< Nehemija 11 >

1 Tada se nastaniše knezovi narodni u Jeruzalemu. Ostali je narod bacao ždrijeb da od svakih deset ljudi izađe jedan koji će stanovati u svetom gradu Jeruzalemu, dok će ostalih devet ostati u drugim gradovima.
Basi viongozi wa watu walikaa Yerusalemu, nao watu wale wengine walipiga kura ili kuleta mtu mmoja kati ya watu kumi aje kuishi Yerusalemu, mji mtakatifu, nao wengine tisa waliobaki wakae katika miji yao wenyewe.
2 I narod je blagoslovio sve ljude koji su dragovoljno htjeli živjeti u Jeruzalemu.
Watu waliwasifu wale wote waliojitolea kuishi Yerusalemu.
3 A evo glavara pokrajinskih koji su se nastanili u Jeruzalemu i po gradovima Judeje. Izrael, svećenici, leviti, netinci i sinovi Salomonovih slugu nastanili su se u svojim gradovima, svaki na svome posjedu.
Hawa ndio viongozi wa majimbo waliokuja kuishi Yerusalemu (baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, watumishi wa Hekalu, na wazao wa watumishi wa Solomoni waliendelea kuishi katika miji ya Yuda, kila mmoja katika milki yake mwenyewe katika miji mbalimbali,
4 U Jeruzalemu se nastaniše sinovi Judini i sinovi Benjaminovi. Od sinova Judinih: Ataja, sin Uzije, sina Zaharijina, sina Amarjina, sina Šefatjina, sina Mahalalelova, od sinova Faresovih;
ambapo watu wengine kutoka Yuda na Benyamini waliishi Yerusalemu). Kutoka wazao wa Yuda: Athaya mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, mzao wa Peresi.
5 Maaseja, sin Baruha, sina Kol-Hozea, sina Hazaje, sina Adaje, sina Jojariba, sina Zaharije, sina Šelina.
Naye Maaseya mwana wa Baruku, mwana wa Kolhoze, mwana wa Hazaya, mwana wa Adaya, mwana wa Yoyaribu, mwana wa Zekaria, mzao wa Mshiloni.
6 Svega je bilo Faresovih sinova u Jeruzalemu četiri stotine šezdeset i osam ljudi sposobnih za boj.
Wazao wa Peresi walioishi Yerusalemu walikuwa 468, watu wenye uwezo.
7 Evo Benjaminovih sinova: Salu, sin Mešulama, sina Joedova, sina Pedajina, sina Kolajina, sina Maasejina, sina Itielova, sina Ješajina,
Kutoka wazao wa Benyamini: Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa Kolaya, mwana wa Maaseya, mwana wa Ithieli, mwana wa Yeshaya
8 i braća njegova: sposobnih za boj devet stotina dvadeset i osam.
na wafuasi wake, Gabai na Salai watu 928.
9 Joel, sin Zikrijev, bio je njihov zapovjednik, i Juda, sin Hasenuin, drugi upravitelj grada.
Yoeli mwana wa Zikri alikuwa afisa wao mkuu, naye Yuda mwana wa Hasenua alikuwa msimamizi juu ya Mtaa wa Pili katika mji.
10 Od svećenika: Jedaja, Jojarib, Jakin,
Kutoka makuhani: Yedaya, mwana wa Yoyaribu, Yakini,
11 Seraja, sin Hilkije, sina Mešulama, sina Sadoka, sina Merajota, sina Ahituba, predstojnik Doma Božjega, i
Seraya mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu, msimamizi katika nyumba ya Mungu,
12 njihova braća koja su vršila službu u Domu: osam stotina dvadeset i dvojica; i Adaja, sin Jerohama, sina Pelalije, sina Amsija, sina Zaharije, sina Pašhura, sina Malkijina,
pamoja na wenzao waliofanya kazi hekaluni: watu 822. Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pelalia, mwana wa Amsi, mwana wa Zekaria, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya,
13 i njegova braća, glavari obitelji: dvjesta četrdeset i dvojica; i Amasaj, sin Azarela, sina Ahzaja, sina Mešilemota, sina Imerova,
na wenzao, waliokuwa viongozi wa jamaa: watu 242. Amashisai mwana wa Azareli, mwana wa Azai, mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri,
14 i njihove braće, sposobnih za boj: stotinu dvadeset i osam. Zapovjednik nad njima bio je Zabdiel, sin Hagedolimov.
na wenzao waliokuwa wenye uwezo: watu 128. Afisa wao mkuu alikuwa Zabdieli mwana wa Hagedolimu.
