< Job 40 >

1 I Jahve se obrati Jobu i reče mu:
Bwana akamwambia Ayubu:
2 “Zar će se s Jakim preti još kudilac? Tužitelj Božji nek' sam odgovori!”
“Je, mwenye kushindana na Mwenyezi aweza kumsahihisha? Mwenye kumlaumu Mungu na ajibu.”
3 A Job odgovori Jahvi i reče:
Ndipo Ayubu akamjibu Bwana:
4 “Odveć sam malen: što da odgovorim? Rukom ću svoja zatisnuti usta.
“Mimi sistahili kabisa: ninawezaje kukujibu wewe? Nauweka mkono wangu juu ya kinywa changu.
5 Riječ rekoh - neću više započeti; rekoh dvije - al' neću nastaviti.”
Nimesema mara moja, lakini sina jibu; naam, nimesema mara mbili, lakini sitasema tena.”
6 Nato Jahve odgovori Jobu iz oluje i reče:
Ndipo Bwana akasema na Ayubu kutoka upepo wa kisulisuli:
7 “Bokove svoje opaši k'o junak, ja ću te pitat', a ti me pouči.
“Jikaze kama mwanaume; nitakuuliza maswali, nawe yakupasa unijibu.
8 Zar bi i moj sud pogaziti htio, okrivio me da sebe opravdaš?
“Je, utabatilisha hukumu yangu? Utanilaumu mimi ili kujihesabia haki mwenyewe?
9 Zar ti mišica snagu Božju ima, zar glasom grmjet' možeš poput njega?
Je, una mkono kama wa Mungu, nawe waweza kutoa sauti ya ngurumo kama yake?
10 Ogrni se sjajem i veličanstvom, dostojanstvom se odjeni i slavom.
Basi jivike mwenyewe utukufu na fahari, nawe uvae heshima na enzi.
11 Plani dÓe bijesom ognja jarosnoga, pogledom jednim snizi oholnika.
Fungulia ukali wa ghadhabu yako, mtafute kila mwenye kiburi umshushe,
12 Ponositoga pogledaj, slomi ga, na mjestu satri svakoga zlikovca.
mwangalie kila mtu mwenye kiburi na umnyenyekeze, waponde waovu mahali wasimamapo.
13 U zemlju sve njih zajedno zakopaj, u mračnu ih pozatvaraj tamnicu.
Wazike wote mavumbini pamoja; wafunge nyuso zao kaburini.
14 Tada ću i ja tebi odat' hvalu što si se svojom desnicom spasio.
Ndipo mimi mwenyewe nitakukubalia kuwa mkono wako mwenyewe wa kuume unaweza kukuokoa.
15 A sada, dÓe promotri Behemota! Travom se hrani poput govečeta,
“Mwangalie mnyama aitwaye Behemothi, niliyemuumba kama nilivyokuumba wewe, anayekula majani kama ngʼombe.
16 u bedrima je, gle, snaga njegova, a krepkost mu u mišićju trbušnom.
Tazama basi nguvu alizo nazo kwenye viuno vyake, uwezo alio nao kwenye misuli ya tumbo lake!
17 Poput cedra rep podignut ukruti, sva su mu stegna ispreplele žile.
Mkia wake hutikisika kama mwerezi; mishipa ya mapaja yake imesukwa pamoja.
18 Mjedene cijevi kosti su njegove, zglobovi mu od željeza kvrge.
Mifupa yake ni bomba za shaba, maungo yake ni kama fito za chuma.
19 Prvenac on je Božjega stvaranja; mačem ga je naoružao tvorac.
Yeye ni wa kwanza miongoni mwa kazi za Mungu, lakini Muumba wake anaweza kumsogelea kwa upanga wake.
20 Gore mu danak u hrani donose i sve zvijerje što po njima se igra.
Vilima humletea yeye mazao yake, nao wanyama wote wa porini hucheza karibu naye.
21 Pod lotosom on zavaljen počiva, guštik močvarni i glib kriju ga.
Hulala chini ya mimea ya yungiyungi, katika maficho ya matete kwenye matope.
22 Sjenu mu pravi lotosovo lišće, pod vrbama on hladuje potočnim.
Hiyo mimea ya yungiyungi humficha kwenye vivuli vyake; miti mirefu karibu na kijito humzunguka.
23 Nabuja li rijeka, on ne strahuje: nimalo njega ne bi zabrinulo da mu u žvale i sav Jordan jurne.
Wakati mto ufurikapo, yeye hapati mshtuko wa hofu; yeye yu salama, hata kama Yordani ingefurika hadi kwenye kinywa chake.
24 Tko bi za oči uhvatio njega i tko bi mu nos sulicom probio?
Je, mtu yeyote anaweza kumkamata yeye akiwa macho, au kumnasa kwa mtego na kutoboa pua yake?

< Job 40 >