< Jošua 3 >

1 Urani Jošua i sa svim sinovima Izraelovim krene od Šitima. I stignu do Jordana pa ondje prije prelaza prenoće.
Yoshua aliamka asubuhi na mapema, nao walisafiri kutoka Shitimu. Walifika Yordani, yeye na watu wote wa Israeli, na wakapiga kambi hapo kabla hawajavuka ng'ambo.
2 Poslije tri dana prođu starješine kroz tabor i zapovjede puku:
Baada ya siku tatu, maafisa walienda katika kambi, wakawaagiza watu,
3 “Čim ugledate Kovčeg saveza Jahve, Boga vašega, i svećenike levite koji ga nose, krenite svi sa svoga mjesta i pođite za njim.
“Mtakapoona sanduku la agano la Yahweh Mungu wenu, na makuhani kutoka miongoni mwa Walawi wamelibeba, ni lazima muondoke sehemu hii na kulifuata.
4 Tako ćete znati put kojim vam je ići, jer tim putem još nikada niste išli. Ali između vas i Kovčega neka bude razmak do dvije tisuće lakata. I da mu se niste približili.”
Lazima kuwe na umbali wa dhiraa elfu moja kati yenu na sanduku. Msilisogelee karibu, ili muweze kuiona njia ya kupitia, kwakuwa hamjawahi kupita njia hii kabla.
5 A Jošua zapovjedi narodu: “Posvetite se za sutra, jer će sutra Jahve učiniti čudesa među vama.”
Yoshua akawaambia watu, “Jitakaseni ninyi wenyewe keso, kwa kuwa Yahweh atafanya maajabu miongoni mwenu.”
6 A svećenicima Jošua zapovjedi: “Dignite Kovčeg saveza i nosite ga pred narodom.” I digoše Kovčeg saveza i poniješe ga pred narodom.
Kisha Yoshua akawaambia makuhani, “Chukueni sanduku la agano, na kulipitisha mbele za watu.” Hivyo, wakalichukua sanduku la agano na wakaenda mbele za watu.
7 Jahve reče Jošui: “Danas te počinjem uzvisivati pred očima svega Izraela, neka znaju da sam s tobom kao što bijah s Mojsijem.
Yahweh akamwambia Yoshua, “Siku hii nitakufanya kuwa mtu mkubwa katika macho ya Waisraeli wote. Watajua kuwa kama nilivyokuwa na Musa ndivyo nitakavyokuwa pamoja na wewe.
8 Ti pak zapovjedi svećenicima koji nose Kovčeg saveza:' Kada stignete do voda jordanskih, u Jordanu se samom zaustavite.'”
Utawaamuru makuhani ambao hulibeba sanduku la agano, 'Mtakapofika katika ukingo wa maji ya Yordani, ni lazima msimame katika Mto Yordani.'”
9 Tada reče Jošua Izraelcima: “Priđite i čujte riječi Jahve, Boga svojega.”
Kisha Yoshu akawaambia watu wa Israeli, “Njooni hapa na msikilize maneno ya Yahweh Mungu wenu.
10 I reče Jošua: “Po ovomu ćete spoznati da je među vama Bog živi: on će goniti ispred vas Kanaance, Hetite, Hivijce, Perižane, Girgašane, Amorejce i Jebusejce.
Kwa hili mtajua kwamba Mungu aliye hai yuko miongoni mwenu na kwamba atawaondosha mbele yenu Wakanaani, Wahiti, Wahivi, Waperizi, Wagrigashi, Waamori na Wayebusi.
11 Evo, Kovčeg saveza Gospodara sve zemlje proći će pred vama preko Jordana.
Tazama! Sanduku la agano la Bwana wa nchi yote litavuka mbele yenu katika Yordani.
12 Izaberite odmah dvanaest ljudi iz plemena Izraelovih, po jednoga iz svakoga plemena.
Sasa chagueni wanaume kumi na wawili kutoka katika makabila ya Israeli, mmoja katika kila kabila.
13 Čim stopala svećenika koji nose Kovčeg Jahve, Gospodara sve zemlje, stupe u Jordan, razdijelit će se voda Jordana, i ona što teče odozgo ustavit će se kao nasip.'”
Wakati nyayo za miguu ya makuhani walichukualo sanduku la Yahweh, Bwana wa nchi yote, zitakapogusa maji ya Yordani, maji ya Yordani yatatindika, na hata maji yatiririkayo kutoka juu yatakoma kutiririka nayo yatasimama kama chuguu.
14 Kad je narod krenuo iz svojih šatora da prijeđe preko Jordana, ponesu svećenici Kovčeg saveza pred njim.
Hivyo wakati watu walipotoka ili kuvuka Yordani, makuhani waliobeba sanduku la agano waende mbele ya watu.
15 A kad su nosači Kovčega stigli do Jordana i kada su svećenici koji su nosili Kovčeg zagazili u vodu na obali - a bilo je vrijeme žetve kad se Jordan prelijeva preko svojih obala -
Mara tu wale walichukuao sanduku wakiisha kufika Yordani, na miguu ya watu wale waliobeba sanduku itakapotiwa katika ukingo wa maji (maana sasa Yordani hujaa hadi katika kingo zake zote katika kipindi chote cha mavuno),
16 voda što je tekla odozgo daleko se, poput nasipa, ustavila kod grada Adame, koji se nalazi kraj Sartana; a voda što je otjecala dolje u Arabsko ili Slano more sasvim je otekla i narod je prelazio prema Jerihonu.
maji yote yaliyotiririka kutoka juu yalisimama katika chuguu kimoja. Maji yakakoma kutiririka kutoka katika umbali mrefu. Maji yaliacha kutiririka kutoka Adam, mji ulio karibu na Zarethani, hadi bahari ya Negevu, Bahari ya Chumvi. Na watu walivuka ng'ambo karibu na Yeriko.
17 Svećenici koji su nosili Kovčeg saveza Jahvina stajahu na suhu usred Jordana i prelažaše Izrael po suhu sve dok sav narod ne prijeđe preko rijeke.
Makuhani waliolibeba sanduku la agano la Yahweh walisimama katika nchi kavu katikati ya Yordani mpaka watu wote wa Israeli walipokwisha kuvuka katika nchi kavu.

< Jošua 3 >