15 Od levita: Šemaja, sin Hašuba, sina Azrikama, sina Hašabje, sina Bunijeva;
Kutoka Walawi: Shemaya mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana wa Buni;
16 i Šabtaj i Jozabad, od glavara levitskih, za nadzor vanjskih poslova Doma Božjega;
Shabethai na Yozabadi, viongozi wawili wa Walawi, ambao walisimamia kazi za nje za nyumba ya Mungu;
17 i Matanija, sin Miheja, sina Zabdijeva, sina Asafova, koji je ravnao psalmima, počinjao zahvale i molitve; i Bakbukja, drugi među svojom braćom; i Abda, sin Šamue, sina Galala, sina Jedutunova.
Matania mwana wa Mika, mwana wa Zabdi, mwana wa Asafu, kiongozi aliyeongoza kutoa shukrani na maombi; Bakbukia aliyekuwa msaidizi wake kati ya wenzake; na Abda mwana wa Shamua, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni.
18 Svega je levita bilo u Svetom gradu: dvjesta osamdeset i četiri.
Jumla ya Walawi waliokaa katika mji mtakatifu walikuwa watu 284.
19 A vratari: Akub, Talmon i njihova braća koja su čuvala stražu na vratima: stotinu sedamdeset i dva.
Mabawabu: Akubu, Talmoni na wenzao, waliolinda malango: watu 172.
20 A ostali Izraelci, svećenici i leviti, nastaniše se u svim gradovima Judeje, svaki na svojoj baštini i po naseljima u njihovim poljima.
Waisraeli waliosalia, pamoja na makuhani na Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda, kila mmoja katika urithi wa baba yake.
21 Netinci su stanovali u Ofelu; Siha i Gišpa bijahu na čelu netinaca.
Watumishi wa Hekalu waliishi katika kilima cha Ofeli. Siha na Gishpa walikuwa wasimamizi wao.
22 Predstojnik je levitima u Jeruzalemu bio Uzi, sin Banija, sina Hašabje, sina Matanije, sina Mihejina. On je bio od sinova Asafovih, koji su bili pjevači za službu Doma Božjega.
Afisa mkuu wa Walawi huko Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika. Uzi alikuwa mmoja wa wazao wa Asafu, waliokuwa waimbaji wenye kuwajibika kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu.
23 Jer je za njih bila kraljeva zapovijed i uredba za svakodnevnu službu.
Waimbaji walikuwa chini ya amri za mfalme, ambazo pia ziliratibu shughuli zao za kila siku.
24 Petahja, sin Mešezabelov, od sinova Zeraha, sina Judina, bio je kraljev povjerenik za sve poslove s narodom.
Pethahia mwana wa Meshezabeli, mmoja wa wazao wa Zera mwana wa Yuda, alikuwa mwakilishi wa mfalme katika mambo yote kuhusu mahusiano na watu.
25 Od sinova Judinih nastanili su se u Kirjat Haarbi i njezinim zaseocima, u Dibonu i njegovim zaseocima, u Jekabseelu i njegovim naseljima,
Kuhusu vijiji na mashamba yake, baadhi ya watu wa Yuda waliishi Kiriath-Arba na makazi yaliyokizunguka, katika Diboni na makazi yake, katika Yekabzeeli na vijiji vyake,
26 u Jesui, u Moladi, u Bet Peletu,
katika Yeshua, katika Molada, katika Beth-Peleti,
27 u Hasar Šualu, u Beer Šebi i u njenim zaseocima,
katika Hasar-Shuali, katika Beer-Sheba na makazi yake,
28 u Siklagu, u Mekoni i njenim zaseocima,
katika Siklagi, katika Mekona na makazi yake,
29 u En Rimonu, u Sori, u Jarmutu,
katika En-Rimoni, katika Sora, katika Yarmuthi,
30 Zanoahu, Adulamu i njihovim naseljima; u Lakišu i njegovim poljima, u Azeki i njenim zaseocima: tako su se naselili od Beer Šebe sve do Hinomske doline.
Zanoa, Adulamu na vijiji vyake, katika Lakishi na mashamba yake, na katika Azeka na makazi yake. Hivyo walikuwa wakiishi kuanzia Beer-Sheba mpaka Bonde la Hinomu.
31 Benjaminovi sinovi življahu u Gebi, Mikmasu, Aju i Betelu i u njihovim zaseocima,
Wazao wa Wabenyamini kutoka Geba waliishi Mikmashi, Aiya, Betheli na makazi yake,
32 u Anatotu, Nobu, Ananiji,
katika Anathothi, Nobu na Anania,
33 Hasoru, Rami, Gitajimu,
katika Hazori, Rama na Gitaimu,
34 Hadidu, Seboimu, u Nebalatu,
katika Hadidi, Seboimu na Nebalati,
35 Lodu, Ononu i u Dolini rukotvoraca.
katika Lodi na Ono, na katika Bonde la Mafundi.
36 Skupine levita nalazile su se u Judi i Benjaminu.
Baadhi ya makundi ya Walawi wa Yuda waliishi huko Benyamini.

< Nehemija 11 >