< Levitski zakonik 22 >
Yahweh akazungumza na Musa, kusema,
2 “Reci Aronu i njegovim sinovima da sveto postupaju sa svetim prinosima Izraelaca; neka ne oskvrnjuju moje sveto ime koje oni - ta moje je! - moraju svetiti. Ja sam Jahve!
“Ongea na Aroni na wanawe, waambie wajiepushe na vitu vitakatifu vya watu wa Israeli wanavyovitenga kwangu. Wasilinajisi jina langu. Mimi ndimi Yahweh.
3 Reci im: 'Ako se ikad tko od vaših naraštaja primakne u stanju nečistoće k svetim prinosima što ih Izraelci posvećuju Jahvi, taj će biti uklonjen od moje nazočnosti. Ja sam Jahve!'
Waambie, 'Ikiwa mmoja wa wazao wenu katika vizazi vyenu vyote anakaribia vitu vitakatiifu vile ambavyo watu wa Israeli wamevitenga kwa Yahweh, wakati akiwa najisi, sharti mtu huyo akatiliwe mbali atoke mbele zangu. Mimi ndimi Yahweh.
4 Neka nitko od Aronovih potomaka koji bude gubav ili imadne izljev ne blaguje svetih prinosa dok ne postane čist. Onaj koji se dotakne bilo čega što je mrtvo tijelo okaljalo ili onaj koji iz sebe prospe sjemeni izljev;
Hatakuwapo yeyote wa uzao wa Aroni aliye na ungonjwa wa ngozi wa kuambukiza, au maambukizi yatirirkayo kutoka mwilini mwake, atakayekula sehemu yoyote ya dhabihu inatolewayo kwa Yahweh mpaka atakapotakasika. Yeyote agusaye kitu chochote kilichonajisi kwa njia ya kugusa maiti, au kwa kumgusa mtu yeyote aliyetokwa na shahawa,
5 onaj koji se dotakne kakva puzavca koji ga onečisti; ili čovjeka od kojega se okalja bilo kakvom nečistoćom -
au yeyote agusaye mnyama atakayemtia unajisi, au mtu yeyote atakayemfanya najisi, kwa hiyo unajisi wowote unaweza kuwa—
6 onaj koji se dotakne čega takva neka je nečist do večeri i neka ne blaguje svetih prinosa dok ne okupa svoje tijelo u vodi.
kuhani yeyote agusaye kitu chochote kisichosafi atakuwa najisi hata jioni. Hatakula chochote cha vitu vitakatifu, isipokuwa ameuosha mwili wake katika maji.
7 Čim sunce zađe, čist je. Poslije toga može blagovati od svetih prinosa jer mu je to hrana.
Jua linapotua, ndipo atakuwa safi. Baada ya machweo anaweza kula kutoka katika vitu vitakatifu, kwasababu hivyo ni vyakuala vyake.
8 Neka ne jede ni strva ni što je zvjerad rastrgla. Time bi se okaljao.
Asile mzoga wowote uliookotwa au mnyama aliyeraruliwa na wanyama pori, ambaye kwake atajitia unajisi. Mimi ndimi Yahweh.
9 Neka drže moje naredbe, da ne navuku na se krivnju i zbog nje, oskvrnuvši se, ne poginu. Ta ja, Jahve, njih posvećujem.”
Ni lazima makuhani wafuate maagizo yangu, ama sivyo watakuwa na hatia ya dhambi na wangeweza kufa kwa kunitia unajisi. Mimi ndimi Yahweh ninayewafanya wao watakatifu.
10 “Neka nijedan svjetovnjak ne blaguje od prinosa; ni ukućanin ni svećenikov sluga ne smije jesti od svetoga prinosa.
Hakuna mtu kutoka nje ya familia ya kuahani, wakiwemo wageni wa kuhani au watumwa wake wa kuajiliwa, atakayeweza kula kitu chochote kilicho kitakatifu.
