< Malahija 2 >

1 A sad vas opominjem, svećenici!
Sasa, ninyi makuhani, amri hii ni kwa ajili yenu.
2 Ako ne budete poslušali, ako ne budete k srcu uzeli da proslavite Ime moje - govori Jahve nad Vojskama - kletvu ću na vas svaliti i proklet ću vaš blagoslov. I već ga prokleh jer to niste k srcu uzeli.
Kama hamtasikiliza, na kama hamtalichukua hili mioyoni mwenu na kunipa utukufu kwa jina langu, “asema Bwana wa Majeshi, Kisha nitatuma laana kwenu, na nitalaani baraka zenu. Kiukweli, nilishawalaani tayari, kwa sababu hujaweka sheria zangu moyoni.
3 I slomit ću vam ruku, bacit ću vam u lice izmetine, izmetine vaših svetkovina, i s njima ću vas splaviti.
Tazama, nitakikemea kizazi chako, na nitapaka mavi juu ya uso wako, mavi ya dhabihu zenu, na mtachukuliwa pamoja nayo.
4 Po tom ćete znati: to je bila moja opomena da ostane Savez moj s Levijem - govori Jahve nad Vojskama.
Na mtajua kwamba nimetuma hii sheria kwenu, kwamba agano langu litakuwa ni juu yangu na Lawi,” asema Bwana wa Majeshi.
5 A moj Savez s njim, to bijaše život i mir - ja sam mu ih dao: bijaše to strah - i on me se bojao, Imena se moga plašio.
Agano langu na yeye lilikuwa agano la uhai na amani, na nilimpa vitu hivi kama njia ya kuniheshimu. aliniheshima na alisimama akawa na hofu kwa jina langu.
6 Zakon istine bijaše u njegovim ustima i pakost mu ne kaljaše usana; u miru i pravičnosti hodio je sa mnom i mnoge je od grijeha odvratio.
Mafundisho ya kweli yalikuwa kwenye kinywa chake, na uovu haukupatikana kinywani mwake. Alitembea na mimi kwa amani na unyoofu, na aliwarudisha wengi kutoka dhambini.
7 Da, usne svećenikove treba da čuvaju znanje, a iz njegovih usta treba tražiti Zakon: ta on je glasnik Jahve nad Vojskama.
kwa sababu midomo ya makuhani huhifadhi maarifa, na watu watatafuta maagizo kutoka kwenye kichwa chake, kwa sababu ni mjumbe wa Bwana wa Majeshi.
8 Ali vi ste s puta zašli, učinili ste da se mnogi o Zakon spotiču, raskinuli ste Savez Levijev - govori Jahve nad Vojskama.
lakini umepita mbali na njia ya kweli. Umesababisha wengi kuwa na mashaka ya kutii sheria. umeliharifu agano la Lawi,” asema Bwana wa Majeshi.
9 Zato učinih da vas preziru i ponizuju svi narodi jer se putova mojih vi držali niste, nego ste bili pristrani primjenjujuć Zakon.
Kwa hiyo nimewafanya ninyi nanyi kudharauliwa mbele ya watu, kwa sababu hamkutunza njia zangu, lakini badala yake mnapendelea katika maagizo yenu.
10 Nemamo li svi jednog Oca? Nije li nas jedan Bog stvorio? Zašto smo onda jedan drugome nevjerni te skvrnimo Savez svojih otaca?
Sisi sote hatuna baba mmoja? Siyo Mungu yule mmoja aliyetuumba sote? kwa nini tunafanyiana hila kila mtu na ndugu yake, mnariharibu agano la baba zetu?
11 Iznevjerio se Juda: učinili su sramotu u Izraelu i Jeruzalemu, jer Juda je oskvrnuo Svetinju, Jahvi dragu, i ženi se kćerju tuđega božanstva.
Yuda amefanya hila na ameona kinyaa kwa vitu vilivyowekwa katika Israeli na Yerusalem. Yuda amenajisi mahali patakatifu pa Bwana ambapo anapapenda, na ameoa binti wa miungu migeni.
12 Svakog tko tako učini, ma tko bio on, nek iskorijeni Jahve iz šatora Jakovljevih i izmeđ onih koji prinose žrtvu Jahvi nad Vojskama!
Mungu akukatilie mbali kutoka kwenye hema ya Yakobo na uzao wa mtu aliyefanya haya, hata yule anayeleta sadaka kwa Bwana wa Majeshi.
13 I ovo još vi činite: zalijevate suzama Jahvin žrtvenik tužeći i ridajući, jer on više neće da se žr tvi prikloni, iz ruke mu vaše ona nije ugodna.
Na wewe pia fanya hivyo. Unafunika madhabahu ya Bwana kwa machozi, kwa kilio na kuugua, kwa sababu hatakubali sadaka na kuzipokea kutoka mikononi mwako.
14 I vi pitate: “Zašto?” Zato što je Jahve bio svjedok između tebe i žene mladosti tvoje kojoj si nevjeran premda ti drugarica bijaše i žena tvoga saveza.
Lakini wasema, ni kwa sababu gani?” Kwa sababu Bwana amekuwa shahidi kati yako wewe na mke wako wa ujana wako, kinyume chake umekuwa si mwaminifu, ingawa yeye ni mwenzako na mke wa agano lako.
15 Nije li On načinio jedno jedino biće dahom životnim obdareno? A što to jedino biće traži? Božanski naraštaj! Poštuj dakle život svoj i ne budi nevjeran ženi svoje mladosti.
Je yeye hakuwafanya kuwa mmoja, hata kwa sehemu ya roho yake? Sasa ni kwanini aliwafanya ninyi kuwa mmoja? Kwa sababu alikuwa anategemea kupata watoto wacha Mungu. Kwa hiyo jiepushe mwenyewe ndani ya moyo wako, na asiwepo mtu asiye mwaminifu kwa mke wa ujana wake.
16 Jer ja mrzim otpuštanje žena - govori Jahve, Bog Izraelov - i onog koji nevjerom haljine svoje kalja - govori Jahve nad Vojskama! Poštujte dakle život svoj, ne budite nevjerni!
“Nakuchukia kuachana,” asema Bwana, Mungu wa Israel, “afunikizaye nguo yake kwa udhalimu,” asema Bwana wa Majeshi. “Kwa hiyo jilinde ewe mwenyewe ndani ya roho yako na usiwe mtu asiye mwaminifu.”
17 Dosađujete Jahvi svojim riječima, a pitate: “U čemu mu dosađujemo?” Time što govorite: “Svi koji zlo čine dobro su viđeni u očima Jahvinim i takvi su mu mili!” ili: “Gdje je Bog pravde?”
Mmechosha Bwana na maneno. Lakini mwasema, “Tumekuchoshaje?” Kwa kusema Kila mmoja aliyefanya uovu ni mzuri kwa upande wa Bwana, na anafuraha nao;” au “Yuko wapi Mungu wa Haki?”

< Malahija 2 >