< Nahum 2 >

1 Protiv tebe dolazi rušitelj. Postavi stražu na bedeme, gledaj na put, opaši bedra, saberi sve svoje snage.
Mshambuliaji anasogea dhidi yako, Ninawi. Linda ngome, chunga barabara, jitieni nguvu wenyewe, kusanya nguvu zako zote!
2 Da, Jahve će obnoviti vinograd Jakovljev i vinograd Izraelov. Pljačkaši ih opljačkali, mladice im potrli.
Bwana atarudisha fahari ya Yakobo, kama fahari ya Israeli, ingawa waangamizi wamewaacha ukiwa na wameharibu mizabibu yao.
3 Štitovi njegovih junaka crvene se, njegovi su ratnici u grimizu; ognjem blista čelik na njihovim bojnim kolima kad krenu u boj; konji im se propinju.
Ngao za askari wake ni nyekundu, mashujaa wamevaa nguo nyekundu. Chuma kwenye magari ya vita chametameta, katika siku aliyoyaweka tayari, mikuki ya mierezi inametameta.
4 Po ulicama bjesne bojna kola, lete preko trgova; na pogled su baklje goruće; kao munje, samo sijevaju.
Magari ya vita yanafanya msukosuko barabarani, yakikimbia nyuma na mbele uwanjani. Yanaonekana kama mienge ya moto; yanakwenda kasi kama umeme.
5 Pozivaju se borci odabrani, bacaju se u rovove, hrle brzo na bedeme, već je zaklon postavljen.
Anaita vikosi vilivyochaguliwa, lakini bado wanajikwaa njiani. Wanakimbilia haraka kwenye ukuta wa mji, ile ngao ya kuwakinga imetayarishwa.
6 Vrata koja gledaju na Rijeku otvaraju se, strava je u palači.
Malango ya mto yamefunguliwa wazi, na jumba la kifalme limeanguka.
7 Podižu, u izgnanstvo odvode Gospodaricu, robinjice njene cvile, tuguju kao golubice, u prsa se udaraju.
Imeagizwa kwamba mji uchukuliwe na upelekwe uhamishoni. Vijakazi wake wanaomboleza kama hua na kupigapiga vifua vyao.
8 Niniva je nabujalo jezero, oni bježe pred vodom njezinom. “Zaustavite se, stanite!” Ali se nitko ne okreće.
Ninawi ni kama dimbwi, nayo maji yake yanakauka. Wanalia, “Simama! Simama!” Lakini hakuna anayegeuka nyuma.
9 “Grabite srebro! Grabite zlato!” Blagu kraja nema, obilje dragocjenosti!
Chukueni nyara za fedha! Chukueni nyara za dhahabu! Wingi wake hauna mwisho, utajiri kutoka hazina zake zote!
10 Pljačkanje, haranje, razaranje! Srce zamire, koljena klecaju, u bedrima drhtavica, svima su lica poblijedjela.
Ameharibiwa, ametekwa nyara, ameachwa uchi! Mioyo inayeyuka, magoti yanalegea, miili inatetemeka, na kila uso umebadilika rangi.
11 Gdje je skrovište lavovima i log lavićima? Kad je lav izlazio, lavica je ostajala i lavovi mališani; plašio ih nitko nije.
Liko wapi sasa pango la simba, mahali ambapo waliwalisha watoto wao, ambapo simba dume na simba jike walikwenda na ambapo wana simba walikwenda bila kuogopa chochote?
12 Lav je grabio za svoje laviće, davio je za svoje lavice; svoje spilje punio je plijenom, svoja skrovišta lovinom.
Simba aliua mawindo ya kutosha watoto wake, alinyonga mawindo kwa ajili ya mwenzi wake, akijaza makao yake kwa alivyoua na mapango yake kwa mawindo.
13 “Evo me! Tebi!” - riječ je Jahve nad Vojskama. “Pretvorit ću u dim tvoja bojna kola, mač će poklati tvoje laviće. Istrijebit ću sa zemlje tvoja pljačkanja, i neće se više čuti povik tvojih glasnika.”
Bwana Mwenye Nguvu Zote anatangaza, “Mimi ni kinyume na ninyi. Magari yenu ya vita nitayateketeza kwa moto, na upanga utakula wana simba wako. Sitawaachia mawindo juu ya nchi. Sauti za wajumbe wako hazitasikika tena.”

< Nahum 2 >