< Levitski zakonik 27 >

1 Jahve reče Mojsiju:
Yahweh akazungumza na Musa na akasema,
2 “Govori Izraelcima i reci im: 'Ako tko zaželi podmiriti Jahvi zavjet što vrijedi koliko čovjek,
“Zungumza na watu wa Israeli na uwaambie, 'Iwapo mtu yeyote anatoa kiapo maalum cha kuwa mnathiri kwa Yahweh, tumieni tathmini zifuatazo:
3 neka ti je mjerilo: muškarca od dvadeset do šezdeset godina starosti procijeni pedeset šekela u srebru, prema hramskom šekelu,
Viwango vyenu vya thamani kwa mwanaume aliye na umri kati ya miaka ishirini na miaka sitini yaweza kuwa shekeli hamsini za fedha, kulingana na vipimo vya shekeli ya mahali pa patakatifu.
4 a žensku procijeni trideset šekela.
Kwa mwanamke wa umri uleule viwango vyenu vya thamani yapasa viwe shekeli thelathini vya fedha.
5 A za dob od pet do dvadeset godina neka tvoja procjena bude: za muškarca dvadeset šekela, a za žensku deset šekela.
Tangu wenye umri wa miaka mitano mpaka wa miaka ishirini viwango vyenu vya thamani kwa mwananume vitakuwa shekeli ishirini za fedha, na kwa mwanamke ni shekeli kumi za fedha,
6 Je li dob od jednoga mjeseca do pet godina, neka ti je procjena: za muško pet šekela u srebru, a procjena za žensko tri šekela u srebru.
Kwa wenye umri wa tangu mwezi mmoja mpaka miaka mitano viwango vyenu vya thamani kwa mawanaume vitakuwa shekeli tano za fedha na kwa mwanamke shekeli tatu za fedha.
7 Bude li u starosti od šezdeset godina ili više, neka ti je procjena: za muškarca petnaest šekela, a za žensku deset šekela.
Tangu wenye umri wa miaka sitini na zaidi kwa mwanaume viwango vyenu vya thamani vitakuwa shekeli kumi na tano, na kwa mwanamke ni shekeli kumi.
8 Ali ako je tko siromašan te ne može platiti svoju cijenu, neka ga dovedu pred svećenika i neka ga svećenik procijeni. Ali neka svećenik procijeni prema onome što zavjetovalac može dati.
Lakini kama mtu atoaye kiapo cha mnadhiri hawezi kulipa kiwango hicho cha thamani, kisha huyo mtu anayetolewa lazima atapelekwa kwa kuhani, naye kuhani atamthamanisha huyo atolewaye kwa kiasi anachoweza kutoa yule anayetoa kiapo cha mnadhiri.
9 Ako zavjetovani prinos bude od životinja koje se mogu Jahvi prinositi, svaki takav prinos Jahvi bit će posvećena stvar.
Iwapo mtu anataka kutoa sadaka ya mnyama kwa Yahweh, na iwapo Yahweh ataikubali, kisha huyo mnyama atatengwa kwake.
10 Neka se ne nadomješta niti zamjenjuje za što drugo - bilo dobro za loše, bilo loše za dobro. Ako li se napravi zamjena jednoga živinčeta za drugo, onda će i zavjetovano i ono koje ga je zamijenilo biti posvećena stvar.
Mtu huyo hataruhusiwa kumtoa madhabahuni au kumbadilisha huyo mnyama, mzuri kwa mbaya au mbaya kwa mzuri. endapo atatoa mnyama badala ya mwingine, kisha wanyama hao wawili; yule anayetolewa na yule anayebadilishwa wanakuwa watakatifu.
11 Bude li zavjetovani prinos od nečiste životinje koja se ne može Jahvi prinositi, neka se takvo živinče dovede k svećeniku
Hata hivyo, iwapo kile mtu amishaapa kumtolea Yahweh kwa uhalisia siyo kisafi, kwa hiyo, Yahweh hatakikubali, naye huyo mtu atalazimika kumleta huyo mnyama kwa kuhani.
12 pa neka ga on procijeni. Bilo skupo, bilo jeftino, kako svećenik procijeni, neka tako bude.
