< Mudre Izreke 18 >

1 Vlastitoj požudi popušta onaj tko zastranjuje, i svađa se usprkos svakom razboru.
Yule ambaye hujitenga hutafuta matakwa yake mwenyewe na hupingana na hukumu zote za kweli.
2 Bezumnomu nije mio razum; stalo mu je dati srcu oduška.
Mpumbavu hapati raha katika ufahamu, lakini hufunua kile kilichopo katika moyo wake.
3 Kad dolazi opačina, dolazi i prezir i bruka sa sramotom.
Mtu mwovu anapokuja, dharau huja pamoja naye- sambamba na aibu na shutuma.
4 Duboke su vode riječi iz usta nečijih, izvor mudrosti bujica što se razlijeva.
Maneno ya kinywa cha mtu ni maji yenye kina kirefu; chemchemi ya hekima ni mkondo unaotiririka.
5 Ne valja se obazirati na opaku osobu, da se pravedniku nanese nepravda na sudu.
Si vema kuwa na upendeleo kwa mwovu, wala haifai kukana haki kwa wale watendao mema.
6 Bezumnikove se usne upuštaju u svađu i njegova usta izazivlju udarce.
Midomo ya mpumbavu huletea mafarakano na kinywa chake hukaribisha mapigo.
7 Bezumnomu su propast vlastita usta i usne su mu zamka životu.
Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake na hujinasa mwenye kwa midomo yake.
8 Klevetnikove su riječi kao poslastice: spuštaju se u dno utrobe.
Maneno ya mmbea ni kama chembe tamu na hushuka katika sehema za ndani sana kwenye mwili.
9 Tko je nemaran u svom poslu, brat je onomu koji rasipa.
Basi, ambaye ni mzembe katika kazi yake ni ndugu yake anayeharibu wengi.
10 Tvrda je kula ime Jahvino: njemu se pravednik utječe i nalazi utočišta.
Jina la Yehova ni mnara imara; atendaye haki hukimbilia na kuwa salama.
11 Bogatstvo je bogatašu njegova tvrđava i kao visok zid u mašti njegovoj.
Mali ya tajiri ni mji wake imara na katika fikira zake ni kama ukuta mrefu.
12 Pred slomom se oholi srce čovječje, a pred slavom ide poniznost.
Moyo wa mtu huwa na kiburi kabla ya anguko lake, bali unyenyekevu hutangulia kabla ya heshima.
13 Tko odgovara prije nego što sasluša, na ludost mu je i sramotu.
Anayejibu kabla ya kusikiliza- ni upuuzi na aibu yake.
14 Kad je čovjek bolestan, njegov ga duh podiže, a ubijen duh tko će podići?
Roho ya mtu itajinusuru na madhara, bali roho iliyopondeka nani anaweza kuivumilia?
15 Razumno srce stječe znanje i uho mudrih traži znanje.
Moyo wa mwenye akili hujipatia maarifa na usikivu wa mwenye busara huitafuta.
16 Dar čovjeku otvara put i vodi ga pred velikaše.
Zawadi ya mtu inaweza kufungua njia na kumleta mbele ya mtu muhimu.
17 Prvi je pravedan u svojoj parnici, a kad dođe njegov protivnik, opovrgne ga.
Wa kwanza kujitetea katika shitaka lake huonekana kuwa na haki hadi mpinzani wake aje na kumuuliza maswali.
18 Ždrijeb poravna svađe, pa i među moćnicima odlučuje.
Kupiga kura kunamaliza mabishano na kuwatawanya wapinzani imara.
19 Uvrijeđen brat jači je od tvrda grada i svađe su kao prijevornice na tvrđavi.
Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kushawishiwa kuliko mji wenye nguvu, na kugombana ni kama makomeo ya ngome.
20 Svatko siti trbuh plodom usta svojih, nasićuje se rodom usana svojih.
Tumbo la mtu litashiba kutoka kwenye tunda la kinywa chake; atatoshelezwa kwa mavuno ya midomo yake.
21 Smrt i život u vlasti su jeziku, a tko ga miluje, jede od ploda njegova.
Uzima na kifo hutawaliwa kwa ulimi, na wale wenye kuupenda ulimi watakula tunda lake.
22 Tko je našao ženu, našao je sreću i stekao milost od Jahve.
Yeye apataye mke anapata kitu chema na kupokea fadhila kutoka kwa Yehova.
23 Ponizno moleći govori siromah, a grubo odgovara bogataš.
Mtu masikini huomba rehema, lakini mtu tajiri hujibu kwa ukali.
24 Ima prijatelja koji vode u propast, a ima i prijatelja privrženijih od brata.
Anayejidai kwa marafiki wengi watamleta katika uharibifu, bali yupo rafiki ambaye huwa karibu kuliko ndugu.

< Mudre Izreke 18 >