< Job 37 >
1 Da, od toga i moje srce drhti i s mjesta svoga iskočiti hoće.
Hakika, moyo wangu hutetemeka kwa hili; umeondolewa kutoka katika sehemu yake.
2 Čujte, čujte gromor glasa njegova, tutnjavu što mu iz usta izlazi.
Sikia, Ee, Sikia kelele za sauti yake, sauti inayotoka katika mdomo wake.
3 Gle, munja lijeće preko cijelog neba - i sijevne blijesak s kraja na kraj zemlje -
Huiagiza sauti chini ya mbingu yote, na huutuma mwanga wake katika mipaka ya dunia.
4 iza nje silan jedan glas se ori: to On gromori glasom veličajnim. Munje mu lete, nitko ih ne priječi, tek što mu je glas jednom odjeknuo.
Sauti huunguruma baada yake; yeye huunguruma kwa sauti ya ukuu wake; hauzuii mshindo wa mwanga wakati sauti yake inaposikika.
5 Da, Bog gromori glasom veličajnim, djela velebna, neshvatljiva stvara.
Mungu huunguruma kwa sauti yake kwa namna ya ajabu; yeye hufanya mambo makubwa ambayo sisi hatuwezi kuyafahamu.
6 Kad snijegu kaže: 'Zasniježi po zemlji!' i pljuskovima: 'Zapljuštite silno!'
Kwa kuwa huiambia theluji, 'Angukeni juu ya dunia'; hali kadhalika kwa manyunyu ya mvua, 'Iweni manyunyu makubwa ya mvua.'
7 svakom čovjeku zapečati ruke da svi njegovo upoznaju djelo.
Huuzuia mkono wa kila mtu usifanye kazi, ili kwamba watu wote aliowaumba wataona matendo yake.
8 U brlog se tad zvijeri sve uvuku i na svojem se šćućure ležaju.
Kisha hayawani huenda na kujificha na kukaa katika mapango yake.
9 S južne se strane podiže oluja, a studen vjetri sjeverni donose.
Dhoruba hutoka katika chumba chake upande wa kusini na baridi kutoka katika pepo zilizotawanyika katika upande wa Kaskazini.
10 Već led od daha Božjega nastaje i vodena se kruti površina.
Barafu imetolewa kwa pumzi ya Mungu; upana wa maji umeganda kama chuma.
11 I opet vodom puni on oblake, i sijevat' stanu oblaci munjama;
Hakika, huyapima mawingu manene yenye unyevu; yeye huusambaza mwanga wake katika mawingu.
12 kruže posvuda po volji njegovoj, što im naloži, to će izvršiti na licu cijelog kruga zemaljskoga.
Yeye huyazungusha mawingu kwa uongozi wake, ili yafanye chochote anayoyaagiza juu ya uso wote wa ulimwengu.
13 Šalje ih - ili da kazni narode, ili da ih milosrđem obdari.
Huyafanya haya yote yatokee; wakati mwingine hutokea kwa ajili ya kusahihisha, wakati mwingine kwa ajili ya nchi yake, na wakati mwingine ni kwa matendo ya agano la uaminifu.
14 Poslušaj ovo, Jobe, umiri se i promotri djela Božja čudesna.
Yasikilize haya, Ayubu; acha na ufikiri juu matendo ya ajabu ya Mungu.
15 Znaš li kako Bog njima zapovijeda, kako munju iz oblaka svog pušta?
Je unajua ni kwa namna gani Mungu hushurutisha mawingu na kuufanya mwanga wa radi ung'ae ndani yake?
16 Znaš li o čem vise gore oblaci? Čudesna to su znanja savršenog.
Je unafahamu kuelea kwa mawingu, matendo ya ajabu ya Mungu, Je ni nani aliyemkamilifu katika maarifa?
17 Kako ti gore od žege haljine u južnom vjetru kad zemlja obamre?
Je unafahamu ni kwa jinsi gani mavazi yako huwa ya moto wakati nchi ikiwa imetulia kwasababu ya upepo unaotoka upande wa kusini?
18 Zar si nebesa s njim ti razapeo, čvrsta poput ogledala livenog?
Je unaweza kulitandaza anga kama anavyofanya - anga ambalo lina nguvu kama kioo cha chuma kigumu?
19 DÓe naputi me što da mu kažemo: zbog tmine se ne snalazimo više.
Tufundishe sisi kile tunachopaswa kumwambia yeye, kwa kuwa hatuwezi kutoa hoja zetu katika mpangilio kwasababu ya kiza katika akili zetu.
20 Zar ćeš mu reći: 'Hoću govoriti'? Ili na propast vlastitu pristati?
Je anapaswa kuambiwa kwamba ninapenda kuongea naye? Je mtu angependa kumezwa?
21 Tko, dakle, može u svjetlost gledati na nebesima što se sja blistavo kada oblake rastjeraju vjetri?
Sasa, watu hawawezi kulitazama jua wakati linang'aa katika anga baada ya upepo kupita katikati yake na umelisafisha kwa mawingu yake.
22 Sa sjevera k'o zlato je bljesnulo: veličanstvom strašnim Bog se odjenu!
Kutoka upande wa kaskazini hutokea fahari ya dhahabu - juu ya Mungu kuna ukuu wa kutisha.
23 Da, Svesilnog doseći ne možemo, neizmjeran je u moći i sudu, velik u pravdi, nikog on ne tlači.
Na kuhusu Mwenye nguvu, hatuwezi kumpata; yeye ni mkuu katika nguvu na haki. Yeye hatesi watu.
24 Zato ljudi svi neka ga se boje! Na mudrost oholu on i ne gleda!”
Hivyo basi, watu humwogopa. Yeye huwa hawajali wale ambao ni wenye hekima katika akili zao wenyewe.”