< Brojevi 3 >
1 Ovo je potomstvo Aronovo i Mojsijevo iz vremena kad je Jahve Mojsiju govorio na Sinajskom brdu.
Sasa hii ndiyo historia ya uzao wa Haruni na Musa wakati BWANA aliposema na Musa kwenye mlima Sinai.
2 Ovo su bila imena Aronovih sinova: prvorođenac Nadab, zatim Abihu, Eleazar i Itamar.
Majina ya watoto wa Haruni walikuwa Nadabu ambaye ndiyo mtoto wa kwanza, na Abihu, na Eliezeri, na Ithamari.
3 To su imena Aronovih sinova, svećenika pomazanih, za svećeništvo posvećenih.
Haya ndiyo majina ya wana wa Haruni, makuhani waliokuwa wamepakwa mafuta na kuwekwa wakfu kutumika kama makuhani.
4 Ali Nadab i Abihu umriješe pred Jahvom kad su u Sinajskoj pustinji pred njim prinosili neposvećenu vatru. Kako nisu imali sinova, to su Eleazar i Itamar služili kao svećenici u nazočnosti svoga oca Arona.
Lakini Nadabu na Abihu walikufa mbele ya BWANA walipomtolea moto usiokubalika walipokuwa katika nyika ya Sinai. Nadabu na Abihu hawakuwa na watoto, kwa hiyo Eliazari na Ithamari walitumika kama makuhani pamoja na baba yao.
BWANA alinena na Musa, akamwambia,
6 “Dozovi pleme Levijevo neka stane pred svećenika Arona. Neka mu poslužuju;
“Walete kabila ya Lawi na uwaweke kwa Haruni kuhani ili wamsaidie
7 neka vrše njegovu dužnost i dužnost sve zajednice pred Šatorom sastanka, služeći Prebivalištu.
Nao lazima wafanye majukumu badala ya Haruni na jumuiya yote mbele ya hema ya kukutania. Lazima watumike hemani.
8 Neka se brinu za sav namještaj u Šatoru sastanka, za dužnost sinova izraelovih, i obavljaju službu u Prebivalištu.
Watayatunza mapambo ya hema ya kukutania, na watawatumikia makabila ya Israel kwa huduma ya hemani.
9 Podaj levite Aronu i njegovim sinovima. Neka mu ih Izraelci potpuno daruju.
Uwaweke Walawi kwa Haruni na watoto wake. Nimewatoa kikamilifu ili wamsaidie kuwatumikia watu wa Israel.
10 Arona i njegove sinove postavi da vrše svoju svećeničku službu. A svjetovnjak koji bi se tome približio neka se pogubi.”
Umchague Haruni na watoto wake kuwa makuhani, lakini mgeni yeyote atakayekaribia lazima auawe.”
BWANA alinena na Musa. akamwambia,
12 “Ja, evo, uzimam Levijevce između Izraelaca namjesto svih prvorođenaca - onih koji otvaraju materinju utrobu kod Izraelaca. Moji su, dakle, Levijevci!
“Tazama, nimewachagua Walawi katika watu wa Israel. Nimefanya hivyo badala ya kuchukua mzaliwa wa kwanza wa kiume wa wana wa Israel. Hawa Walawi ni wangu.
13 Meni, naime, pripada svaki prvorođenac. Onoga dana kad sam pobio sve prvence u zemlji egipatskoj, sebi sam posvetio sve prvorođence u Izraelu - i od ljudi i od stoke. Oni su moji. Ja sam Jahve.”
Na hata wazaliwa wa kwanza ni mali yangu. Katika siku ambyo niliwavamia wazaliwa wote wa kwanza wa nchi ya Misri, Niliwatenga wazaliwa wa kwanza wa Israeli kwa ajili yangu, watu na wanyama pia. Ni mali yangu. Mimi ndimi BWANA.”
14 Jahve reče Mojsiju u Sinajskoj pustinji:
BWANA alinena na Musa katika nyika ya Sinai. Akasema,
15 “Popiši Levijevce po njihovim porodicama i rodovima; popiši sve muškarce od jednoga mjeseca i više.”
“Wahesabu uzao wa Lawi katika kila familia, katika nyumba za koo zao. Hesabu kila mume kuanzia mwezi mmoja au zaidi.”
16 Na zapovijed Jahvinu Mojsije ih popisa, kako mu je bilo naređeno.
Musa aliwahesabu, kufuata maelekezo ya BWANA, kama alivyoamriwa kufanya.
17 Ovo su poimenice bili sinovi Levijevi: Geršon, Kehat i Merari.
Majina ya watoto waLawi yalikuwa Gerishoni, Kohathi, na Merari.
18 A ovo su imena Geršonovih sinova po njihovim rodovima: Libni i Šimi.
Ukoo uliotokana na watoto wa Gerishoni walikuwa ni Libni na Shimei.
