< Job 36 >

1 Elihu nastavi i reče:
Elihu akaendelea kusema:
2 “Strpi se malo, pa ću te poučit', jer još nisam sve rekao za Boga.
“Nivumilie kidogo zaidi nami nitakuonyesha kwamba yako mengi zaidi ya kusemwa kwa ajili ya Mungu.
3 Izdaleka ću svoje iznijet' znanje da Stvoritelja svojega opravdam.
Ninayapata maarifa yangu kutoka mbali, nami nitamhesabia haki Muumba wangu.
4 Zaista, za laž ne znaju mi riječi, uza te je čovjek znanjem savršen.
Uwe na hakika kwamba maneno yangu si ya uongo; mmoja aliye mkamilifu katika maarifa yuko pamoja na wewe.
5 Gle, Bog je silan, ali ne prezire, silan je snagom razuma svojega.
“Mungu ni mwenye nguvu, lakini hamdharau mwanadamu; ni mwenye nguvu, naye ni thabiti katika shauri lake.
6 Opakome on živjeti ne daje, nevoljnicima pravicu pribavlja.
Hawaachi waovu waendelee kuishi, bali huwapa walioteswa haki yao.
7 S pravednika on očiju ne skida, na prijestolje ih diže uz kraljeve da bi dovijeka bili uzvišeni.
Yeye haondoi macho yake kwa wenye haki; huwaketisha penye viti vya enzi pamoja na wafalme na kuwatukuza milele.
8 Ako su negvam' oni okovani i užetima nevolje sputani,
Lakini ikiwa watu wamefungwa kwenye minyororo, wakiwa wameshikiliwa na kamba za mateso,
9 djela njihova on im napominje, kazuje im grijeh njine oholosti.
huwaonyesha yale waliyoyatenda, kwamba wametenda dhambi kwa majivuno.
10 Tad im otvara uho k opomeni i poziva ih da se zla okane.
Huwafanya wao kusikia maonyo, na huwaagiza kutubu uovu wao.
11 Poslušaju li te mu se pokore, dani im završavaju u sreći, u užicima godine njihove.
Kama wakitii na kumtumikia, wataishi siku zao zilizobaki katika mafanikio, na miaka yao katika utoshelevu.
12 Ne slušaju li, od koplja umiru, zaglave, sami ne znajući kako.
Lakini wasiposikiliza, wataangamia kwa upanga, nao watakufa pasipo maarifa.
13 A srca opaka mržnju njeguju, ne ištu pomoć kad ih on okuje;
“Wasiomcha Mungu moyoni mwao huficha chuki; hata anapowafunga, hawamwombi msaada.
14 u cvatu svoga dječaštva umiru i venu poput hramskih milosnika.
Wanakufa wangali vijana, miongoni mwa wanaume hanithi wa mahali pa kuabudia miungu.
15 Nevoljnog on bijedom njegovom spasava i u nesreći otvara mu oči:
Bali wao wanaoteseka huwaokoa katika mateso yao, na kuzungumza nao katika dhiki zao.
16 izbavit će te iz ždrijela tjeskobe k prostranstvima bezgraničnim izvesti, k prepunu stolu mesa pretiloga.
“Yeye anakubembeleza utoke katika mataya ya dhiki, ili kukuweka mahali palipo na nafasi mbali na kizuizi, hadi kwenye meza yako ya faraja iliyojaa vyakula vizuri.
17 Ako sudio nisi opakima, ako si pravo krnjio siroti,
Lakini sasa umelemewa na hukumu kwa ajili ya uovu; hukumu na haki vimekukamata.
18 nek' te obilje odsad ne zavede i nek' te dar prebogat ne iskvari.
Uwe mwangalifu ili yeyote asikushawishi kwa utajiri; usipotoshwe kwa fungu kubwa la rushwa.
19 Nek' ti je gavan k'o čovjek bez zlata, a čovjek jake ruke poput slaba.
Je, utajiri wako hata nguvu zako nyingi vinaweza kukusaidia usiingie kwenye dhiki?
20 Ne goni one koji su ti tuđi da rodbinu na njino mjesto staviš.
Usiutamani usiku uje, ili uwaburute watu mbali na nyumba zao.
21 Pazi se da u nepravdu ne skreneš, jer zbog nje snađe tebe iskušenje.
Jihadhari usigeukie uovu, ambao unaupenda zaidi kuliko mateso.
22 Gle, uzvišen je Bog u svojoj snazi! Zar učitelja ima poput njega?
“Mungu ametukuzwa katika nguvu zake. Ni nani aliye mwalimu kama yeye?
23 Tko je njemu put njegov odredio? Tko će mu reći: 'Radio si krivo'?
Ni nani aliyemwelekeza katika njia zake, au kumwambia, ‘Wewe umetenda yasiyo sawa’?
24 Spomeni se veličati mu djelo što ga pjesmama ljudi opjevaše.
Kumbuka kuzitukuza kazi zake, ambazo watu wamezisifu katika wimbo.
25 S udivljenjem svijet čitav ga promatra, divi se čovjek, pa ma izdaleka.
Wanadamu wote wameiona; watu wanaikazia macho kwa mbali.
26 Veći je Bog no što pojmit' možemo, nedokučiv je broj ljeta njegovih!
Tazama jinsi Mungu alivyo mkuu, kupita ufahamu wetu! Hesabu ya miaka yake haitafutiki.
27 U visini on skuplja kapi vode te dažd u paru i maglu pretvara.
“Yeye huvuta juu matone ya maji, ayachujayo kama mvua kutoka kwenye vijito;
28 Pljuskovi tada pljušte iz oblaka, po mnoštvu ljudskom dažde obilato.
mawingu huangusha chini maji yake, nayo mvua nyingi huwanyeshea wanadamu.
29 Tko li će shvatit' širenje oblaka, tutnjavu strašnu njegovih šatora?
Ni nani ajuaye jinsi ayatandazavyo mawingu, jinsi angurumavyo kutoka hemani mwake.
30 Gle, on nad sobom razastire svjetlost i dno morsko on vodama pokriva.
Tazama jinsi anavyotandaza umeme wa radi kumzunguka, naye huvifunika vilindi vya bahari.
31 Pomoću njih on podiže narode, u izobilju hranom ih dariva.
Hivi ndivyo atawalavyo mataifa, na kuwapa chakula kwa wingi.
32 On munju drži objema rukama i kazuje joj kamo će zgoditi.
Huujaza mkono wake kwa umeme wa radi, na kuuagiza kulenga shabaha yake.
33 Glasom gromovnim sebe navješćuje, stiže s gnjevom da zgromi opačinu.
Ngurumo zake hutangaza dhoruba inayokuja; hata mifugo hujulisha kukaribia kwake.

< Job 36 >