< Job 6 >
1 A Job progovori i reče:
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 “O, kad bi se jad moj izmjeriti mog'o, a nevolje moje stavit' na tezulju!
“Oo, laiti maumivu yangu makubwa yangepimwa; laiti misiba yangu yote mikubwa ingewekwa kwenye mizani!
3 Teže one jesu od sveg pijeska morskog, i stoga mi riječi zastraniti znaju.
Kwa kuwa sasa ungekuwa mzito kuliko mchanga wa baharini. Kwa sababu hiyo maneno yangu yamekuwa ya haraka.
4 Strijele Svesilnoga u mojem su mesu, ljuti otrov njihov ispija mi dušu, Božje se strahote oborile na me.
Kwa kuwa mishale ya Mwenyezi ipo ndani yangu, moyo wangu umelewa sumu; Vitisho vya Mungu vimejipanga vyenyewe dhidi yangu.
5 TÓa, kraj svježe trave njače li magarac, muče li goveče kraj punih jasala?
Je punda mwitu hulia akiwa na malisho? Au ng'ombe huwa dhaifu wakati wa njaa ambapo anachakula?
6 Zar hranu bljutavu jedemo bez soli? Zar kakove slasti ima u bjelancu?
Je inawezekana kitu kisicho na ladha kulika bila chumvi? Au kuna radha yoyote katika ute mweupe wa yai?
7 Al' ono što mi se gadilo dotaći, to mi je sada sva hrana u bolesti.
Nakataa kuvigusa; kwangu mimi vinafanana na chakula kichukizacho.
8 O, da bi se molba moja uslišala, da mi Bog ispuni ono čem se nadam!
Oo, kama nigeweza kupata haja yangu; oo, kama Mungu angeridhia jambo nilitamanilo sana:
9 O, kada bi me Bog uništiti htio, kada bi mahnuo rukom da me satre!
kama Mungu ingempendeza kuniangamiza mara moja, kwamba angeulegeza mkono wake na kuyakatilia mbali maisha yangu!
10 Za mene bi prava utjeha to bila, klicati bih mog'o u mukama teškim što se ne protivljah odluci Svetoga.
Hii ingeweza kuwa faraja yangu hata sasa - hata kama nafurahia sana maumivu yasiyopungua: kwa kuwa sikuyakana maneno yake Mtakatifu.
11 Zar snage imam da mogu čekati? Radi kakve svrhe da ja duže živim?
Nguvu yangu ni ipi, hata nijaribu kusubiri? Mwisho wangu ni upi, utakao refusha maisha yangu?
12 Zar je snaga moja k'o snaga kamena, zar je tijelo moje od mjedi liveno?
Je nguvu zangu ni nguvu za mawe? Au mwili wangu umeumbwa kwa shaba nyeusi?
13 Na što se u sebi osloniti mogu? Zar mi svaka pomoć nije uskraćena?
Je si kweli kwamba sina msaada ndani yangu, na kwamba hekima imeondolewa mbali nami?
14 Tko odbija milost bližnjemu svojemu, prezreo je strah od Boga Svesilnoga.
Kwa mtu ambaye yu karibu kuzirai, inapasa uaminifu uonyeshwe na rafiki zake; hata kwake yeye aachaye kumcha Mwenyezi.
15 Kao potok me iznevjeriše braća, kao bujice zimske svoje korito.
Lakini ndugu zangu wamekuwa waaminifu kwangu kama mkondo wa maji jangwani, mfano wa mifereji ya maji ipitayo mpaka pasipo kitu,
16 Od leda mutne vode im se nadimlju, 'bujaju od snijega što se topit' stao;
ambayo imekuwa mieusi kwa sababu ya barafu juu yake, na kwa sababu ya theluji ambayo hujificha yenyewe ndani yake.
17 al u doba sušno naskoro presahnu, od žege ishlape tada iz korita.
Wakati zikiyeyuka, hutoweka; kukiwa na joto, hutoweka mahali hapo.
18 Karavane zbog njih skreću sa putova, u pustinju zađu i u njoj se gube.
Misafara ambayo husafiri kwa njia yao hugeuka na maji; huzurura jangwani na kisha hupotea.
19 Karavane temske očima ih traže, putnici iz Šebe nadaju se njima.
Misafara kutoka Tema huitazama, wakati majeshi ya Sheba huitarajia.
20 A kad do njih dođu, nađu se u čudu, jer su se u nadi svojoj prevarili.
Wamevunjika moyo kwa sababu walitumaini kupata maji. Wakaenda huko, lakini walidanganywa.
21 U ovom ste času i vi meni takvi: vidjeste strahotu pa se preplašiste.
Kwa sasa ninyi rafiki si kitu kwangu; mmeona hali yangu ya kutisha nanyi mwaogopa.
22 Rekoh li vam možda: 'Darujte mi štogod, poklonite nešto od svojega blaga;
Je nilisema kwenu, 'Nipeni kitu furani?' Au, 'nitoleeni zawadi katika mali zenu?'
23 iz šake dušmanske izbavite mene, oslobodite me silnikova jarma?'
Au, 'Niokoeni toka mkononi mwa mtesi wangu?' Au, 'Nitoleeni fidia kwa watesi wangu?'
24 Vi me poučite, pa ću ušutjeti, u čem je moj prijestup, pokažite meni.
Nifundishe, nami nitaishika amani yangu; nifanye nifahamu wapi nilipokosea.
25 O, kako su snažne besjede iskrene! Al' kamo to vaši smjeraju prijekori?
Jinsi gani maneno ya kweli yanavyo umiza! Lakini hoja zenu, jee hasa zimenionya nini mimi?
26 Mislite li možda prekoriti riječi? TÓa u vjetar ide govor očajnikov!
Je mnapanga kuyakemea maneno yangu, mnayachukulia maneno ya mtu mwenye kukata tamaa sawa na upepo?
27 Nad sirotom kocku zar biste bacali i sa prijateljem trgovali svojim?
Hasa, mna piga kura kwa ajili ya yatima, na kupatana bei juu ya rafiki yenu kama bidhaa.
28 U oči me sada dobro pogledajte, paz'te neću li vam slagati u lice.
Sasa, kwa sababu hiyo, tafadhari nitazame, kwa hakika sitasema uongo usoni penu.
29 Povucite riječ! Kakve li nepravde! Povucite riječ, neporočan ja sam!
Rudini, nawasihi; lisiwepo neno la uonevu na nyinyi; Hasa, rudini, sababu zangu ni za haki.
30 Zar pakosti ima na usnama mojim? Zar nesreću svaku okusio nisam?
Je mna uovu ulimini mwangu? Je kinywa changu hakiwezi kungundua madhara?