< Jošua 18 >

1 Sabrala se zajednica sinova Izraelovih u Šilo, i ondje razapeše Šator sastanka. Sva im se zemlja pokorila.
Kisha kusanyiko lote la watu wa Israeli walikusanyika pamoja hapo Shilo. Walilijenga hema la kukutania hapo na waliishinda nchi mbele yao.
2 Ali ostade među sinovima Izraelovim još sedam plemena koja nisu primila svoje baštine.
Kulikuwa na makabila saba miongoni mwa watu wa Israeli ambayo yalikuwa bado hayajapewa urithi wao.
3 Tada im reče Jošua: “Dokle ćete oklijevati da pođete i zaposjednete zemlju koju vam je dao Jahve, Bog vaših otaca?
Yoshua aliwaambia watu wa Israeli, “Je mtaacha mpaka lini katika kuingia nchi ambayo Yahweh, Mungu wa baba zenu, amewapeni ninyi?
4 Izaberite po tri čovjeka iz svakoga plemena, a ja ću ih poslati da popišu svu zemlju za diobu. Kad se vrate k meni,
Chagueni ninyi wenyewe watu watatu kutoka katika kila kabila, na nitawatuma. Wataenda na kuipeleleza nchi juu na chini. Wataandika maelezo pamoja na maelekezo kuhusu urithi wao, na kisha watarudi kwangu.
5 razdijelit ću zemlju na sedam dijelova. Neka Juda ostane na svome području na jugu, a Josipov dom neka ostane u svome kraju na sjeveru.
Wataigawanya nchi katika sehemu saba. Yuda itasalia katika eneo lao upande wa kusini, na nyumba ya Yusufu itaendelea katika himaya yao katika upande wa kaskazini.
6 A vi raspišite zemlju na sedam dijelova i donesite mi amo da bacim ždrijeb za vas ovdje pred Jahvom, Bogom našim.
Mtaigawanya nchi katika sehemu saba na kisha mtaniletea maelezo hayo hapa kwangu. Nami nitapiga kura kwa ajili yenu hapa mbele za Yahweh Mungu wetu.
7 Leviti neće imati dijela među vama jer je svećeništvo Jahvino njihova baština; a Gad, Ruben i polovina plemena Manašeova primili su svoju baštinu na istočnoj strani Jordana - onu koju im je dao Mojsije, sluga Jahvin.”
Walawi hana sehemu miongoni mwenu, kwa kuwa ukuhani wa Yahweh ni urithi wao. Makabila ya Gadi, Rubeni na nusu ya kabila la Manase wameshapokea urithi wao ng'ambo ya Yordani. Huu ni urithi ambao Musa mtumishi wa Yahweh aliwapa wao.
8 Spreme se ti ljudi na put, a Jošua zapovjedi onima koji su pošli popisati zemlju: “Idite i obiđite svu zemlju i opišite je, pa se onda vratite k meni da bacim ždrijeb ovdje pred Jahvom u Šilu.”
Hivyo, watu waliinuka na wakaenda. Yoshua akawaamuru wale walioenda kuandika maelezo ya nchi, akisema, “Pandeni juu na mshuke chini katika nchi na andikeni maelezo kuhusu nchi na kisha mrejee kwangu. Nitapiga kura kwa ajili yenu hapa mbele za Yahweh huko Shilo.
9 Odoše oni ljudi, prođoše zemljom i u knjigu popisaše sve gradove u sedam dijelova, pa se vratiše k Jošui u tabor u Šilu.
Watu walienda na walitembea juu na chini katika nchi na wakaandika maelezo kuihusu nchi hiyo juu ya gombo kwa miji yake katika sehemu saba, kwa kutaja miji, kila mmoja katika sehemu moja. Kisha wakarudi kwa Yoshua katika kambi huko Shilo.
10 A Jošua baci za njih ždrijeb u Šilu pred Jahvom i ondje razdijeli Jošua zemlju sinovima Izraelovim po njihovim dijelovima plemenskim.
Kisha Yoshua akapiga kura kwa ajili yao huko Shilo mbele za Yahweh. Na hapo Yoshua akaigawa nchi kwa watu wa Israeli, kila kabila lilipewa sehemu ya nchi.
11 I pade ždrijeb na pleme sinova Benjaminovih po njihovim porodicama: utvrdi se da je njihov dio između dijela sinova Judinih i sinova Josipovih.
Katika kabila la Benyamini, ugawanaji wa nchi ulifanyika kwa kupewa kwa koo zao. Eneo la nchi waliyopewa lilikuwa kati ya wazawa wa Yuda na wazawa wa Yusufu.
12 Sjeverna im se međa protezala od Jordana te išla uza sjeverni obronak Jerihona, uspinjala se sa zapada na goru i završavala se u pustinji Bet-Avenu.
Katika upande wa kusini, mpaka wao ulianzia katika Yordani. Mpaka ulipanda hata sehemu ya juu kaskazini mwa Yeriko, na kisha ukapita katikati ya nchi ya milima upande wa magharibi. Huko ukafika hadi nyika ya Bethi Aveni.
13 Odatle je išla k Luzu, k južnom obronku Luza, to jest Betela; spuštala se zatim u Atrot-Adar, kraj brda koje je južno od Donjeg Bet-Horona.
