< Levitski zakonik 10 >

1 A sinovi Aronovi Nadab i Abihu uzmu svaki svoj kadionik; stave u nj vatre i na nju metnu tamjana da prinesu pred Jahvom neposvećenu vatru, koju im on ne bijaše propisao.
Nadabu na Abihu, wana wa Aroni, wakachukua kila mtu kifukizo chake, akaweka moto ndani yake, na kisha uvumba. Kisha wakatoa moto usiokuabalika mbele za Yahweh, moto ambao hakuwaamru wao kuutoa.
2 Ali izbije plamen ispred Jahve te ih proguta - poginuše oni pred Jahvom.
Kwa hiyo moto ukashuka chini mbele za Yahweh na kuwala, nao wakafa mbele za Yahweh.
3 Nato će Mojsije Aronu: “To je ono što je Jahve navijestio: Po onima koji su mi blizu svetim ću se pokazati; pred svim ću se pukom proslaviti.” Aron je šutio.
Kisha Musa akamwambia Aroni, Hivi ndiyo Yahweh alivyokuwa akizunguzia aliposema, 'Nitaufunua utakatifu wangu kwa wale wajao mbele zangu. Nami nitatukuzwa mbele za watu wote.'” Naye Aroni hakusema neno lolote.
4 Mojsije zovnu Mišaela i Elsafana, sinove Aronova strica Uziela, pa im reče: “Dođite i odnesite svoju braću ispred Svetišta u polje izvan tabora!”
Musa akamwita Mishaeli na Elzafani, wana wa Uzieli mjomba wa Aroni, naye akamwambia, “njoo huku na uwatowe ndugu zako nje ya kambi watoke mbele ya hema.”
5 Oni dođu i odnesu ih u njihovim košuljama u polje izvan tabora, kako je Mojsije rekao.
Hivyo wakakaribia na kuwachukua wangali wamevaa kanzu zao za kikuhani, nao wakawapeleka nje ya kambi, kama Musa alivyokuwa ameelekeza. Kisha Musa akamwambia Aroni na wanawe wengine wawili, Eliezari na Ithamari, “
6 Poslije toga Mojsije reče Aronu i njegovim sinovima, Eleazaru i Itamaru: “Ne raščupavajte svoje kose niti razdirite svojih haljina da ne poginete i da se On ne razljuti na svekoliku zajednicu. Vaša braća i sav dom Izraelov neka oplakuje one koje je vatra Jahvina sažegla.
Msiache wazi nywele za vichwa vyenu, wala msirarue nguo zenu, ili kwamba msije mkafa, na kwamba Yahweh asilikasirikie kusanyiko zima. Lakini waacheni jamaa zenu, nyumba yote ya Israeli waweze kufanya ibada za maombolezo kwa ajili ya hao ambao Yahweh amewaangamiza kwa moto.
7 Ne smijete odlaziti s ulaza u Šator sastanka da ne pomrete, jer na vama je Jahvino ulje pomazanja.” Oni učine po riječi Mojsijevoj.
Msiende nje kutoka kwenye ingilio la hema la kukutania, ama sivyo mtakufa, kwa kuwa mafuta ya Yahweh ya upako yako juu yenu.” Kwa hiyo wakatenda sawasawa na maelekezo ya Musa.
8 Jahve reče Aronu:
Mungu akazungumza na Aroni, akisema,
9 “Kad ulazite u Šator sastanka, nemojte piti vina niti opojnoga pića, ni ti ni tvoji sinovi s tobom! Tako nećete poginuti. To je trajan zakon za vaše naraštaje;
“Msinywe mvinyo wala kinywaji kikali, wewe, au wanao wanaobaki pamoja nawe, ili kwamba mtakapoingia kwenye hema ya kukutania msije mkafa. Hii itakuwa amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu,
10 da možete lučiti posvećeno od običnoga, čisto od nečistoga;
ili kupaambanua kati ya mambo matakatifu na mambo ya kawaida, na kati ya najisi na safi,
11 da možete učiti Izraelce svim zakonima što ih je Jahve predao preko Mojsija.”
ili kwamba mweze kuwafundisha watu wa Israeli amri zote ambazo Yahweh ameziamru kwa kinywa cha Musa.
12 Onda Mojsije rekne Aronu i njegovim preživjelim sinovima, Eleazaru i Itamaru: “Uzimajte od žrtve prinosnice što preostaje nakon prinesene žrtve u čast Jahvi paljene i beskvasnu je uza žrtvenik jedite jer je vrlo sveta.
