< Tužaljke 5 >
1 Spomeni se, Jahve, što nas je snašlo, pogledaj, vidi sramotu našu!
Kumbuka, Yahweh, yaliyo tutokea na uone aibu yetu.
2 Baština naša pade u ruke strancima, domovi naši pripadoše tuđincima.
Urithi wetu umegeuziwa kwa wageni; nyumba zetu kwa wageni.
3 Siročad smo: oca nemamo, majke su nam kao udovice.
Tumekuwa yatima, bila baba, na mama zetu ni kama wajane.
4 Vodu što pijemo plaćamo novcem, i za drvo valja nam platiti.
Lazima tulipe fedha kwa maji tunayo kunywa, na tulipe fedha kupata mbao zetu.
5 Jaram nam je o vratu, gone nas, iscrpljeni smo, ne daju nam predahnuti.
Hao wanakuja kwetu wamekaribia nyuma yetu; tumechoka na hatuwezi pata mapumziko.
6 Pružamo ruke k Egiptu i Asiriji da se kruha nasitimo.
Tumejitoa kwa Misri na kwa Assiria tupate chakula cha kutosha.
7 Oci naši zgriješiše i više ih nema, a mi nosimo krivice njihove.
Baba zetu walifanya dhambi, na hawapo tena, na tumebeba dhambi zao.
8 Robovi nama zapovijedaju, a nitko da nas izbavi iz ruku njihovih.
Watumwa walitutawala, na hakuna wa kutuokoa na mikono yao.
9 Kruh svoj donosimo izlažući život maču u pustinji.
Tunapata mkate wetu pale tunapo hatarisha maisha, kwasababu ya upanga wa nyikani.
10 Koža nam gori kao peć užarena, ognjicom od plamena gladi.
Ngozi zetu zimekuwa na moto kama jiko kwasababu ya joto la njaa.
11 Oskvrnuli su žene na Sionu i djevice u gradovima judejskim.
Wanawake wanabakwa Sayuni, na mabikra katika mji wa Yuda.
12 Svojim su rukama vješali knezove, ni lica staračka nisu poštivali.
Watoto wa mfalme wamenyongwa na mikono yao, na hakuna heshima inayoonyeshwa kwa wazee.
13 Mladići su nosili žrvnjeve, djeca padala pod bremenom drva.
Wanaume vijana wanalizimishwa kusaga mbegu kwa jiwe la kusagia, na wavulana wanajikwa chini ya vifurushi vya kuni.
14 Starci su ostavili vrata, mladići više ne sviraju na lirama.
Wazee wameacha lango la mji, na vijana wameacha miziki.
15 Radosti nesta iz naših srdaca, naš ples se pretvori u tugovanje.
Furaha ya moyo imekoma na kucheza kwetu kumegeuka kilio.
16 Pao je vijenac s naše glave, jao nama što zgriješismo!
Taji limeanguka kichwani mwetu; ole wetu, kwa kuwa tumetenda dhambi!
17 Evo zašto nam srce boluje, evo zašto nam oči se zastiru:
Kwa kuwa moyo wetu umekuwa unaumwa, na machozi yetu ya fifia, kwa vitu hivi macho yetu yanafifia
18 zato što Gora sionska opustje i po njoj se šuljaju šakali.
maana Mlima Sayuni umelala ukiwa, mbwa wa mitaani wacheza juu yake.
19 Ali ti, Jahve, ostaješ zauvijek, tvoj je prijesto od koljena do koljena.
Lakini wewe, Yahweh, unatawala milele, na utaketi katika kiti chako cha enzi vizazi na vizazi. Kwanini unatusahau milele?
20 Zašto da nas zaboraviš zauvijek, da nas ostaviš za mnoge dane?
Kwanini unatutelekeza kwa siku nyingi?
21 Vrati nas k sebi, Jahve, obratit ćemo se, obnovi dane naše kao što nekoć bijahu.
Turejeshe kwako, Yahweh, na sisi tutarejea. Fanya upya siku zetu kama zilivyo kuwa hapo zamani -
22 Il' nas hoćeš sasvim zabaciti i na nas se beskrajno srditi?
vinginevyo labda uwe umetukataa na una hasira kwetu kupita kiasi.