe; husikia laana na wala hasemi chochote.
25 Strah čovjeku postavlja zamku, a tko se uzda u Jahvu, nalazi okrilje.
Kumwogopa binadamu ni mtego, bali mwenye kumtumaini Yehova atalindwa.
26 Mnogi traže milost vladaočevu, ali Jahve dijeli pravdu svakome.
Wengi huutafuta uso wa mtawala, bali kutoka kwa Yehova huja haki kwa ajili yake.
27 Nepravednik je mrzak pravednicima, a pravednik je mrzak opakima.
Mtu dhalimu ni chukizo kwa wenye kutenda haki, bali mwenye njia ya haki ni chukizo kwa watu waovu.