< Levitski zakonik 16 >

1 Poslije smrti dvojice Aronovih sinova, koji su poginuli prinoseći pred Jahvom neposvećenu vatru, progovori Jahve Mojsiju.
Yahwe alizungumza na Musa - hii ni baada vifo vya wana wawili wa Haruni, walipomkaribia Yahwe na ndipo wakafa.
2 Jahve reče Mojsiju: “Kaži svome bratu Aronu da ne ulazi u svako doba u Svetište iza zavjese, pred Pomirilište koje se nalazi na Kovčegu, da ne pogine. Jer ja ću se pojavljivati nad Pomirilištem u oblaku.
Yahwe alimwambia Musa, “Ongea na Haruni kaka yako na umwambie hapana kuja tu wakati wowote katika patakatifu pa patakatifu ndani ya pazia, mbele ya kifuniko cha upatanisho kilicho juu ya sanduku. Akifanya hivyo, anakufa, kwasababu naonekana katika wingu juu ya kifuniko cha upatanisho.
3 Neka Aron ulazi u Svetište ovako: s juncem za žrtvu okajnicu i ovnom za žrtvu paljenicu.
Hivi ndivyo jinsi Haruni lazima aje katika patakatifu pa patakatifu. Yeye lazima aingie pamoja na ndama kama sadaka ya dhambi, na kondoo dume kama sadaka ya dhambi.
4 Neka se obuče u posvećenu košulju od lana; na svoje tijelo neka navuče gaće od lana; neka se opaše lanenim pasom, a na glavu stavi mitru od lana. To je posvećeno ruho koje ima obući pošto se okupa u vodi.
Ni lazima avae kanzu ya kitatani, na lazima avae ndani yake nguo ya kitani, na lazima avae mshipi wa kitani na kilemba cha kitani. Haya ni mavazi matakatifu. Lazima aoge mwili wake katika maji na avae mavazi haya.
5 Od zajednice izraelske neka primi dva jarca za žrtvu okajnicu i jednoga ovna za žrtvu paljenicu.
Lazima achukue kwenye umati wa watu wa Israeli mbuzi wawili waume kama sadaka ya dhambi na kondoo dume moja ikiwa ni sadaka ya kuteketezwa.
6 Pošto Aron prinese junca za žrtvu okajnicu za svoj grijeh i izvrši obred pomirenja za se i za svoj dom,
Ndipo Haruni lazima alete ng'ombe kama sadaka ya dhambi, ambayo itakuwa kwaajili yake mwenyewe, kufanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na familia yake.
7 neka uzme oba jarca i postavi ih pred Jahvu na ulaz u Šator sastanka.
Ndipo lazima achukue mbuzi wawili na kuwaweka mbele ya Yahwe katika mlango wa kuingilia kwenye hema ya mkutano.
8 Neka Aron baci kocke za oba jarca te jednoga odredi kockom Jahvi, a drugoga Azazelu.
Ndipo Haruni lazima apige kura kwaajili ya mbuzi hao wawili, kura moja kwaajili ya Yahwe, na kura nyingine kwaajili ya msingiziwa.
9 Jarca na kojega je kocka pala da bude Jahvi neka Aron prinese za žrtvu okajnicu.
Ndipo Haruni lazima awasilishe mbuzi ambaye kura imeangukia kwa Yahwe, na kumtoa mbuzi huyo kama sadaka ya dhambi.
10 A jarac na kojega je kocka pala da bude Azazelu neka se smjesti živ pred Jahvu, da se nad njim obavi obred pomirenja i otpremi Azazelu u pustinju.
Lakini mbuzi ambaye kura ya usingiziwa imemwangukia lazima aletwe kwa Yahwe akiwa hai, kufanya upatanisho kwa kumwachia aende porini kama, mbuzimsingiziwa.
11 Zatim neka Aron prinese junca za žrtvu okajnicu za svoj grijeh; i obavi obred pomirenja za se i za svoj dom: i neka zakolje toga junca za žrtvu okajnicu za svoj grijeh.
Pia Haruni lazima alete ng'ombe kwaajili ya sadaka ya dhambi, ambayo itakuwa kwaajili yake mwenyewe, lazima afanye upatanisho kwaajili yake mwenyewe na familia yake, hivyo lazima yeye amuue huyo ng'ombe kama sadaka ya dhambi kwaajili yake mwenyewe.
12 Potom neka uzme kadionik pun užarena ugljevlja sa žrtvenika ispred Jahve i dvije pune pregršti miomirisnoga tamjana u prah smrvljenoga. Neka to unese iza zavjese.
Haruni lazima achukue chetezo iliyojaa mkaa wa moto kutoka kwenye madhabahu mbele ya Yahwe, na mikono imejaa ubani mzuri, na kuleta vitu hivi ndani ya pazia.