11 Ali ako svećenik steče koga novcem u svoje vlasništvo, taj to može jesti kao onaj što se rodi u njegovoj kući; oni mogu jesti od njegove hrane.
Lakini kama huyo kuhani amenunua mtumwa kwa fedha yake mwenyewe, mtumwa huyo anaweza kula kutoka katika vitu vilivyotengwa kwa Yahweh. Na watu wa familia ya kuhani na watumwa waliozaliwa nyumbani mwake, pia wanaweza kula pamoja naye kutoka katika vitu hivyo.
12 Ako se svećenikova kći uda za svjetovnjaka, ne smije blagovati od podizanih svetih prinosa.
Ikiwa binti wa kuhani ameolewa na mtu asiye kuhani, hataweza kula chochote cha mchango wa matoleo matakatifu.
13 Ali ako svećenikova kći obudovi ili bude otpuštena, a nema djece pa se vrati u očevu kuću, može se hraniti očevom hranom kao u svojoj mladosti. Nikakav svjetovnjak ne smije što od toga jesti.
Lakini ikiwa huyo binti wa kuhani ni mjane au ametalikiwa, na ikiwa hana mtoto, na anarudi kuishi knyumbani kwa baba yake kama alivyokuwa wakati wa ujana wake, anaweza kula kutoka katika chakula cha baba yake. Lakini hakuna yeyote asiye wa familia ya kikuhani anatakayeruhusiwa kula kutoka katika chakula cha kuhani.
14 Bude li tko iz neznanja jeo sveti prinos, neka ga nadoknadi svećeniku dodajući petinu.
Kama mtu anakula chakula kitakatifu bila ya kukijua, naye atamlipa kuahani kwa ajili ya hicho; itampasa kuongeza moja ya tano juu yake na kukirejesha kwa kuhani.
15 Neka ne oskvrnjuju svetih prinosa što ih Izraelci Jahvi podižu.
Haiwapasi watu wa Israeli kutoheshimu vitu vitakatifu ambavyo vimeinuliwa juu na kuletwa kwa Yahweh,
16 Jedući ih, navukli bi na se krivnju koja bi ih obvezivala na nadoknadu, jer ja, Jahve, posvetio sam te prinose.”
kisha wakajisababishia wenyewe kuchukua dhambi amabyo ingewafanya kuwa na hatia ya kula chakula kitakatifu, kwa kuwa mimi ndimi Yahweh awafanyaye wao watakatifu.”
Yahweh akazungumza na Musa, akasema,
18 “Govori Aronu, njegovim sinovima i svim Izraelcima i reci im: 'Svaki čovjek doma Izraelova ili stranac u Izraelu koji donosi svoj prinos kao zavjet ili kao dragovoljan dar da se prinese Jahvi kao žrtva paljenica - da bude primljen -
“Sema na Aroni na wanawe, na kwa watu wa Israeli wote. Waambie, Mwisraeli yeyote, au Mgeni anayeishi katika Israeli, waletapo dhabihu—iwe ni kutimiza kiapo, au iwe ni sadaka ya hiari, au wanaleta kwa Yahweh sadaka ya kuteketezwa kwa moto,
19 mora prinijeti muško bez mane, bilo to goveče, ovca ili koza.
ikiwa wanataka ikubalike, ni lazima watowe mnyama dume asiye na dosari, kutoka kwenye kundi la ng'ombe, kondoo au mbuzi
20 Nikakvo s manom na njemu nemojte prinositi jer vam to neće biti primljeno.
Lakini hamtatoa chochote kilicho na dosari. Sitakipokea kwa niaba yenu.
21 Ako tko prinosi Jahvi žrtvu pričesnicu da izvrši kakav zavjet ili učini dragovoljan prinos, bilo od krupne ili sitne stoke, ta životinja, da bude primljena, mora biti bez mane; nikakve mane na njoj ne smije biti.