19 A sinovi su Kehatovi po svojim rodovima: Amram, Jishar, Hebron i Uziel.
Ukoo uliotokana na watoto Kohathi walikuwa ni Amramu na, Izihari, Hebroni, na Uzieli.
20 Sinovi su Merarijevi po svojim rodovima: Mahli i Muši. To su Levijevi rodovi po svojim porodicama.
Ukoo uliotokana na watoto wa Merari walikuwa ni Mahili na Mushi. Hizi ndizo koo za Walawi, zilizoorodheshwa ukoo kwa ukoo.
21 Od Geršona lozu vuče rod Libnijev i rod Šimijev. To su rodovi Geršonovaca.
Koo za Walibini na Washimei zilitokana na Wagerishoni. Hizi ndizo koo za Wagerishoni.
22 Njih je u popisu svih muškaraca od jednoga mjeseca naviše ubilježeno sedam tisuća i pet stotina.
Wanaume wote wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi walihesabiwa na kufikia idadi ya 7, 500.
23 Rodovi Geršonovaca taborovali su za Prebivalištem prema zapadu.
Koo za Wagerishoni watapanga upande wa magharibi wa hema.
24 Glava porodice Geršonovaca bijaše Elijasaf, sin Laelov.
Eliasafu mwana wa Laeli ataongoza koo za uzao wa Wagerishoni.
25 Geršonovci su se u Šatoru sastanka brinuli za Prebivalište, za Šator i njegov krov, za zavjese na ulazu u Šator sastanka;
Familia ya Gerishoni watalilinda hema la kukutania pamoja na hiyo masikani. Watalilinda hema, kifuniko chake, na lile pazia la lango la hema ya kukutania.
26 onda za dvorišne zavjese, za zavjesu na ulazu u dvorište što je oko Prebivališta i žrtvenika, za njihova užeta i za sve što spada na tu službu.
Wataulinda ua, lile pazia la kwenye lango—ua unaozunguka mahali patakatifu na madhabahu. Watazilinda kamba za hema ya kukutania na vyote vilivyomo.
27 Od Kehata potječe rod Amramov, rod Jisharov, rod Hebronov i rod Uzielov. To su rodovi Kehatovaca.
Koo zifuatazo zinatokana na Kohathi: ukoo wa Waamrami, ukoo wa Waizihari ukoo wa Wahebroni, na ukoo wa Wauzieli. Koo hizi zinatokana na Wakohathi.
28 Kad se popisaše svi muškarci od jednoga mjeseca naviše, bilo ih je osam tisuća i šest stotina. Oni su se brinuli za Svetište.
Wanaume 8, 600 wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi walihesabiwa ili kulinda vitu vya BWANA.
29 Rodovi Kehatovaca taborovali su s južne strane Prebivališta.
Familia ya uzao wa Kohathi watapanga upande wa kusini wa Hema.
30 Glava rodova u domu Kehatovu bijaše Elisafan, sin Uzielov.
Elizafani mwana wa Uzieli ndiye atakayeongoza ukoo wa Wakohathi.
31 Oni su se brinuli za Kovčeg, stol, svijećnjak, žrtvenik i sveti pribor kojim su se služili i, konačno, za zavjesu i za sve što joj pripada.
Watalilinda sanduku, meza, vikalishio vya taa, madhabahu, vitu vitakatifu ambvyo hutumika katika huduma yao, pazia, na kazi zote zinazoambatana na hema.
32 Vrhovni poglavar levita bio je Eleazar, sin svećenika Arona. On je vršio nadzor nad onima koji su se brinuli za Svetište.
Eliazari mwana wa Haruni kuhani atawaongoza wanaume wanaowaongoza Walawi. Atawasimamia wanaume wanaongoza eneo takatifu.
33 Od Merarija potječe rod Mahlijev i rod Mušijev. To su Merarijevi rodovi.
Koo mbili zimetoka kwa Merari: Ukoo wa Mahili na ukoo wa Mushi. Koo hizi zimetokana na Merari,
34 Njih je u popisu svih muškaraca od jednoga mjeseca i više ubilježeno šest tisuća i dvije stotine.
Wanaume 6, 200 wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi walihesabiwa.
35 Glava rodova u domu Merarijevu bijaše Suriel, sin Abihajilov. Oni su taborovali sa sjeverne strane Prebivališta.
Zurieli mwana wa Abihaili ataongoza ukoo wa Merari. Hawa watapanga upande wa kaskazini mwa hema.
36 Merarijevci su se brinuli za trenice Prebivališta, za njegove priječnice, za stupce i njihova podnožja, za sav njegov pribor i za sve što spada na njegovu službu.