Kuhani atamthamanisha, kwa thamani ya soko la mnyama. Thamani yoyote kuhani atakayoiweka juu ya mnyama, hiyo ndiyo itakuwa thamani yake.
13 Zaželi li ga tko otkupiti, neka doda njegovoj procjeni jednu petinu.
Na kama mmiliki anapenda kumkomboa, kisha tano ya thamani yake itaongezwa kwenye gharama yake ya ukombozi.
14 Ako tko posveti svoju kuću zavjetovavši je Jahvi, neka svećenik procijeni da li je dobra ili loša. Kako svećenik prosudi, neka tako ostane.
Mtu aitengapo nyumba yake iwe zawadi takatifu kwa Yahweh, kisha kuhani ataweka thamani yake ama iwe ni nzuri au mbaya. Thamani yoyote itakayowekwa na kuhani juu yake, ndiyo itakuwa thamani yake.
15 Ako onaj koji je svoju kuću zavjetovao zaželi da je otkupi, neka dometne jednu petinu svoti na koju je procijenjena pa neka bude njegova.
Lakini kama mmiliki wake anayeitenga nyumba yake anapenda kuikomboa, atalazimika kuongeza sehemu ya tano ya thamani yake kwenye gharama ya ukombozi wake, nayo nyumba itakuwa yake.
16 Ako tko zavjetuje Jahvi dio zemljišta od svoga vlasništva, procijeni ga prema njegovu usjevu: za jedan homer ječmena sjemena pedeset šekela u srebru.
Iwapo mtu anatenga sehemu ya ardhi yake mwenye, kisha tathmini yake itakuwa katika uwiano kwa kiwango cha kiasi cha mbegu inayotakiwa kuipanda katika ardhi hiyo—homeri moja ya mbegu za shairi ambayo itathamanishwa kwa shekeli hamsini za fedha.
17 Zavjetuje li zemljište za jubilejske godine, neka ostane prema ovoj procjeni.
Na kama analitenga shamba lake katika mwaka wa Yubile, tathmini yake ya awali itabaki kuwa ileile.
18 Ali ako zemljište zavjetuje poslije jubilejske godine, neka svećenik proračuna cijenu prema godinama što preostaju do jubilejske godine i prema tome smanji procjenu.
Lakini endapo atalitenga shamba hilo baada ya mwaka wa Yubile, kisha kuhani atalazimika kukokotoa thamani yake kwa idadi ya miaka inayobaki mpaka mwaka wa Yubile, na thamani yake lazima ishushwe.
19 Ako onaj tko je zemljište zavjetovao zaželi da ga otkupi, neka doda jednu petinu svoti na koju je procijenjeno pa neka mu ostane.
Iwapo mtu anayelitenga shamba lake anapenda kuliko, mboa, naye atalazimika kuongeza sehemu ya tano kwenye thamani, nalo shamba litakuwa lake tena.
20 Ako zemljište ne otkupi nego ga proda drugome, ne može se više otkupiti.
Iwapo halikomboi shamba, au iwapo amishaliuza shamba kwa mtu mwingine, haliwezi kukombolewa tena.
21 Kad zemljište bude oslobođeno u jubilejskoj godini, neka se posveti Jahvi kao zavjetovano zemljište i postane svećenikov posjed.
Badala yake, shamba hilo litakapoachwa huru katika mwaka wa Yubile, litakuwa zawadi takatifu kwa Yahweh, kama lilivyo shamba lililotolewa kabisa kwa Yahweh. Nalo litakuwa mali ya kuhani.
22 Zavjetuje li tko Jahvi kupljeno zemljište koje nije dio njegove očevine,
Iwapo mtu anatenga shamba alilolinunua, lakini hilo shamba siyo sehemu ya ardhi ya familia yake,
23 neka mu svećenik proračuna razmjernu procjenu do jubilejske godine. I toga istog dana neka isplati iznos kao stvar posvećenu Jahvi.
kuhani atafanya tathmini yake mpaka mwaka wa Yubile, na mtu huyo lazima atalipa thamani yake katika siku hiyo hiyo kuwa zawadi takatifu kwa Yahweh.
