< Brojevi 7 >
1 U onaj dan kad Mojsije završi podizanje Prebivališta i kad ga pomaza i posveti sa svim njegovim posuđem, a tako i žrtvenik sa svim njegovim priborom,
Siku ambayo Musa alikamilsha masikani, alitia mafuta na kuiweka wakfu kwa BWANA, pamoja na mapambo yake. Aliifanyia hivyo madhabahu na vyombo vyake. Aliitia mafuta na kuiweka wakfu kwa BWANA.
2 pristupe glavari izraelski, starješine njihovih pradjedovskih domova, to jest knezovi plemenski koji su vodili popisivanje,
Siku hiyo, viongozi wa Israeli na wale vichwa vya familia za mababu walitoa sadaka. Hawa wanaume walikuwa viongozi wa makabila. Walisaidia kuhesabu watu kwenye ile sensa.
3 i dovedu svoje prinose pred Jahvu: šestora teretna kola i dvanaest volova - jedna kola za dvojicu glavara i vola za svakoga pojedinoga. Dovedu ih pred Prebivalište.
Walileta sadaka zao kwa BWANA. Walileta magari sita yaliyofunikwa na mafahari kumi na mbili. Walileta gari moja kwa kila viongozi wawili, kila kiongozi alileta fahari moja. Walileta vitu hivi mbele ya masikani.
4 Tada Jahve progovori Mojsiju:
Kisha BWANA akanena na Musa, akamwambia,
5 “Primi to od njih za upotrebu pri službi u Šatoru sastanka; onda to podaj svakome levitu prema njegovoj službi.”
“Uzipokee hizo sadaka kutoka kwao na uzitumie kwa matumizi ya kazi ya hema ya kukutania. Uwape hizo sadaka Walawi, kwa kila mmoja kadri ya uhitaji wa kazi yake.”
6 Mojsije uze kola i volove pa ih dade levitima.
Musa akayatwaa yale magari na mafahari. na kuwapatia Walawi.
7 Dvoja kola i četiri vola dade Geršonovcima prema njihovoj službi,
Aliwapa magari mawili na mafahari wanne wale wa uzao wa Gerishoni, kwa sababu ndivyo kazi yao ilivyohitaji.
8 a četvera kola i osam volova dade Merarijevcima prema njihovoj službi pod vodstvom Itamara, sina svećenika Arona.
Aliwapatia uzao wa Merari magari manne na mafahari nane, chini ya uangalizi wa Ithamari mwana wa Haruni kuhani. Alifanya hivi kwa sababu ya uhitaji wa kazi yao.
9 Kehatovcima nije dao ništa, jer je njihova zadaća bila nositi posvećene predmete na ramenima.
Lakini wale wa uzao wa Kohathi hakuwapa chochote kwa sababu wao waliangalia vitu vtakatifu amabvyo vilipaswa vibebwe mabagani mwao, siyo kwa magari.
10 Tada glavari prinesu prinos za posvetu žrtvenika na dan njegova pomazanja. Dok su glavari prinosili svoje prinose pred žrtvenik,
Viongozi walitoa bidhaa zo zingine kwa ajili ya kuwekwa wakfu kwa madhabahu katika siku ile ambayo Musa aliitia mafuta madhabahu. Viongozi walitoa sadaka zao mbele ya madhabahu hiyo.
11 Jahve progovori Mojsiju: “Svakoga dana neka po jedan glavar donese svoj prinos za posvetu žrtvenika!”
BWANA akasema na Musa, “kila kiongozi atatoa sadaka kwa siku yake kwa ajili ya kuiweka wakfu madhabahu.”
12 Prvoga dana donese svoj prinos Nahšon, sin Aminadabov, od plemena Judina.
Katika siku ya kwanza, Nashoni mwana wa Aminadabu, wa kabila ya Yuda, alitoa sadaka yake.
13 Njegov je prinos bio: jedna srebrna zdjela teška sto trideset šekela i jedan srebrni kotlić od sedamdeset šekela, prema hramskom šekelu; jedno i drugo bijaše napunjeno najboljim brašnom, zamiješenim u ulju, za prinosnicu.