Uzao wa Merari utatunza mbao za hema, mataruma, nguzo, makalishio, viifaa vya ujenzi na vitu vyote vinavyohusika,
37 Povrh toga, za stupove uokolo predvorja, njihova podnožja, kočiće i užeta.
na nguzo za ua zinazozunguka hema, makalishio, vigingi na kamba zake.
38 Pred Prebivalištem prema istoku, pred Šatorom sastanka s istočne strane, utaborivali se Mojsije, Aron i njihovi sinovi, kojima je u ime Izraelaca bila povjerena služba u Svetištu. Svjetovnjak koji bi se približio imao se pogubiti.
Musa na Haruni na watoto wake watapanga upande wa mashariki wa masikani, mbele ya hema ya kukutania kuelekea mawio ya jua. Wao wataajibika na majukumu ya mahali patakatifu na majukumu ya wana wa Israeli. Mgeni atakayekaribia mahali patakatifu auawe.
39 Svih popisanih Levijevaca od jednoga mjeseca naviše, koje je na Jahvinu zapovijed po njihovim rodovima popisao Mojsije i Aron, bijaše dvadeset i dvije tisuće.
Musa na Haruni wakawahesabu wanaume wote wa ukoo wa Walawi walikuwa na umri wa mwezi mmoja na zaidi, kama vile BWANA alivyokuwa ameagiza. Walihesabu wanaume ishirini na mbili elfu.
40 Jahve rekne Mojsiju: “Popiši sve muške prvorođence izraelske od jednoga mjeseca naviše te načini popis njihovih imena.
BWANA alisema na Musa, “Wahesabu wanaume wote ambo ni wazaliwa wa kwanza wa Israeli ambao wana umri wa mwezi mmoja na zaidi. Orodhesha majina yao.
41 I levite dodijeli meni - ja sam Jahve - namjesto svih prvorođenaca izraelskih, a stoku levitsku namjesto sve prvenčadi stoke izraelske.”
Unitwalie walawi kwa ajili yangu badala ya wazaliwa wa kwanza wa Israeli, Mimi ndimi BWANA. Na utwae wanyama wa Walawi badala ya wazaliwa wa kwanza wa wanyama wa uzao wa Israeli,”
42 Tako Mojsije popiše sve prvorođence izraelske, kako mu je Jahve naredio.
Musa akawahesabu wazaliwa wa kwanza wote wa Israeli kama BWANA alivyomwagiza kufanya.
43 Svih muških prvorođenaca od jednoga mjeseca naviše bijaše u popisu imena dvadeset i dvije tisuće i dvije stotine sedamdeset i tri.
Aliwahesabu wazaliwa wote wa kwanza kwa mjina, wenye umri wa mwezi mmoja na zaidi. Alihesabu wanaume 22, 273.
44 Tada Jahve reče Mojsiju:
Tena BWANA alinena na Musa. Akasema,
45 “Uzmi levite namjesto svih prvorođenaca izraelskih, a stoku levitsku namjesto stoke njihove; leviti neka budu moji. Ja sam Jahve.
“Watwae Walawi badala ya wazaliwa wote wa kwanza wa wana wa Israeli. Na utwae wanyama wa Walawi badala ya wanyama wa Waisreli wengine. Walawi ni mali yangu. Mimi ndimi BWANA.
46 A za otkupninu dvjesta sedamdeset i triju izraelskih prvorođenaca što ih je više nego levita,
Unikusanyie shekeli tano za wokovu kwa kila hao 273 za hao wazaliwa wa kwanza wa Israeli za hao wanaozidi idadi ya Walawi.
47 uzmi pet šekela po glavi, uzmi ih prema hramskom šekelu: dvadeset gera - jedan šekel.
Utazitumia hizo shekeli tano kwa kipimo cha mahali patakatifu. Shekeli moja ni sawa na gera ishirini.
48 Onda podaj taj novac Aronu i njegovim sinovima za otkupninu onih kojih je odviše.”
Utawalipa hizo shekeli za wokovu kwa Haruni na wanawe.”
49 Tako Mojsije primi taj novac kao otkupninu za prvorođence koji su nadilazili broj onih koje su leviti otkupili.
Kwa hiyo Musa akakusanya shakeli za wokovu kutoka kwa wale waliozidi idadi ya wale waliookolewa na Walawi.
50 Od izraelskih je prvorođenaca primio u srebru tisuću trista šezdeset i pet šekela hramske mjere.
Musa akakusanya zile fedha kutoka kwa hao wazaliwa wa kwanza wa wana wa Israeli. Alikusanya jumla ya shekeli 1, 365, zenye kipimo sawa na mahali patakatifu. Musa akamlipa Haruni na wanawe hizo shekeli za wokovu.
51 Po nalogu Jahvinu Mojsije predade novac te otkupnine Aronu i njegovim sinovima, kako je Jahve Mojsiju naredio.
Musa akafanya kila kitu alichoagizwa na neno la BWANA kama BWANA alivyomwagiza.