24 U jubilejskoj godini zemljište se ima vratiti onome od koga je kupljeno - kome pripada zemljišno vlasništvo.
Katika mwaka wa Yubile, shamba litarejeshwa kwa mtu yule ambaye lilikuwa limenunuliwa, kwa mmiliki wa ardhi.
25 Svaka procjena neka se vrši prema hramskom šekelu: dvadeset gera jedan šekel.
Tathmani yote lazima ifanywe kwa uzani wa shekeli ya mahali pa patakatifu. Gera ishirini kwa shekeli moja.
26 Ali neka nitko ne zavjetuje prvinu od stoke. TÓa prvina ionako pripada Jahvi - Jahvina je, pa bila od sitnoga bila od krupnoga blaga.
Asiwepo mtu atakayetenga mzaliwa wa kwanza miongoni mwa wanyama, kwa kuwa wazaliwa wote wa kwanza wa wanyama tayari ni mali ya Yahweh; iwe ni maksai au kondoo, ni wa Yahweh.
27 Bude li od nečiste stoke, može se otkupiti prema procjeni, dometnuvši petinu cijene. Ako se ne otkupi, neka se prema procjeni proda.
Na kama ni mnyama aliye najisi, kisha mmiliki wake anaweza kumnunua tena sawasawa na thamani yake, na sehemu ya tano lazima itaongezwa kwenye thamani hiyo. Na kama mnyama hakombolewi, naye atauzwa kwa thamani iliyowekwa.
28 Ali ništa od 'herema', od onog što je Jahvi izručeno, bio to čovjek ili živinče ili njegovo baštinjeno zemljište, ništa što je tko Jahvi zavjetom posvetio, ne može se niti prodati niti otkupiti. Svaka zavjetom posvećena stvar najveća je Jahvina svetinja.
Hakutakuwa na kitu amabacho mtu anakitoa kwa Yahweh, kutoka katika vyote alivyonavyo, iwe ni mwanadamu au mnyama, au ardhi ya familia yake, ambacho chaweza kuuzwa au kukombolewa. Kila kitu kitolewacho ni kitakatifu sana kwa Yahweh.
29 Nijedno ljudsko biće koje bude 'heremom' - prokletstvom - udareno ne smije se otkupljivati: mora se smaknuti.
Hakuna fidia inayoweza kulipwa kwa ajili ya mtu aliyetolewa ili kuangamizwa. Mtu huyo sharti auawe
30 Svaka desetina sa zemljišta, bilo od poljskih usjeva bilo od plodova sa stabala, pripada Jahvi; to je Jahvi posvećeno.
Zaka yote iliyo ya ardhini, iwe nafaka ichipukayo juu ya ardhi au tunda kutoka kwenye miti, ni mali ya Yahweh. Ni takatifu kwa Yahweh.
31 Ako bi tko htio otkupiti koji dio svoje desetine, mora tome dodati jednu petinu cijene.
Iwapo mtu anakomboa chochote cha zaka yake, atalazimika kuongeza sehemu ya tano kwenye thamani yake.
32 Svaka desetina od krupnoga i sitnoga blaga, to jest svako deseto od svega što prolazi ispod pastirskog štapa, neka bude posvećeno Jahvi.
Na kwa kila mnyama wa kumi wa kundi la ng'ombe au la kondoo, yeyote anayepita chini ya fimbo ya mchungaji, atatengwa kwa ajili ya Yahweh.
33 Neka se ne gleda je li dobro ili rđavo; i neka se ne zamjenjuje. Ako se ipak zamijeni, neka je onda i jedno i drugo posvećeno i ne smije se otkupljivati.'”
Mchungaji hatatafuta wanyma waliobora au wabaya kabisa, na haruhusiwi kubadili mnyama mmoja kwa mnyama mwingine. Iwapo anambadilisha kwa namna yoyote ile, kisha wote wawili yule wa kwanza na huyo aliyebadiliwa watakuwa watakatifu. Mnyama huyo atolewaye hawezi kukombolewa.'”
34 To su zapovijedi koje je Jahve izdao Mojsiju za Izraelce na Sinajskome brdu.
Hizi ndizo amri ambazo Yahweh alimpa Musa kwenye mlima Sinai kwa ajili ya watu wa Israeli.

< Levitski zakonik 27 >