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja ya fedha ambayo uzito wake ni shekeli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
14 Onda jedna zlatna posudica od deset šekela puna tamjana;
Pia alimpa unga wa dhahabu kiasi cha bakuli moja chenye uzani wa shekeli kumi kilichojaa ubani
15 jedan junac, jedan ovan, jedno janje od godinu dana za paljenicu;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, kondoo dume mmoja na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
16 jedan jarac za žrtvu okajnicu,
Alitoa beberu kama kama sadaka ya hatia.
17 a za žrtvu pričesnicu: dva vola, pet ovnova, pet kozlića i pet jednogodišnjih janjaca. To je bio prinos Nahšona, Aminadabova sina.
Alitoa makisai mbili, kondoo waume watano, beberu watano na wanakondoo dume watano wenye umri wa mwaka mmoja mmoja, kama sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Nashoni mwana wa Aminadabu.
18 Drugoga dana donese svoj prinos Netanel, sin Suarov, glavar Jisakarovaca.
Siku ya pili, Nethanel mwana wa Zuari, kiongozi wa Isakari, alitoa sadaka yake.
19 Za svoj prinos donio je: jednu srebrnu zdjelu tešku sto trideset šekela, jedan srebrni kotlić od sedamdeset šekela, prema hramskom šekelu; oboje puno najboljeg brašna, zamiješena u ulju, za prinosnicu;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha ya uzito wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa sheli sabini, kwa kipimo cha mahali patakatifu. Viyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kwa sadaka ya unga.
20 onda jednu zlatnu posudicu od deset šekela punu tamjana;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzito wa shekeli kumi, iliyojaa ubani.
21 jednog junca, jednoga ovna, jedno janje od godinu dana za paljenicu;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo mmoja dume.
22 jednog jarca za okajnicu,
Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
23 a za pričesnicu: dva vola, pet ovnova, pet kozlića i pet jednogodišnjih janjaca. To je bio prinos Netanela, Suarova sina.
Alitoa makisai wawili, Kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hiii likuwa sadaka ya Nethaneli mwana wa Zuari.
24 Trećega dana donese svoj prinos glavar Zebulunovaca, Eliab, sin Helonov.
Siku ya tatu, Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa uzao wa Zabuloni alitoa sadaka yake.
25 Njegov je prinos bio: jedna srebrna zdjela teška sto trideset šekela i jedan srebrni kotlić od sedamdeset šekela, prema hramskom šekelu; oboje puno najboljeg brašna, zamiješena u ulju, za prinosnicu;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. vyombo vyote hivi vilikuwa vimeja unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
26 jedna zlatna posudica puna tamjana;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
27 jedan junac, jedan ovan, jedno janje od godinu dana za paljenicu;
Alitoa sadaka ya fahari mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja.
28 jedan jarac za okajnicu,
Alitoa beberu mmoja kama sadaka ya dhambi.
29 a za pričesnicu: dva vola, pet ovnova, pet kozlića i pet jednogodišnjih janjaca. To je bio prinos Eliaba, Helonova sina.
Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja. kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Eliabu mwana Heloni.
30 Četvrtog dana donese svoj prinos glavar Rubenovaca, Elisur, sin Šedeurov.
Siku ya nne, Elizuri mwana wa shedeuri, kiongozi wa uzao wa Reubeni, alitoa sadaka yake.
31 Njegov je prinos bio: jedna srebrna zdjela teška sto trideset šekela, jedan srebrni kotlić od sedamdeset šekela, prema hramskom šekelu; oboje puno najboljeg brašna, zamiješena u ulju, za prinosnicu;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
32 onda jedna zlatna posudica od deset šekela puna tamjana;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichoo jaa ubani.
33 jedan junac, jedan ovan, jedno janje od godinu dana za paljenicu;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, mwanakondoo dume mmoja mchanga wa mwaka mmoja.
34 jedan jarac za okajnicu,
Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
35 a za pričesnicu: dva vola, pet ovnova, pet kozlića i pet jednogodišnjih janjaca. To je bio prinos Elisura, Šedeurova sina.
Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa sadaka ya Elizuri mwana wa Shedeuri.
36 Petoga dana donese svoj prinos glavar Šimunovaca, Šelumiel, sim Surišadajev.
Siku ya tano, Shelumieli mwana wa Zurishadai, kiongozi wa uzao wa Simeoni, alitoa sadaka yake.
