< Job 26 >
2 “Kako dobro znadeš pomoći nemoćnom i mišicu iznemoglu poduprijeti!
“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo! Jinsi ulivyouokoa mkono ulio dhaifu!
3 Kako dobar savjet daješ neukome; baš si preveliku mudrost pokazao.
Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima? Nayo ni busara gani kubwa uliyoonyesha!
4 Kome li si ove uputio riječi i koji duh je iz tebe govorio?”
Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo? Nayo ni roho ya nani iliyosema kutoka kinywani mwako?
5 Pred Bogom mrtvi pod zemljom dolje strepe, vode morske dršću i nemani njine.
“Wafu wako katika maumivu makuu, wale walio chini ya maji na wale waishio ndani yake.
6 Pred njegovim okom otkriven zja Šeol i bezdan smrti nema vela na sebi. (Sheol )
Mauti iko wazi mbele za Mungu; Uharibifu haukufunikwa. (Sheol )
7 On povrh praznine Sjever razapinje, on drži zemlju o ništa obješenu.
Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu; naye huiningʼiniza dunia mahali pasipo na kitu.
8 On zatvara vodu u svoje oblake, a oblaci se pod njome ne prodiru.
Huyafungia maji kwenye mawingu yake, hata hivyo mawingu hayapasuki kwa uzito wake.
9 On zastire puno lice mjesečevo razastirući svoj oblak preko njega.
Huufunika uso wa mwezi mpevu, akitandaza mawingu juu yake.
10 On je na vodi označio kružnicu gdje prestaje svjetlost i tmine počinju.
Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji, ameweka mpaka wa nuru na giza.
11 Svodu se nebeskom potresu stupovi i premru od straha kada on zaprijeti.
Nguzo za mbingu nazo zatetemeka, zinatishika anapozikemea.
12 Svojom je snagom on ukrotio more i neman Rahaba smrvio mudrošću.
Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari; kwa hekima yake alimkata Rahabu vipande vipande.
13 Nebesa je svojim razbistrio dahom, a ruka mu je brzu zmiju probola.
Aliisafisha anga kwa pumzi yake; kwa mkono wake alimchoma joka aendaye mbio.
14 Sve to samo djelić je djela njegovih, od kojih tek slabu jeku mi čujemo. Ali tko će shvatit' grom njegove moći?”
Haya ni mambo madogo tu katika matendo yake; tazama jinsi ulivyo mdogo mnongʼono tunaousikia kumhusu! Ni nani basi awezaye kuelewa ngurumo za nguvu zake?”