13 Sad neka stavi tamjan na vatru pred Jahvom da oblak od tamjana zastre Pomirilište što je na Svjedočanstvu. Tako neće poginuti.
Hapo lazima aweke ubani juu ya moto mbele za Yahwe ili kwamba wingu kutoka kwenye ubani liweze kufunika kifuniko cha agano la imani ya upatanisho. Yeye afanye hivyo ili kwamba asife.
14 Poslije toga neka uzme krvi od junca i svojim prstom poškropi istočnu stranu Pomirilišta; a ispred Pomirilišta neka svojim prstom poškropi sedam puta tom krvlju.
Ndipo lazima achukue kiasi cha damu ya ng'ombe na kuinyunyiza kwa kidole chake mbele ya kifuniko cha upatanisho. Lazima anyunyize kiasi cha damu kwa kidole chake mara saba mbele ya kifuniko cha upatanisho.
15 Neka potom zakolje jarca za žrtvu okajnicu za grijeh naroda; neka unese njegovu krv za zavjesu te s njegovom krvi učini kako je učinio s krvlju od junca: neka njome poškropi po Pomirilištu i pred njim.
Ndipo lazima aue mbuzi kwaajili ya sadaka ya dhambi ambayo ni kwaajili ya watu na kuileta damu yake ndani kwenye pazi. Hapo lazima aifanyie damu kama alivyofanya kwenye damu ya fahali: lazima ainyunyize juu ya kifuniko cha upatanisho na mbele ya kifunuko cha upatanisho.
16 Tako će obaviti obred pomirenja nad Svetištem zbog nečistoća Izraelaca, zbog njihovih prijestupa i svih njihovih grijeha. A tako neka učini i za Šator sastanka što se među njima nalazi, sred njihovih nečistoća.
Yeye lazima afanye upatanisho kwaajili ya mahali patakatifu kwa sababu ya matendo ya unajisi ya watu wa Israeli, na kwa sababu ya uasi na dhambi zao zote. Yeye pia lazima afanye haya kwaajili ya hema ya mkutano, ambapo Yahwe anaishi kati yao, katika uwepo wa matendo yao ya unajisi.
17 Kad on uđe da obavi obred pomirenja u Svetištu, neka nikoga drugog ne bude u Šatoru sastanka dok on ne iziđe. Obavivši obred pomirenja za se, za svoj dom i za svu izraelsku zajednicu,
Hakuna mtu anayetakiwa kuwepo katika hema ya mkutano wakati Haruni anaingia kufanya upatanisho katika mahali patakatifu pa patakatifu, na mpaka atoke nje na amemaliza kufanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na kwaajili ya familia yake, na kwaajili umati wa Israeli.
18 neka ode k žrtveniku koji se nalazi pred Jahvom te nad žrtvenikom obavi obred pomirenja. Neka uzme krvi od junca i krvi od jarca pa stavi na rogove oko žrtvenika.
Yeye lazima aende nje kwenye madhabahu hapo mbele za Yahwe na kufanya upatanisho kwaajili ya hiyo, na lazima achukue kiasi cha damu ya mbuzi na kuiweka juu ya pembe za madhabahu yote kuzunguka.
19 Neka svojim prstom poškropi žrtvenik istom krvlju sedam puta. Tako će ga očistiti od nečistoća Izraelaca i posvetiti.
Anatakiwa anyunyize kiasi cha damu juu yake kwa kidole chake mara saba kuitakasa na kuitenga maalumu kwa Yahwe, mbali kutoka matendo ya unajisi wa watu wa Israeli.
20 Kad svrši obred pomirenja Svetišta, Šatora sastanka i žrtvenika, neka primakne jarca živoga.
Atakapo maliza kupatanisha kwaajili ya mahali patakatifu sana, hema la mkutano, na madhabahu, lazima amlete mbuzi aliyehai.
21 Neka mu na glavu Aron stavi obje svoje ruke i nad njim ispovjedi sve krivnje Izraelaca, sve njihove prijestupe i sve njihove grijehe. Položivši ih tako jarcu na glavu, neka ga pošalje u pustinju s jednim prikladnim čovjekom.
Haruni lazima aweke mikono yake yote juu ya kichwa cha mbuzi huyu aliyehai na akiri juu yake maovu yote ya watu wa Israeli, uasi wao wote, dhambi zao zote. Ndipo lazima aweke dhambi hizo juu ya kichwa cha mbuzi na amwachie katika uangalizi wa mtu aliyetari kumwongoza mbuzi huyo porini.
22 Tako će jarac na sebi odnijeti sve njihove krivnje u pusti kraj. Otpremivši jarca u pustinju,
Mbuzi lazima abebe juu yake mwenyewe uovu wote kwenda mahali pakiwa. Kule msituni, huyo mtu amwache mbuzi aende huru.
