< Job 10 >

1 Kad mi je duši život omrznuo, nek' mi tužaljka poteče slobodno, zborit ću u gorčini duše svoje.
“Nayachukia sana haya maisha yangu; kwa hiyo nitatoa malalamiko yangu kwa wazi bila kujizuia, nami nitanena kutokana na uchungu wa moyo wangu.
2 Reću ću Bogu: Nemoj me osudit! Kaži mi zašto se na me obaraš.
Nitamwambia Mungu: Usinihukumu, bali niambie una mashtaka gani dhidi yangu.
3 TÓa što od toga imaš da me tlačiš, da djelo ruku svojih zabacuješ, da pomažeš namjerama opakih?
Je, inakupendeza wewe kunionea, kuikataa kwa dharau kazi ya mikono yako, huku wewe ukitabasamu juu ya mipango ya waovu?
4 Jesu li u tebe oči tjelesne? Zar ti vidiš kao što čovjek vidi?
Je, wewe una macho ya kimwili? Je, wewe huona kama mwanadamu aonavyo?
5 Zar su ti dani k'o dani smrtnika a kao ljudski vijek tvoje godine?
Je, siku zako ni kama zile za mwanadamu, au miaka yako ni kama ile ya mtu,
6 Zbog čega krivnju moju istražuješ i grijehe moje hoćeš razotkriti,
ili kwamba utafute makosa yangu na kuichunguza dhambi yangu;
7 kad znadeš dobro da sam nedužan, da ruci tvojoj izmaknut ne mogu?
ingawa wajua kuwa mimi sina hatia, na hakuna awezaye kunitoa mkononi mwako?
8 Tvoje me ruke sazdaše, stvoriše, zašto da me sada opet raščiniš!
“Mikono yako ndiyo iliyoniumba na kunifanya. Je, sasa utageuka na kuniangamiza?
9 Sjeti se, k'o glinu si me sazdao i u prah ćeš me ponovo vratiti.
Kumbuka kuwa ulinifinyanga kama udongo wa mfinyanzi. Je, sasa utanifanya kuwa mavumbi tena?
10 Nisi li mene k'o mlijeko ulio i učinio da se k'o sir zgrušam?
Je, wewe hukunimimina mimi kama maziwa, na kunigandisha kama jibini,
11 Kožom si me i mesom odjenuo, kostima si me spleo i žilama.
ukanivika ngozi na nyama, na kuniunga pamoja kwa mifupa na mishipa?
12 S milošću si mi život darovao, brižljivo si nad mojim bdio dahom.
Umenipa uhai na kunitendea wema, katika uangalizi wako umeilinda roho yangu.
13 Al' u svom srcu ovo si sakrio, znam da je tvoja to bila namjera:
“Lakini hili ndilo ulilolificha moyoni mwako, nami ninajua kuwa hili lilikuwa katika nia yako:
14 da paziš budno hoću li zgriješiti i da mi grijeh ne prođe nekažnjeno.
Kama nilifanya dhambi, ungekuwa umeniona, wala usingeacha kosa langu lipite bila kuadhibiwa.
15 Ako sam grešan, onda teško meni, ako li sam prav, glavu ne smijem dići - shrvan sramotom, nesrećom napojen!
Kama nina hatia, ole wangu! Hata kama ningekuwa sina hatia, siwezi kukiinua kichwa changu, kwa kuwa nimejawa na aibu, na kuzama katika mateso yangu.
16 Ispravim li se, k'o lav me nagoniš, snagu svoju okušavaš na meni,
Kama nikiinua kichwa changu juu, unaninyatia kama simba, na kuonyesha tena uwezo wa kutisha dhidi yangu.
17 optužbe nove na mene podižeš, jarošću većom na mene usplamtiš i sa svježim se četama obaraš.
Wewe waleta mashahidi wapya dhidi yangu na kuzidisha hasira yako juu yangu; nazo nguvu zako zinanijia wimbi moja baada ya jingine.
18 Iz utrobe što si me izvukao? O, što ne umrijeh: vidjeli me ne bi,
“Kwa nini basi ulinitoa tumboni? Ninatamani ningekufa kabla jicho lolote halijaniona.
19 bio bih k'o da me ni bilo nije, iz utrobe u grob bi me stavili.
Laiti nisingekuwako kamwe, au ningekuwa nimechukuliwa moja kwa moja kutoka tumboni kwenda kaburini!
20 Mog su života dani tako kratki! Pusti me da se još malo veselim
Je, siku zangu chache si zimekaribia kuisha? Niachie ili niweze kupata muda mfupi wa kufurahi
21 prije nego ću na put bez povratka, u zemlju tame, zemlju sjene smrtne,
kabla sijaenda mahali ambapo hakuna kurudi tena, katika nchi ya giza na uvuli wa mauti,
22 u zemlju tmine guste i meteža, gdje je svjetlost slična noći najcrnjoj.”
nchi ya giza kuu sana, yenye uvuli wa giza na machafuko, mahali ambapo hata nuru ni giza.”

< Job 10 >