< Job 30 >

1 “A sada, gle, podruguju se mnome ljudi po ljetima mlađi od mene kojih oce ne bih bio metnuo ni s ovčarskim psima stada svojega.
Sasa vijana wananidhihaki - vijana ambao baba zao wasingeweza hata kuwahudumia mbwa wa kundi langu.
2 Ta što će mi jakost ruku njihovih kad im muževna ponestane snaga ispijena glađu i oskudicom.
Kwa kweli, nguvu za mikono ya baba zao, zingenisaidia nini - watu ambao hawakuwa na nguvu wakati wa kukua kwao?
3 Glodali su u pustinji korijenje i čestar opustjelih ruševina.
Walidhoofishwa na umasikini na njaa; walisaga nchi kavu mafichoni.
4 Lobodu su i s grmlja lišće brali, kao kruh jeli korijenje žukino.
Walichuma mche chumvi na majani ya vichaka; mizizi ya mti wa ufagio ilikuwa ndiyo chakula chao.
5 Od društva ljudskog oni su prognani, za njima viču k'o za lopovima.
Waliondolewa miongoni mwa watu waliopiga kelele nyuma yao kama ambavyo mtu angempigia kelele mwizi.
6 Živjeli su po strašnim jarugama, po spiljama i u raspuklinama.
Hivyo walipaswa kuishi katika mabonde ya mto, katika mashimo ya ardhi na miamba.
7 Urlik im se iz šikarja dizao; po trnjacima ležahu stisnuti.
Walilia kwa uchungu porini kama punda; chini ya vichaka walikutana.
8 Sinovi bezvrijednih, soj bezimenih, bičevima su iz zemlje prognani.
Walikuwa uzao wa wapumbavu, hakika, wa watu wasiofaa; waliondolewa duniani kama waarifu.
9 Rugalicom sam postao takvima i njima sada služim kao priča!
Lakini sasa, nimekua sababu ya wimbo wa dhihaka kwa wana wao; hakika, nimekuwa mzaa kwao.
10 Gnušaju me se i bježe od mene, ne ustežu se pljunut' mi u lice.
Wananichukia na kusimama mbali nami; hawaachi kunitemea usoni.
11 I jer On luk mi slomi i satrije me, iz usta svojih izbaciše uzdu.
Kwa maana Mungu ameondoa kamba katika upinde wangu na amenipiga, na hivyo watu hawa wanashindwa kujizuia mbele yangu.
12 S desne moje strane rulja ustaje, noge moje u bijeg oni tjeraju, put propasti prema meni nasiplju.
Kundi la vijana wabaya wanashambulia nguvu zangu; wananiondolea mbali na kukusanya kinyume changu rundo la kuhusuru.
13 Stazu mi ruše da bi me satrli, napadaju i ne brani im nitko,
Wanaharibu maisha yangu; wanapeleka mbele maangamizi yangu, watu wasio na wakuwazuia.
14 prolomom oni širokim naviru i kotrljaju se poput oluje.
Wanakuja kinyume changu kama jeshi katika tundu pana katika ukuta wa mji; katikati ya maangamizi wanajizungusha juu yangu.
15 Strahote sve se okreću na mene, mojeg ugleda kao vjetra nesta, poput oblaka iščeznu spasenje.
Hofu zimeniandama; heshima yangu imeondolewa mbali nami kama kwa upepo; mafanikio yangu yameondolewa kama wingu.
16 Duša se moja rasipa u meni, dani nevolje na me se srušili.
Sasa uhai wangu umeondolewa ndani yangu; siku nyingi za maumivu zimenipita.
17 Noću probada bolest kosti moje, ne počivaju boli što me glođu.
Mifupa inauma ndani yangu wakati wa usiku; maumivu yanayonisaga hayaishi.
18 Muka mi je i halju nagrdila i stegla me k'o ovratnik odjeće.
Nguvu kuu ya Mungu imeshika mavazi yangu; yananizunguka kama kala ya vazi langu.
19 U blato me je oborila dolje, gle, postao sam k'o prah i pepeo.
Amenitupa matopeni; nimekuwa kama vumbi na majivu.
20 K Tebi vičem, al' Ti ne odgovaraš; pred Tobom stojim, al' Ti i ne mariš.
Nakulilia wewe, Mungu, lakini haunijibu; ninasimama, nawe unaniangalia tu.
21 Prema meni postao si okrutan; rukom preteškom na me se obaraš.
Umegeuka na kuwa mkali kwangu; kwa nguvu za mkono wako umenitesa.
22 U vihor me dižeš, nosiš me njime, u vrtlogu me olujnom kovitlaš.
Unaniinua katika upepo na kuufanya unikokote; unanirusha huku na kule katika dhoruba.
23 Da, znadem da si me smrti predao, saborištu zajedničkom svih živih.
Kwa maana najua ya kwamba utanipeleka mautini, nyumba ya hatima kwa viumbe vyote.
24 Al' ne pruža li ruku utopljenik, ne viče li kad padne u nevolju?
Lakini, je hakuna ainuaye mkono wake kuomba msaada aangukapo? Je hakuna aombaye msaada akiwa tabuni?
25 Ne zaplakah li nad nevoljnicima, ne sažalje mi duša siromaha?
Je sikulia kwa ajili yake aliyekuwa tabuni? Je sijahuzunika kwa ajili ya mwitaji?
26 Sreći se nadah, a dođe nesreća; svjetlost čekah, a gle, zavi me tama.
Nilipotazamia mema, ndipo yalipokuja mabaya; niliposubiri nuru, giza lilikuja badala yake.
27 Utroba vri u meni bez prestanka, svaki dan nove patnje mi donosi.
Moyo wangu umetaabika na hautulii; siku za mateso zimenipata.
28 Smrknut idem, al' nitko me ne tješi; ustajem u zboru - da bih kriknuo.
Nimekuwa na ngozi nyeusi lakini si kwa sababu ya jua; nasimama katika kusanyiko na kulilia msaada.
29 Sa šakalima sam se zbratimio i nojevima postao sam drugom.
Nimekuwa ndugu kwa mbwea, mshirika wa mbuni.
30 Na meni sva je koža pocrnjela, i kosti mi je sažgala ognjica.
Ngozi yangu imekuwa nyeusi na inapukutika; mifupa yangu imeunguzwa na joto.
31 Tužaljka mi je ugodila harfu, svirala mi glas narikača ima.
Kwa hiyo kinubi changu kimefunguliwa kwa nyimbo za maombolezo, zomari yangu kwa kuimba kwao waombolezao.

< Job 30 >