23 neka se Aron vrati u Šator sastanka, sa sebe svuče lanenu odjeću u koju se bio obukao kad je ulazio u Svetište i neka je ondje ostavi.
Ndipo Haruni anapaswa kwenda tena humo kwenye hema ya mkutano na kuvua mavazi ya kitani ambayo amayavaa kabla hajaenda mahali patakatifu sana, na anatakiwa kuyaacha mavazi hayo pale.
24 Neka potom opere svoje tijelo vodom na posvećenu mjestu, na se obuče svoju odjeću te iziđe da prinese svoju žrtvu paljenicu i žrtvu paljenicu naroda i obavi obred pomirenja za se i za narod.
Anapaswa aoshe mwili wake kwa maji mahali patakatifu, na avae nguo zake za kawaida; pia lazima atoke nje kutoa sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya kuteketezwa kwaajili ya wale watu, na kwa njia hii anafanya upatanisho kwaajili yake mwenyewe na kwaajili ya watu.
25 Loj sa žrtve okajnice neka sažeže u kad na žrtveniku.
Lazima yeye achome mafuta ya sadaka ya dhambi juu ya madhabahu.
26 Onaj koji je odveo jarca Azazelu neka opere svoju odjeću, svoje tijelo u vodi okupa i poslije toga može opet doći u tabor.
Huyu mtu anayemwacha mbuzi msingiziwa aende huru anafua nguo zake na kuosha mwili wake katika maji; baada ya hayo, anaweza kurudi tena kambini.
27 A junca žrtve okajnice i jarca žrtve okajnice od kojih je krv bila donesena u Svetište da se obavi obred pomirenja neka odnesu izvan tabora pa neka na vatri spale njihove kože, njihovo meso i njihovu nečist.
Yule fahali kwaajili ya sadaka ya dhambi na mbuzi kwaajili ya sadaka za dhambi, ambaye damu yake ililetwa kufanya upatanisho katika mahali patakatifu, lazima ipelekwe nje ya kambi. kule lazima wachome, ngozi zao, nyama yao na kinyesi chao.
28 Tko ih bude spaljivao, neka opere svoju odjeću, svoje tijelo okupa u vodi i poslije toga može opet doći u tabor.
Huyu anayechoma sehemu hizo lazima afue nguo zake na aoge mwili wake katika maji; baada ya hapo, anaweza kurudi tena kwenye kambi.
29 Ovaj zakon neka za vas trajno vrijedi. U sedmom mjesecu, deseti dan toga mjeseca, postite i ne obavljajte nikakva posla: ni domorodac ni stranac koji među vama boravi.
Hii itakuwa sharti kwaajili yenu kwamba katika mwezi wa saba, kwenye siku ya kumi ya mwezi, mtanyenyekea wenyewe na msifanye kazi, iwe mwenyeji wa kuzaliwa au mgeni anayeishi kati yenu.
30 Jer toga dana nad vama se ima izvršiti obred pomirenja da se očistite od svih svojih grijeha te da pred Jahvom budete čisti.
Hii ni kwasababu katika siku hii ya upatanisho utafanywa kwaajili yenu, kuwatakasa ninyi kutoka dhambi zenu zote ili mwe safi mbele za Yahwe.
31 Neka je to za vas subotnji počinak kad postite. Trajan je to zakon.
Hii ni maalumu kwa Sabato ya kupumzika kwaajili yenu, na lazima mnyenyekee wenyewe na msifanye kazi. Hili litakuwa sharti kati yenu.
32 Neka obred pomirenja obavi onaj svećenik koji bude pomazan i posvećen za vršenje svećeničke službe namjesto svoga oca. Neka se obuče u posvećeno laneno ruho;
Kuhani mkuu, ambaye atapakwa mafuta na kuwekwa wakfu kuwa kuhani mkuu katika nafasi ya baba yake, lazima afanye upatanisho huu na kuvaa mavazi ya kitani, hayo ni mavazi matakatifu.
33 on neka obavi obred pomirenja za posvećeno Svetište, za Šator sastanka i za žrtvenik. Zatim neka izvrši obred pomirenja nad svećenicima i nad svim narodom zajednice.
Lazima afanye upatanisho kwaajili ya mahali patakatifu sana; lazima afanye upatanisho kwaajili ya hema ya mkutano na madhabahu, na lazima afanye upatanisho kwaajili ya makuhani na kwaajili ya kusanyiko la watu.
34 Tako neka to bude za vas trajan zakon; jednom na godinu neka se nad Izraelcima obavi obred pomirenja za sve njihove grijehe.” Mojsije je učinio kako mu je Jahve naredio.
Hii daima itakuwa sharti kwaajili yako, kufanya upatanisho kwaajili ya watu wa Israeli kwasababu ya dhambi zao zote, mara moja kwa kila mwaka.” Na ilikuwa ikifanika kama Yahwe alivyomwamuru Musa.

< Levitski zakonik 16 >