37 Njegov je prinos bio: jedna srebrna zdjela teška sto trideset šekela, jedan srebrni kotlić od sedamdeset šekela, prema hramskom šekelu; oboje napunjeno najboljim brašnom, zamiješenim u ulju, za prinosnicu;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekali 130 na bakuli mojala fedha lenye uzani wa shekeli sabini kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
38 onda jedna zlatna posudica od deset šekela puna tamjana;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, uliojaa ubani.
39 jedan junac, jedan ovan, jedno janje od godinu dana za paljenicu;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mchanga, dume la kondoo, na dume la mwanakondoo la mwaka mmoja.
40 jedan jarac za okajnicu,
Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
41 a za pričesnicu: dva vola, pet ovnova, pet kozlića i pet jednogodišnjih janjaca. To je bio prinos Šelumiela, Surišadajeva sina.
Alitao maksai wawili, dume wawili wa kondoo, beberu watano, na dume watano wa wanakondoo wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka y amani. Hiindiyo iliyokuwa sadka ya Shelumei mwana wa Zurishadai.
42 Šestoga dana donese svoj prinos glavar Gadovaca, Elijasaf, sin Deuelov.
Siku ya sita, Eliasafu mwana wa Deuli, kiongozi wa uzao wa Gadi, alitoa sadaka yake.
43 Njegov je prinos bio: jedna srebrna zdjela teška sto trideset šekela, jedan srebrni kotlić od sedamdeset šekela, prema hramskom šekelu; oboje napunjeno najboljim brašnom, zamiješenim u ulju, za prinosnicu;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la shaba lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote vilikuwa vimejaa unga mwembemba uliochanganywa na mafuta kwa ajili ya sadaka ya unga.
44 onda jedna zlatna posudica od deset šekela puna tamjana;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
45 jedan junac, jedan ovan, jedno janje od godinu dana za paljenicu;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa ya fahari changa, kondoo dume mmoja, na dume la mwanakondoo mmoja wa mwaka mmoja.
46 jedan jarac za okajnicu,
Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
47 a za pričesnicu: dva vola, pet ovnova, pet kozlića i pet jednogodišnjih janjaca. To je bio prinos Elijasafa, Deuelova sina.
Alitoa maksai wawili, dume watano wa kondoo, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Eliasafu mwana wa Deuli.
48 Sedmoga dana donese svoj prinos glavar Efrajimovaca, Elišama, sin Amihudov.
Siku ya saba, Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa uzao wa Efraimu, alitoa sadaka yake.
49 Njegov je prinos bio: jedna srebrna zdjela teška sto trideset šekela i jedan srebrni kotlić od sedamdeset šekela, prema hramskom šekelu; oboje puno najboljeg brašna, zamiješena u ulju, za prinosnicu;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo hivi vyote ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
50 onda jedna zlatna posudica od deset šekela puna tamjana;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu, kilichojaa ubani
51 jedan junac, jedan ovan, jedno janje od godinu dana za paljenicu,
Alitoa sadaka ya kuteketezwa, fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
52 jedan jarac za okajnicu,
Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
53 a za pričesnicu: dva vola, pet ovnova, pet kozlića i pet jednogodišnjih janjaca. To je bio prinos Elišama, Amihudova sina.
Alitoa maksai wawili, kondo dume watano, beberu watano, na na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sdaka ya Elishama mwana wa Amidu.
54 Osmoga dana donese svoj prinos glavar Manašeovaca, Gamliel, sin Pedahsurov.
Siku y a nane, Gamaliel mwana wa Pedazuri, kiongozi wa uzao wa Manase, alitoa sadaka yake.
55 Njegov je prinos bio: jedna srebrna zdjela teška sto trideset šekela i jedan srebrni kotlić od sedamdeset šekela, prema hramskom šekelu; oboje napunjeno najboljim brašnom, zamiješenim u ulju, za prinosnicu;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
56 onda jedna zlatna posudica od deset šekela puna tamjana;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
57 jedan junac, jedan ovan, jedno janje od godinu dana za paljenicu;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa ya fahari mmoja, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
58 jedan jarac za okajnicu,
Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
59 a za pričesnicu: dva vola, pet ovnova, pet kozlića i pet jednogodišnjih janjaca. To je bio prinos Gamliela, Pedahsurova sina.
Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Gamaliel mwana wa Pedazuri.
60 Devetoga dana donese svoj prinos glavar Benjaminovaca, Abidan, sin Gidonijev.
Siku ya tisa, Abidani mwana wa Gidioni, kiongozi wa uzao wa Benjamini, alitoa sadaka yake.
61 Njegov je prinos bio: jedna srebrna zdjela teška sto trideset šekela i jedan srebrni kotlić od sedamdeset šekela, prema hramskom šekelu; oboje napunjeno najboljim brašnom, zamiješenim u ulju, za prinosnicu;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja yafedha yenye uzani wa sheli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzito wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
62 onda jedna zlatna posudica od deset šekela puna tamjana,
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
63 jedan junac, jedan ovan, jedno janje od godinu dana za paljenicu;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na mwanakondoo dume mmoja wa mwaka mmoja.
64 jedan jarac za okajnicu,
Alitoa beberu mmoja kuwa sadaka ya dhambi.
65 a za pričesnicu: dva vola, pet ovnova, pet kozlića i pet jednogodišnjih janjaca. To je bio prinos Abidana, Gidonijeva sina.
Alitoa makisai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Abidani mwana wa Gidioni.
66 Desetoga dana donese svoj prinos glavar Danovaca, Ahiezer, sin Amišadajev.
Siku ya kumi, Ahizeri mwana wa Amishadai kiongozi wa Dani alitoa sadaka yake.
67 Njegov je prinos bio: jedna srebrna zdjela teška sto trideset šekela i jedan srebrni kotlić od sedamdeset šekela, prema hramskom šekelu; oboje napunjeno najboljim brašnom, zamiješenim u ulju, za prikaznicu;
Alitoa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
68 onda jedna zlatna posudica od deset šekela puna tamjana;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzito wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
69 jedan junac, jedan ovan, jedno janje od godinu dana za paljenicu;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, dume moja la kondoo, na dume moja la mwanakondoo wa mwaka mmoja.
70 jedan jarac za okajnicu,
Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
71 a za pričesnicu: dva vola, pet ovnova, pet kozlića i pet jednogodišnjih janjaca. To je bio prinos Ahiezera, Amišadajeva sina.
Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja, kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahizeri mwana wa Amishadai.
72 Jedanaestoga dana donese svoj prinos glavar Ašerovaca, Pagiel, sin Okranov.
Siku ya kumi na moja. Pagieli mwana wa Okrani kiongozi wa uzao wa Asheri alaitoa sadaka yake.
73 Njegov je prinos bio: jedna srebrna zdjela teška sto trideset šekela i jedan srebrni kotlić od sedamdeset šekela, prema hramskom šekelu; oboje napunjeno najboljim brašnom, zamiješenim u ulju, za prinosnicu;
Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabani, kwa kipimo cha shekeli ya mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi ilikuwa vimejaa unga mwembamba uliochanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
74 onda jedna zlatna posudica od deset šekela puna tamjana;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
75 jedan junac, jedan ovan, jedno janje od godinu dana za paljenicu;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga. dume la kondoo moja, dume moja la mwanakondoo wa mwaka mmoja.
76 jedan jarac za okajnicu,
Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
77 a za pričesnicu: dva vola, pet ovnova, pet kozlića i pet jednogodišnjih janjaca. To je bio prinos Pagiela, Okranova sina.
Alitoa maksai wawili, dume watano wa kondoo, na wanakondoo dume watano kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Pagieli mwana wa Okrani.
78 Dvanaestoga dana donese svoj prinos glavar Naftalijevaca, Ahira, sin Enanov.
Siku ya kumi na mbili., Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa uzao wa Naftali, alitoa sadaka yake.
79 Njegov je prinos bio: jedna srebrna zdjela teška sto trideset šekela i jedan srebrni kotlić od sedamdeset šekela, prema hramskom šekelu; oboje napunjeno najboljim brašnom, zamiješenim u ulju, za prinosnicu;
Sadaka yake ailikuwa sahani moja ya fedha yenye uzani wa shaekeli 130 na bakuli moja la fedha lenye uzani wa shekeli sabini, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu. Vyombo vyote hivi vilikuwa vimejaa unga mwembamba ulichanganywa na mafuta kuwa sadaka ya unga.
