< Izaija 4 >

1 I sedam će se žena jagmiti za jednoga čovjeka - u dan onaj: “Svoj ćemo kruh jesti,” reći će, “i u halje se svoje oblačiti, daj nam samo da tvoje nosimo ime, skini sa nas svu sramotu našu.”
Katika siku ile wanawake saba watamshika mwanaume mmoja wakisema, “Tutakula chakula chetu wenyewe na kuvaa nguo zetu wenyewe, ila wewe uturuhusu tu tuitwe kwa jina lako. Utuondolee aibu yetu!”
2 U onaj će dan izdanak Jahvin biti na diku i na slavu, a plod zemlje na ponos i ures spašenima u Izraelu.
Katika siku ile Tawi la Bwana litakuwa zuri na lenye utukufu, nalo tunda la nchi litakuwa fahari na utukufu wa wale Waisraeli watakaonusurika.
3 Koji ostanu na Sionu i prežive u Jeruzalemu, zvat će se “sveti” i bit će upisani da u Jeruzalemu žive.
Wale watakaoachwa Sayuni, watakaobaki Yerusalemu, wataitwa watakatifu, wale wote ambao wameorodheshwa miongoni mwa walio hai huko Yerusalemu.
4 Kad Gospod spere ljagu kćeri sionskih i obriše s Jeruzalema krv prolivenu dahom suda i dahom što spaljuje,
Bwana atausafisha uchafu wa wanawake wa Sayuni, atatakasa madoa ya damu kutoka Yerusalemu kwa Roho ya hukumu na Roho ya moto.
5 sazdat će Jahve nad svom Gorom sionskom i nad svima što ondje budu zborovali oblak s dimom danju, a noću sjaj ognja žarkoga. Jer, vrh svega Slava će biti zaklon
Kisha Bwana ataumba juu ya Mlima wote wa Sayuni, na juu ya wale wote wanaokusanyika hapo, wingu la moshi wakati wa mchana, na kungʼaa kwa miali ya moto wakati wa usiku, nako juu ya huo utukufu wote kutatanda kifuniko cha ulinzi.
6 i sjenica da zasjenjuje danju od pripeke, štit i utočište od pljuska i oluje.
Utakuwa sitara na kivuli kutokana na joto la mchana, na kuwa mahali pa kujificha kutokana na dhoruba na mvua.

< Izaija 4 >