< Jeremija 43 >

1 Kad je Jeremija svemu narodu kazao sve riječi Jahve, Boga njihova, sve one riječi radi kojih ga je Jahve, Bog njihov, k njima poslao,
Ilitokea kwamba Yeremia alimaliza kuhubiri kwa watu wote maneno yote ya Yahwe Mungu wao kwamba Yahwe Mungu wao alimwambia kusema.
2 Azarja, sin Hošajin, i Johanan, sin Kareahov, i svi oni drski ljudi odgovoriše Jeremiji: “Laži nam govoriš. Nije te poslao Jahve da nam govoriš: 'Ne idite u Egipat da se ondje nastanite',
Azaria mwana wa Hoshaia, Yonathani mwana wa Karea, na watu wenye kiburi walisema kwa Yeremia, “Unasema uongo. Yahwe Mungu wetu hajakutuma wewe kusema, 'Usiende Misri kuishi huko.'
3 nego Baruh, sin Nerijin, podgovori te da nas predaš u ruke Kaldejcima koji će nas pogubiti ili odvesti u sužanjstvo babilonsko!”
Kwa kuwa Baruku mwana wa Neria anakuchochea dhidi yetu kututoa sisi kwenye mkono wa Wakaldayo, kwa kuwa wewe umesababisha kifo chetu na kutufanya sisi mateka huko Babeli.”
4 I Johanan, sin Kareahov, i svi zapovjednici i sav narod ne poslušaše glasa Jahvina da ostanu u zemlji judejskoj.
Basi Yonathani mwana wa Karea, wakuu wa jeshi, na watu wote walikataa kusikiliza sauti ya Yahwe kuishi kwenye nchi ya Yuda.
5 Nego Johanan, sin Kareahov, i vojni zapovjednici povedoše sav ostatak Judin, one što se vratiše iz zemalja kamo bijahu izagnani, da se nastane u zemlji judejskoj:
Yonathani mwana wa Karea na amri jeshi wote waliwachukua mabaki wa Yuda ambao walikuwa wamerudi kutoka mataifa yote ambapo walikuwa wametawanyika kuishi katika nchi ya Yuda.
6 muževe, žene i djecu i sve kraljevske kćeri i sve ljude koje je Nebuzaradan, zapovjednik tjelesne straže, ostavio kod Gedalije, sina Šafanova sina Ahikama, pa i proroka Jeremiju, i Baruha, sina Nerijina,
Waliwachukua wanaume na wanawake, watoto na mabinti wa mfalme, na kila mtu ambaye Nebuzaradani, nahodha wa walinzi wa mfalme, waliruhusu kubaki pamoja na Gedali mwana wa Ahikam mwana wa Shafan. Pia walimchukua Yeremia nabii na Baruku mwana wa Neria.
7 te se oni iseliše u Egipat, jer ne slušahu glasa Jahvina. I tako dođoše u Tafnis.
Walienda nchi ya Misri, kwa Tahpanhesi, kwa sababu hawakusikiliza sauti ya Yahwe.
8 U Tafnisu dođe riječ Jahvina Jeremiji:
Basi neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia huko Tahpanhesi na kusema,
9 “Uzmi u ruke velikoga kamenja i ugradi ga, pred svim Judejcima, meljtom u pločnik što je pred ulazom u faraonov dvor.
“Chukua mawe makubwa mkononi mwako, na, kwenye macho ya watu wa Yuda, yafiche kwenye chokaa kwenye njia ya kuingia katika nyumba ya Farao huko Tahpanhesi.
10 I reci im: Ovako govori Jahve nad Vojskama, kralj Izraelov: 'Evo šaljem po slugu svojega Nabukodonozora, kralja babilonskoga. On će postaviti prijestolje na ovo kamenje što sam ga ugradio i nad njim će razapeti svoju nebnicu.
Kisha wakasema nao, “Yahwe wa majeshi, Mungu wa Israel, asema hivi, 'Ona, nimekaribia kutuma wajumbe kumchukua Nebukadreza mfalme wa Babeli kama mtumwa wangu. Nitaweka kiti cha enzi juu ya mawe haya ambayo wewe, Yeremia, umeyazika. Nebukadreza ataweka banda lake juu yao.
11 Da, doći će i udarit će na zemlju egipatsku: Tko je za smrt, u smrt! Tko za izgnanstvo, u izgnanstvo! Tko za mač, pod mač!
Kwa kuwa atakuja na kuvamia nchi ya Misri. Yeyote aliyeandikiwa kufa atakufa. Yeyote aliyeandikiwa mateka atachukuliwa mateka. Na yeyote aliyeandikiwa kwa upanga atakufa kwa upanga.
12 On će vatrom sažeći hramove bogova egipatskih, spalit će i izagnati bogove, očistit će zemlju egipatsku kao što pastir svoj plašt otrijebi od buha. I onda će, nesmetan, odavde otići.
Kisha nitawasha moto katika mahekalu ya miungu ya Misri. Nebukadreza atawachoma na kuwashika. Atasafisha nchi ya Misri kama wachungaji wanavyosafisha wanyama waharibio nguo zao. Ataenda nje kutoka eneo hilo kwa ushindi.
13 Porazbijat će spomenike hrama Sunca koji je u Heliopolu, a hramove bogova egipatskih ognjem će spaliti.'”
Atavunja nguzo za mawe huko Heliopolisi kwenye nchi ya Misri. Atachoma mahekalu ya miungu ya Misri.”

< Jeremija 43 >