Musa akazungumza na Aroni na wanawe wawili waliosalia; Eliazari naIthamari, Twaeni sadaka ya nafaka inayobaki kutokana na sadaka ifanywayo kwa Yahweh kwa moto, nanyi ileni kando ya madhabahu bila hamiara, kwa kuwa ni takatifu sana.
13 Blagujte je u svetom mjestu, jer to je - tako je meni naređeno - pristojbina tvoja i pristojbina tvojih sinova od žrtava paljenih u čast Jahvi.
lazima mtaila mahali patatifu kwa sababu huo ni mgao wako wewe na mgao wa wanao wa matoleo yaliyofanywa kwa Yahweh kwa moto, kwa kuwa hivi ndivyo limeamriwa niwaambie.
14 A grudi žrtve prikaznice i pleće žrtve podizanice ti i tvoji sinovi i tvoje kćeri s tobom jedite na bilo kojem čistom mjestu. Jer to je dodijeljeno za pristojbinu tebi i tvojim sinovima od izraelskih žrtava pričesnica.
Kile kidari kitikiswacho na lile paja ambalo hutolewa kwa Yahweh, yapasa mzile mahali palipo safi panapokubalika kwa Mungu. Wewe mwenyewe, wanao na binti zako waliopamoja nawe mtakula sehemu hizo, kwa kuwa zimetolewa kuwa mgao wako na mgao wa wanao kutokana na dhabihu ya sadaka ya ushirika wa watu wa Israeli.
15 Pleće žrtve podizanice i grudi žrtve prikaznice što se donose zajedno s lojem, na vatri paljenim - pošto budu prineseni za žrtvu prikaznicu pred Jahvom - neka pripadnu tebi i tvojim sinovima s tobom. To je, kako je Jahve naredio, trajan zakon.”
Lile paja lililotolewa na kidari kilichotikiswa, ni lazima ziletwe pamoja na sadaka ya mafuta iliyofanywa kwa moto, ili kutikiswa mbele za Yahweh. Nazo zitakuwa zako wewe na wanao kuwa mgao wenu daima, kama Yahweh alivyoamru.
16 Potom se Mojsije potanje raspita o jarcu žrtve okajnice. Već je bio spaljen. On se razljuti na Eleazara i Itamara, Aronove preživjele sinove, pa rekne:
Kisha Musa akauliza kuhusu yule mbuzi wa sadaka ya dhambi, naye akagundua kwamba alikuwa ametekezwa kwa moto. Kwa hiyo akawakasirikia Eliazari na Ithamari, wana wa Aroni waliosalia; akawaambia,
17 “Zašto ste jeli žrtvu okajnicu na svetome mjestu? Vrlo ja sveta! To vam je dao Jahve da uklanjate krivnju sa zajednice vršeći nad njom obred pomirenja pred Jahvom.
“Kwa nini hamjaila sadaka ya dhambi katika eneo la hema, kwa kuwa ni takatifu sana, na kwa kuwa Yahweh amishaitoa kwenu ili kuchukua uovu wa kusanyiko, ili kufanya upatanisho kwa aijli yao mbele zake?
18 Budući da krv žrtve nije bila unesena unutar Svetišta, morali ste je blagovati u Svetištu, kako mi je bilo zapovjeđeno.”
Tazama, damu yake haikuletwa ndani ya hema, kwa hiyo iliwapasa kwa hakika kuwa mekwisha ila kwenye eneo la hema, kama nilivyoagiza?
19 Nato će Aron Mojsiju: “Danas su, eto, prinijeli svoju žrtvu okajnicu i svoju žrtvu paljenicu pred Jahvom! Što bi se meni dogodilo da sam ja danas jeo od žrtve okajnice? Bi li to bilo milo Jahvi?”
Kisha Aroni akamjibu Musa, “Tazama, leo walitoa sadaka yao ya dhambi na sadaka ya kuteketezwa mbele za Yahweh, na jambo hili vilevile limetendeka kwangu leo. Ikiwa nimeshakula sadaka ya dhambi leo, Je! Isingekuwa imeshapendeza mbele za Yahweh?”
20 Kad Mojsije to ču, odobri.
Naye Musa aliposikia hivyo, akaridhika.

< Levitski zakonik 10 >