< Mudre Izreke 26 >

1 Kao snijeg ljeti ili kiša o žetvi, tako pristaju počasti bezumnomu.
Kama theluji wakati wa joto au mvua kwenye mavuno, ndivyo mpumbavu asivyostahili heshima.
2 Kao vrabac kad prhne i lastavica kad odleti, tako se i bezrazložna kletva ne ispunja.
Kama shorowanda hurukaruka na kumeza wadudu wakati wa kuruka, ndivyo ilivyo laana isiyostahili haishuki.
3 Bič konju, uzda magarcu, a šiba leđima bezumnika.
Mjeledi ni kwa ajili ya farasi, hatamu kwa ajili ya punda na fimbo ni kwa ajili mgongo wa wapumbavu.
4 Ne odgovaraj bezumniku po njegovoj ludosti, da mu i sam ne postaneš jednak.
Usimjibu mpumbavu na kujiunga katika upumbavu wake, au utakuwa kama yeye.
5 Odgovori bezumniku po ludosti njegovoj, da se ne bi učinio sam sebi mudar.
Mjibu mpumbavu na jiunge katika upumbavu wake, ili asiweze kuwa na busara katika macho yake mwenyewe.
6 Odsijeca noge sebi i gorčinu pije tko po bezumnom poruke šalje.
Anayetuma ujumbe kwa mkono wa mpumbavu huikata miguu yake mwenyewe na kunywa vurugu.
7 Klecava bedra u hromoga - mudra je izreka u ustima bezumničkim.
Miguu ya kiwete inayoning'ia chini ni kama mithali kwenye kinywa cha wapumbavu.
8 Kamen za praćku vezuje tko bezumnom iskazuje čast.
Kujaribisha jiwe kwenye kombeo ni sawa na kumpa heshima mpumbavu.
9 Trnovita grana u ruci pijanice: mudra izreka u ustima bezumnika.
Mwiba unaochoma kwenye mkono wa mlevi ni kama mithali kwenye kinywa cha wapumbavu.
10 Strijelac koji ranjava sve prolaznike: takav je onaj tko unajmljuje bezumnika.
Mpiga mishale anayejeruhi kila mtu ni kama mtu anayemwajiri mpumbavu au kila mtu anayepita karibu yake.
11 Bezumnik se vraća svojoj ludosti kao što se pas vraća na svoju bljuvotinu.
Kama mbwa anavyorudia matapishi yake, ndivyo alivyo mpumbavu anayerudia upuuzi wake.
12 Vidiš li čovjeka koji se sam sebi mudrim čini? Znaj, i od bezumnika ima više nade nego od njega!
Je unamwona mtu mwenye busara katika macho yake mwenyewe? Mpumbavu anamatumaini zaidi kuliko yeye.
13 Lijenčina veli: “Zvijer je na putu, i lav je na ulicama.”
Mtu mvivu husema “Kuna simba kwenye barabara! Kuna simba katikati ya njia kuu!”
14 Kao što se vrata okreću na stožerima svojim, tako i lijenčina na postelji svojoj.
Kama mlango unavyogeuka kwenye bawaba zake, ndivyo alivyo mtu mvivu kwenye kitanda chake.
15 Lijenčina umače ruku u zdjelu, ali je ne može prinijeti ustima.
Mtu mvivu hutia mkono wake kwenye sufuria na bado hana nguvu kuunyanyua kwenda kwenye kinywa chake.
16 Lijenčina se čini sebi mudrijim od sedmorice koji umno odgovaraju.
Mtu mvivu ni mwenye hekima kwenye macho yake mwenyewe kuliko watu saba wenye ufahamu.
17 Psa za uši hvata tko se, u prolazu, umiješa u raspru koja ga se ne tiče.
Kama mtu anayeshikilia masikio ya mbwa, ndivyo alivyo mpitajia anayepata hasira kwenye ugomvi ambao si wake.
18 Kao bjesomučnik koji baca zublje, strelice i sije smrt,
Kama mtu mwendawazimu anayetupa mishale,
19 takav je čovjek koji vara bližnjega svoga i veli: “Samo se našalih.”
ndivyo alivyo ambaye humdanganya jirani yake na kusema, “Je sikuwa naongea utani?”
20 Kad nestane drva, oganj se gasi, i kad više nema klevetnika, prestaje svađa.
Kwa kukosa kuni, moto huzimika; na pale pasipo na mmbea ugomvi hukoma.
21 Ugljen je za žeravnicu i drvo za oganj, a svadljivac da raspaljuje svađu.
Mkaa ni kwa kuwasha makaa na kuni kwa ajili ya moto, ndivyo alivyo mtu mgomvi kwa kuwasha ugomvi.
22 Klevetnikove su riječi kao slastice: spuštaju se u dno utrobe.
Maneno ya mmbea ni kama chembe tamu; nazo zinashuka chini kwenye sehemu za ndani ya mwili.
23 Srebrna gleđa preko zemljana suđa: laskave usne i opako srce.
Kioo kinachofunika chombo cha udongo ni kama midomo inayoungua na moyo mbaya.
24 Mrzitelj hini usnama svojim, a u sebi nosi prijevaru;
Yule ambaye huwachukia wengine huficha hisia zake kwa midomo na hufunika uongo ndani yake mwenyewe.
25 ne vjeruj mu kad ljupkim glasom govori, jer u srcu mu je sedam grdila;
Ataongea kwa huruma, lakini usimwamini, maana kuna machukizo saba kwenye moyo wake.
26 ako himbom skriva mržnju, njegova će se opačina otkriti na zboru.
Ingawa chuki zake zimefunikwa kwa udanganyifu, uovu wake utakuwa wazi katika kusanyiko.
27 Tko jamu kopa, sam u nju pada, i tko kamen valja, na njega se prevaljuje.
Anayechimba shimo atatumbukia ndani yake na jiwe litamsaga yule anayelisukuma.
28 Lažljiv jezik mrzi svoje žrtve, laskava usta propast spremaju.
Ulimi wa uongo huchukia watu unaowajeruhi na kinywa cha uongo husogeza karibu uharibifu.

< Mudre Izreke 26 >