Kutoka hapo mpaka ulipita upande wa kusini katika mwelekeo wa Luzi (sehemu ile ile inayoitwa Betheli). Kisha mpaka ukashuka chini hata Atarothi Adda, karibu na mlima uliolekea kusini mwa Bethi Horoni.
14 Međa se dalje savijala i okretala sa zapada prema jugu, od gore koja se diže nasuprot Bet-Horonu s juga, i svršavala se kod Kirjat Baala, danas Kirjat Jearima, grada sinova Judinih. To je zapadna strana.
Kisha mpaka ukaendelea upande mwingine: katika upande wa magharibi uligeukia upande wa kusini, ulienda mbele kuukabili mlima ulio ng'ambo ya Bethi Horoni. Mpaka huu ulikomea huko Kiriathi Baali ( ambao ndio Kiriathi Yearimu), mji ambao ulikuwa ni wa kabila la Yuda. Na huu ndio ulikuwa ni mpaka katika upande wa magharibi.
15 Južna se strana počinjala od granice Kirjat Jearima, pa se pružala na zapad k vrelu Neftoahu;
Katika upande wa kusini, mpaka ulianzia nje tu ya Kiriathi Yearimu. Mpaka uliendelea kutoka Efroni hata chemichemi ya maji ya Neftoa.
16 potom se spuštala međa do kraja gore koja je prema dolini Ben-Hinomu, na sjeveru refaimske nizine, silazila zatim u dolinu Hinom uz Jebusejski obronak i dosegla do izvora Rogela.
Kisha mpaka ulishuka chini hadi mpaka wa mlima ambao ulikuwa mkabala ya bonde la Beni Hinomu, ambalo lililokuwa katika upande wa kaskazini mwishoni mwa bonde la Refaimu. Kisha ulishuka chini kuelekea bonde la Hinomu, sehemu ya kusini mwa mteremko wa Wayebusi, na uliendelea kushuka chini hadi Eni Rogeli.
17 Zatim se savijala od sjevera te izlazila na En-Šemeš i doticala Gelilot, koji se diže prema Adumimskom usponu, i silazila na Kamen Bohana, sina Rubenova.
Ulizunguka upande wa kaskazini, kuelekea mwelekeo wa Eni Shemeshi, na kutoka hapa ulienda hadi Gelilothi, ambao ulikuwa mkabala na mwinuko wa Adumimu. Kisha ulishuka chini kuelekea Jiwe la Bohani mwana wa Rubeni.
18 Prolazila je zatim obronkom sa sjeverne strane prema Bet-Haarabi i silazila do Arabe.
Ulipita kuelekea upande wa kaskazini wa bega la Bethi Araba na chini kuelekea Araba.
19 Dalje je tekla međa uz obronak Bet-Hogle prema sjeveru i svršavala se na sjevernom Jeziku Slanog mora, do južnog kraja Jordana. To je južna međa.
Mpaka ulipita hadi upande wa bega la kaskazini la Bethi Hogla. Mpaka ulikome katika ghuba ya kaskazini mwa Bahari ya Chumvi, katika upande wa kusini mwishoni mwa Yordani. Huu ulikuwa ni mpaka wa upande wa kusini.
20 Jordan je pak bio međa s istočne strane. To je baština sinova Benjaminovih, s njihovim međama unaokolo po porodicama njihovim.
Yordani ulikuwa mpaka wake katika upande wa mashariki. Na huu ulikuwa ni urithi wa kabila la Benyamini, na walipewa kwa kila ukoo wao, mpaka baada ya mpaka, kwa kuizunguka nchi yote.
21 Gradovi plemena sinova Benjaminovih po porodicama njihovim jesu: Jerihon, Bet-Hogla, Emek Kesis;
Kwa hiyo sasa miji ya kabila la Benyamini kufuatana na koo zao ilikuwa ni Yeriko,
22 Bet-Haaraba, Samarajim, Betel;
Bethi Hogla, Emeki Kezizi, Bethi Araba, Zemaraimu, Betheli,
23 Avim, Para, Ofra;
Avimu, Para, Ofra,
24 Kefar Haamona, Ofni i Gaba: dvanaest gradova s njihovim selima.
Kefari Amoni, Ofini, na Geba. Ilikuwa ni miji kumi na miwili, pamoja na vijiji vyake.
25 Gibeon, Rama, Beerot;
Kulikuwa pia na miji ya Gibeoni, Rama, Beerothi,
26 Mispe, Kefira i Mosa;
Mizpe, Kefira, Moza,
27 Rekem, Jirpeel, Tarala;
Rekemu, Iripeeli, Tarala,
28 Sela Haelef, Jebus (to je Jeruzalem), Gibat i Kirjat: četrnaest gradova s njihovim selima. To je baština sinova Benjaminovih po porodicama njihovim.
Zela, Haelefu, Yebusi (ambao ndio Yerusalemu), Gibea, na Kiriathi. Kulikuwa na miji kumi na nne, pamoja na vijiji vyake. Huu ulikuwa ni urithi wa Benyamini kufuatana na koo zao.

< Jošua 18 >