< Levitski zakonik 2 >

1 “Kad tko želi prinijeti Jahvi žrtvu prinosnicu, neka njegov dar bude od najboljeg brašna; neka ga polije uljem i na nj stavi tamjana.
“‘Mtu yeyote aletapo sadaka ya nafaka kwa Bwana, sadaka yake itakuwa ya unga laini. Atamimina mafuta juu yake, aweke uvumba juu yake,
2 Neka ga onda donese Aronovim sinovima, svećenicima. Zatim neka zagrabi šaku od toga brašna i ulja i sav tamjan, pa neka svećenik na žrtveniku to sažeže u kad za spomen-žrtvu. To je žrtva paljena Jahvi na ugodan miris.
naye atapeleka kwa makuhani wana wa Aroni. Kuhani atachukua konzi moja iliyojaa unga laini na mafuta pamoja na uvumba wote, na kuuteketeza kama sehemu ya kumbukumbu juu ya madhabahu, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
3 A što od žrtve prinosnice ostane, neka pripadne Aronu i njegovim sinovima - najsvetije od žrtava Jahvi paljenih.
Sadaka ya nafaka iliyobaki ni ya Aroni na wanawe, ni sehemu ya sadaka iliyo takatifu sana iliyotolewa kwa Bwana kwa moto.
4 Ako za žrtvu prinosnicu želiš prinijeti tijesta pečena u peći, neka to budu beskvasne pogače od najboljeg brašna, zamiješene u ulju, ili beskvasne prevrte uljem namazane.
“‘Kama utaleta sadaka ya nafaka iliyookwa jikoni, itakuwa ya unga laini: maandazi yaliyotengenezwa bila kutiwa chachu, yaliyochanganywa na mafuta, au mikate myembamba iliyotengenezwa bila kutiwa chachu, na iliyopakwa mafuta.
5 Ako tvoj dar bude žrtva prinosnica pečena na tavi, neka bude od najboljeg brašna, neukvasana i u ulju zamiješena.
Iwapo sadaka yako ya nafaka imeandaliwa kwenye kikaango, itakuwa ni ya unga laini uliochanganywa na mafuta, bila chachu.
6 U komade je izlomi i po njima ulja polij: žrtva je to prinosnica.
Ukande na kumimina mafuta juu yake; hii ni sadaka ya nafaka.
7 Bude li tvoja prinosnica kuhana u kotluši, neka bude od najboljeg brašna, pripravljena s uljem.
Kama sadaka yako ya nafaka imepikwa kwenye sufuria, itatengenezwa kwa unga laini na mafuta.
8 Donosi Jahvi žrtvu prinosnicu tako pripravljenu! Neka se preda svećeniku, a on će je polagati na žrtvenik.
Ilete hiyo sadaka ya nafaka iliyotengenezwa kwa vitu hivi kwa Bwana; mkabidhi kuhani ambaye ataipeleka madhabahuni.
9 Neka svećenik odvoji od žrtve prinosnice dio kao spomen-žrtvu, pa neka ga sažeže u kad na žrtveniku - kao žrtvu paljenu Jahvi na ugodan miris!
Naye atatoa ile sehemu ya kumbukumbu kutoka kwenye hiyo sadaka ya nafaka na kuiteketeza juu ya madhabahu kuwa sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza Bwana.
10 A što od žrtve prinosnice ostane, neka pripadne Aronu i njegovim sinovima - najsvetije od žrtava Jahvi paljenih.
Sadaka ya nafaka iliyobaki ni ya Aroni na wanawe; ni sehemu ya sadaka iliyo takatifu sana ya sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto.
11 Nikakva žrtva prinosnica koju budeš prinosio Jahvi neka ne bude priređivana s kvasom, jer ne smiješ u kad sažigati ni kvasa ni meda kao žrtvu paljenicu.
“‘Kila sadaka ya nafaka unayoleta kwa Bwana ni lazima ifanywe bila kutiwa chachu, kwa kuwa huna ruhusa kuchoma chachu yoyote au asali katika sadaka itolewayo kwa Bwana kwa moto.
12 Prinosite ih Jahvi kao prvine plodova, ali neka se sa žrtvenika ne viju na ugodan miris.
Unaweza kuzileta kwa Bwana kama sadaka ya malimbuko, lakini haziwezi kutolewa juu ya madhabahu kama harufu nzuri ya kupendeza.
13 Svaku svoju žrtvu prinosnicu posoli. Ne ostavljaj svoje žrtve prinosnice bez soli Saveza sa svojim Bogom: sa svakim svojim prinosom prinesi i sol.
Koleza sadaka zako zote za nafaka kwa chumvi. Usiache kuweka chumvi ya Agano la Mungu wako katika sadaka zako za nafaka; weka chumvi kwenye sadaka zako zote.
14 Ako prinosiš Jahvi žrtvu prinosnicu od prvina, prinesi tu žrtvu od prvina svojih plodova u obliku klasa pržena na vatri ili brašna od samljevenog zrnja.
“‘Kama ukileta malimbuko ya sadaka ya nafaka kwa Bwana, utatoa masuke yaliyopondwa ya nafaka mpya iliyookwa kwa moto.
15 Dodaj još ulja i na nju stavi tamjana. To je žrtva prinosnica.
Weka mafuta na uvumba juu yake; ni sadaka ya nafaka.
16 Onda neka svećenik sažeže u kad za spomen-žrtvu dio kruha i ulja i sav tamjan kao žrtvu Jahvi paljenu.”
Kuhani atateketeza ile sehemu ya kumbukumbu kutoka kwenye hiyo sadaka ya nafaka iliyopondwa kwa mafuta, pamoja na uvumba wote, kama sadaka iliyotolewa kwa Bwana kwa moto.

< Levitski zakonik 2 >