80 onda jedna zlatna posudica od deset šekela puna tamjana;
Pia alitoa kijiko kimoja cha dhahabu chenye uzani wa shekeli kumi, kilichojaa ubani.
81 jedan junac, jedan ovan, jedno janje od godinu dana za paljenicu;
Alitoa sadaka ya kuteketezwa fahari mmoja mchanga, dume moja la kondoo, na mwanakondoo dume moja wa mwaka mmoja.
82 jedan jarac za okajnicu,
Alitoa beberu moja kuwa sadaka ya dhambi.
83 a za pričesnicu: dva vola, pet ovnova, pet kozlića i pet jednogodišnjih janjaca. To je bio prinos Ahire, Enanova sina.
Alitoa maksai wawili, kondoo dume watano, beberu watano, na wanakondoo dume watano wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ndiyo iliyokuwa sadaka ya Ahra mwana wa Enani.
84 To su bili prinosi glavara izraelskih za posvetu žrtvenika na dan kad bijaše pomazan: dvanaest srebrnih zdjela, dvanaest srebrnih kotlića i dvanaest zlatnih posudica.
Viongozi wa Israeli waliviweka wakfu hivi vitu vyote siku ambayo Musa alimimina mafuta kwenye madhabahu. Waliziweka wakfu zile sahani kumi na mbili za fedha, Bakuli kumi na mbili za fedha, na vijiko kumi na vili vya dhahabu.
85 Svaka srebrna zdjela težila je sto trideset šekela; svaki kotlić sedamdeset šekela. Svega srebra u posuđu bilo je dvije tisuće i četiri stotine hramskih šekela.
Zile sahani za fedha kila moja ilikuwa na uzani wa shaekeli 130 na kila bakuli ye fedha ilikuwa na uzani wa shekeli sabini. Vyombo vyote vya fedh vilikuwa na ujumla ya uzani wa shekeli 2, 400, kwa kipimo cha shekeli za mahali patakatifu.
86 Zlatnih posudica punih tamjana bilo je dvanaest, svaka posudica težila je deset hramskih šekela. Sve zlato u posudicama težilo je sto dvadeset šekela.
Vile vijiko vya dhahabu vilivyokuwa vimejaa ubani, vilikuwa na uzani wa shekeli kumi kila kimoja. Vijiko vyote vya dhahabu vilikuwa na uzani wa shekeli 120.
87 Sve stoke za paljenicu: dvanaest junaca, dvanaest ovnova, dvanaest jednogodišnjih janjaca s njihovim prinosima. Za okajnicu dvanaest jaraca.
Waliwatenga wanyama wote kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, fahari kumi na wawili, kondoo dume kumi na wawili, na wanakondoo dume kumi na wawili wa mwaka mmoja mmoja. Walitoa sadaka yao ya unga. Walitoa beberu kumi na wawili kuwa sadaka ya dhambi.
88 Sve stoke za pričesnicu: dvadeset i četiri vola, šezdeset ovnova, šezdeset kozlića i šezdeset janjaca od godine dana. To je bio prinos za posvetu žrtvenika pošto bijaše pomazan.
Kutokana na ng'ombe zao, walitoa fahari ishirini na nne, kondoo dume sitini beberu sitini, na wanakondoo dume sitini wa mwaka mmoja mmoja kuwa sadaka ya amani. Hii ilikuwa kwa ajiliya kuiweka wafu ile madhabahu baada ya kumiminiwa mafuta.
89 Kad bi Mojsije ulazio u Šator sastanka da razgovara s Njim, slušao bi glas kako mu govori ozgo s Pomirilišta što je bilo na Kovčegu svjedočanstva, među dva kerubina. Tada bi mu govorio.
Musa alipoingia kwenye hema ya kukutania kusema na BWANA, ndipo alipoisikia sauti yake ikisema naye. BWANA alinena naye kutoka juu ya kiti cha rehema kilichokuwa juu ya sanduku la ushahidi, kutoka katikati ya makerubi. Alinena naye.