< Job 9 >

1 Job progovori i reče:
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 “Zaista, dobro ja znadem da je tako: kako da pred Bogom čovjek ima pravo?
“kweli najua kwamba ndivyo hivyo. Lakini ni kwa namna gani mtu anakuwa na haki kwa Mungu?
3 Ako bi se tkogod htio prÓeti s njime, odvratio mu ne bi ni jednom od tisuću.
Kama akitaka kujibishana na Mungu, hatamjibu yeye mara moja katika elfu zaidi.
4 Srcem on je mudar, a snagom svesilan, i tko bi se njemu nekažnjeno opro?
Mungu ni mwenye hekima moyoni na ukuu katika nguvu; ni nani daima aliyejifanya mwenyewe kuwa mgumu dhidi yake na akafanikiwa? -
5 On brda premješta, a ona to ne znaju, u jarosti svojoj on ih preokreće.
ambaye huiondoa milima bila kumtahadharisha yeyote wakati akiipindua katika hasira zake -
6 Pokreće on zemlju sa njezina mjesta, iz temelja njene potresa stupove.
ambaye huitikisa nchi itoke mahali pake na mihimili yake hutikisika.
7 Kad zaprijeti suncu, ono se ne rađa, on pečatom svojim i zvijezde pečati.
Ni Mungu yule yule ambaye huliamuru jua lisichomoze, nalo halichomozi, na ambaye huzihifadhi nyota,
8 Jedini on je nebesa razapeo i pučinom morskom samo on hodao.
ambaye peke yake ni mwenye kupanua mbingu na kuyatuliza mawimbi ya bahari,
9 Stvorio je Medvjede i Oriona, Vlašiće i zvijezđa na južnome nebu.
ambaye huumba Dubu, Orioni, kilima, na makundi ya nyota ya kusini.
10 Tvorac on je djela silnih, nepojmljivih čudesa koja se izbrojit' ne mogu.
Ni Mungu yule yule atendaye mambo makuu, mambo yasiyofahamika - hasa, mambo ya ajabu yasiyohesabika.
11 Ide pored mene, a ja ga ne vidim; evo, on prolazi - ja ga ne opažam.
Tazama, huenda karibu nami, na siwezi kumuona yeye; pia hupita kwenda mbele, lakini ni simtambue.
12 Ugrabi li što, tko će mu to priječit, i tko ga pitat smije: 'Što si učinio?'
Kama akichukua kitu chochote, nani atamzuia? Nani awezaye kumuuliza, 'unafanya nini?'
13 Bog silni srdžbu svoju ne opoziva: pred njim poniču saveznici Rahaba.
Mungu hataondoa hasira yake; wamsaidiao Rahabu huinama chini yake.
14 Pa kako onda da njemu odgovorim, koju riječ da protiv njega izaberem?
Je ni upungufu kiasi gani mimi nitamjibu, je nichague maneno kuhojiana naye?
15 I da sam u pravu, odvratio ne bih, u suca svojega milost bih molio.
Hata kama ni mwenye haki, nisingelimjibu; ningeomba msamaha tu kwa hukumu yangu.
16 A kad bi se na zov moj i odazvao, vjerovao ne bih da on glas moj sluša.
Hata kama ningelimwita na yeye akanitikia, nisingeamini kuwa ameisikia sauti yangu.
17 Jer, za dlaku jednu on mene satire, bez razloga moje rane umnožava.
kwa kuwa yeye anidhoofishaye kwa dhoruba na kuyaongeza majeraha yangu pasipo sababu.
18 Ni časa jednoga predahnut' mi ne da, nego mene svakom gorčinom napaja!
Yeye hataki hata kuniruhusu nipate kuvuta pumzi; badala yake, hunijaza uchungu.
19 Ako je na snagu - tÓa on je najjači! Ako je na pravdu - tko će njega na sud?
Kama ni habari ya nguvu, tazama! yeye ni mwenye uwezo! Kama ni habari ya haki, ni nani atakaye mhukumu?
20 Da sam i prav, usta bi me osudila, da sam i nevin, zlim bi me proglasila.
Ingawa ni mwenye haki, kinywa changu mwenyewe kitanihukumu; na ingawa ni mtakatifu, maneno yangu yatashuhudia kuwa ni mwenye kosa.
21 A jesam li nevin? Ni sam ne znam više, moj je život meni sasvim omrzao!
Mimi ni mtakatifu, lakini siijali zaidi nafsi yangu; Naudharau uhai wangu mwenyewe.
22 Jer, to je svejedno; i zato ja kažem: nevina i grešnika on dokončava.
Haileti tofauti yoyote, kwa sababu hiyo nasema kwamba yeye huangamiza watu wasio na makosa na waovu pia.
23 I bič smrtni kad bi odjednom ubijo ... ali on se ruga nevolji nevinih.
Kama hilo pigo likiua ghafla, yeye atafurahi mateso yake mtu asiye na kosa.
24 U zemlji predanoj u šake zlikovaca, on oči sucima njezinim zastire. Ako on to nije, tko je drugi onda?
Dunia imetiwa mkononi mwa watu waovu; Mungu hufunika nyuso za waamuzi wake. kama si yeye hufanya, ni nani basi?
25 Od skoroteče su brži moji dani, bježe daleko, nigdje dobra ne videć.'
Siku zangu zinapita haraka kuliko tarishi akimbiae; siku zangu zinakimbia mbali; wala hazioni mema mahali popote.
26 K'o čamci od rogoza hitro promiču, k'o orao na plijen kada se zaleti.
Zinapita kama mashua zilizoundwa kwa mafunjo ziendazo kwa kasi, na zinakasi kama tai ashukaye upesi katika mawindo yake.
27 Kažem li: zaboravit ću jadikovku, razvedrit ću lice i veseo biti,
Kama ni kisema kwamba mimi nitasahau kuhusu manung'uniko yangu, kwamba nitaacha kuonyesha sura ya huzuni na kuwa na furaha,
28 od mojih me muka groza obuzima, jer znadem da me ti ne držiš nevinim.
Mimi nitaziogopa huzuni zangu zote kwa sababu nafahamu kuwa hutanihesabu kuwa sina hatia.
29 Ako li sam grešan, tÓa čemu onda da zalud mučim sebe.
Nitahukumiwa; kwa nini, basi, nitaabike bure?
30 Kad bih i sniježnicom sebe ja isprao, kad bih i lugom ruke svoje umio,
Kama najiosha mwenyewe kwa maji ya theluji na kuitakasa mikono yangu na kuwa safi zaidi,
31 u veću bi me nečist opet gurnuo, i moje bi me se gnušale haljine!
Mungu atanitumbukiza shimoni, na nguo zangu mwenyewe zitanichukia.
32 Nije čovjek k'o ja da se s njime pravdam i na sud da idem s njim se parničiti.
Kwa kuwa Mungu si mtu, kama mimi, kwamba naweza kumjibu, hata tukaribiane katika hukumu.
33 Niti kakva suca ima među nama da ruke svoje stavi na nas dvojicu,
Hakuna hakimu baina yetu awezaye kuweka mkono wake juu yetu sote.
34 da šibu njegovu od mene odmakne, da užas njegov mene više ne plaši!
Hakuna hakimu mwingine ambaye anaweza kuniondolea fimbo ya Mungu, awezaye kuzuia kitisho chake kisinitie hofu. kisha ningesema na nisimuogope.
35 Govorit ću ipak bez ikakva straha, jer ja nisam takav u svojim očima!
Lakini kama mambo yalivyo sasa, sitaweza kufanya hivyo.

< Job 9 >