Yeyote atoae dhabihu ya sadaka ya ushirika kutoka katika kundi la ng'ombe au la kondoo kwa Yahweh ili kutimiza kiapo, au kama sadaka ya hiari, ili ikubalike, ni lazima isiwe na kilema. Ni lazima pasiweko na kasoro katika mnyama.
22 Nikakvu slijepu, ili hromu, ili osakaćenu, gušavu, šugavu ili krastavu životinju, nikakvu takvu Jahvi nemoj prinositi niti ikakvu takvu na žrtvenik kao paljenu žrtvu Jahvi polagati.
Msitoe kabisa wanyama waliovipofu, waliojeruhiwa, wala walio na kilema, wenye upele, vidonda vitokavyo usaha, wala wenye vigaga. Msiwatoe hawa kuwa dhabihu ya kuteketezwa kwa moto iliyotolewa kwa Yahweh juu ya madhabahu.
23 Junca ili ovcu s kakvim udom protegnutim ili prikaćenim možeš prinijeti kao dragovoljan prinos, ali kao žrtva zavjetnica neće biti primljena.
Unaweza kumleta makisai au mwana-kondoo mlemavu au aliyedumaa kuwa sadaka ya hiari, lakini sadaka kama hiyo kwa ajili kutimiza kiapo, haitapokelewa.
24 Jahvi nemojte prinositi životinje sa zgnječenim, stučenim, rastrgnutim ili odsječenim mošnjama. To u svoj zemlji ne činite
Usitoe kwa Yahweh mnyama yeyote aliyetiwa jeraha, kupondwa, au kukatwa korodani zake.
25 niti takvo što primajte od stranca da to prinesete kao hranu svoga Boga. S manom su jer su osakaćene. Zato vam neće biti primljene.'”
Usifanye haya katika nchi yako. Usilete mkate wa Mungu wako kutoka mkononi mwa mgeni. Hao wanyama wenye vilema na dosari ndani yao, hawatapokelewa kabisa kwa ajili yako.
Yahweh akamwambia Musa na akasema,
27 “Kad se tele oteli, janje se ojanji ili se kozle okozi, sedam dana neka ostane uza svoju majku. Od osmoga dana može biti primljeno kao paljena žrtva Jahvi.
“Wakati ndama, mwana—kondo au mwana—mbuzi azaliwapo, sharti abaki na mama yake kwa muda wa siku saba. Ndipo kuanzia siku ya nane na kuendelea, anaweza kupokelewa kuwa dhabihu iliyofanywa kwa moto kwa Yahweh.
28 Ne koljite krave ni ovce u isti dan s njezinim mladim.
Usimchinje ng'ombe jike pamoja na ndama wake au mbuzi jike pamoja na kitoto chake kwa siku moja.
29 Kad Jahvi žrtvujete žrtvu zahvalnicu, žrtvujte je tako da budete primljeni.
Utoapo sadaka ya shukrani kwa Yahweh utaitoa kwa njia iliyokubalika.
30 Neka se žrtva blaguje onoga istog dana; od nje ništa ne ostavljajte za ujutro. Ja sam Jahve!”
Ni lazima iliwe siku iyo hiyo inayotolewa. Hutakiwi kubakiza chochote hata asubuhi. Mimi ndimi Yahweh.
31 “Moje zapovijedi držite i vršite ih. Ja sam Jahve!
Kwa hiyo imewapasa kuzishika amri zangu na kuzifuata. Mimi ndimi Yahweh.
32 Ne oskvrnjujte moga svetog imena, nego neka budem proglašen svetim među Izraelcima - ja, Jahve, koji vas posvećujem.
Msiliabishe jina langu takatifu. Ni lazima nitambuliwe kuwa ni mtakatifu na watu wa Israeli. Mimi ndimi Yahweh niwafanyaye ninyi watakatifu,
33 Ja koji sam vas izbavio iz zemlje egipatske da budem vaš Bog, ja, Jahve.”
ambaye amewaleta kutoka katika nchi ya Misri ili niwe Mungu wenu: Mimi ndimi Yahweh.”