< Hošea 7 >

1 Kad hoću Izraela liječiti, otkriva se bezakonje Efrajimovo i zloća Samarije; prijevarom se bave oni: tat u kuću provaljuje, a vani napadaju razbojnici.
Wakati wowote ninapotaka kuponya Israeli, dhambi ya Efraimu inafunuliwa, pamoja na matendo maovu ya Samaria, kwa sababu wanafanya udanganyifu; mwizi huingia, na kundi la wanyang'anyi hushambulia mitaani.
2 I u srcu svome oni ne kažu da ja pamtim svu zlopakost njihovu! Ali djela su ih njihova sad opkolila, pred licem mojim ona stoje.
Hawatambui mioyoni mwao kwamba ninakumbuka matendo yao mabaya. Sasa matendo yao huwazunguka; yapo mbele ya uso wangu.
3 Svojom zloćom razveseljuju kralja, a knezove podlošću svojom.
Kwa sababu ya uovu wao wamemfanya mfalme awe na furaha, na maofisa wao kwa uongo wao.
4 Svi su oni preljubnici, kao peć su ražarena koju pekar više ne potpaljuje kad zamijesi tijesto pa dok ne ukisne.
Wote ni wazinzi, kama tanuru iliyochomwa na mwokaji, ambaye huacha kuuchochea moto tangu kukanda unga mpaka kuwa chachu.
5 U dan kralja našega knezovi obolješe od žestine vina, a on ruku pruža pijanima.
Siku ya mfalme wetu, viongozi walijifanya wagonjwa na ukali wa divai. Alinyoosha mkono wake kwa wale waliokuwa wakidhihaki.
6 U zavjeri srce im se žari poput peći; svu noć njihova jarost drijema, ujutru se razgara k'o plam ognjeni;
kwa mioyo kama tanuri, wao hupanga mipango yao ya udanganyifu. Hasira zao hulala usiku wote; asubuhi huwaka juu kama moto.
7 poput peći svi se raspalili te proždiru svoje suce. Padoše svi njihovi kraljevi, a nijedan od njih zazvao me nije.
Wote wamepata moto kama tanuru, na huwaangamiza wale wanaowatawala. Wafalme wao wote wameanguka; hakuna hata mmoja wao ananiita.
8 Efrajim se miješa s narodima, Efrajim je pogača što je ne prevrnuše.
Efraimu anajichanganya mwenyewe kati ya watu. Efraimu ni mkate ambayo haujawahi kugeuzwa.
9 Tuđinci proždiru snagu njegovu, a on toga i ne zna! Sjedine mu pobijeliše glavu, a on toga i ne zna!
Wageni wamekula nguvu zake, lakini hajui. Nywele za mvi hunyunyiza juu yake, lakini hajui.
10 Naprasitost Izraelova protiv njih samih svjedoči; i oni se ne vraćaju Jahvi, Bogu svome, i uza sve to oni ga ne traže!
Kiburi cha Israeli kinawashuhudia; hata hivyo, hawajarudi kwa Bwana, Mungu wao, wala hawakumtafuta licha ya hayo yote.
11 Efrajim je kao golubica plaha i bez razuma; oni pozivaju Egipat, idu u Asiriju.
Efraimu ni kama njiwa, baradhuli na asiye na busara, humwita kwenda Misri, kisha huruka kwenda Ashuru.
12 Kamo god otišli, na njih ću razapeti svoju mrežu, oborit ću ih kao ptice nebeske, za njihovu ih kazniti zloću.
Wakienda, nitasambaza wavu wangu juu yao, nami nitawaangusha kama ndege wa angani. Nitawaadhibu katika kusonga kwao pamoja.
13 Teško njima jer od mene odbjegoše! Propast na njih jer se pobuniše protiv mene! Otkupit' ih hoću, a oni protiv mene lažu.
Ole wao! Kwa maana wamepotea kutoka kwangu. Uharibifu unawajia! Wao wameasi dhidi yangu! Napenda kuwaokoa, lakini waliongea uongo dhidi yangu.
14 Oni me ne prizivlju iz srca kada kukaju na svojim ležajima; razdiru svoje lice zbog žita i mošta, ali protiv mene se bune.
Wala hawakunililia kwa moyo wao wote, lakini wanaomboleza kwenye vitanda vyao. Wanakusanyika kwa ajili ya nafaka na divai mpya, nao wananiasi mimi.
15 Dok sam im ja mišicu krijepio, oni su zlosti smišljali protiv mene!
Ingawa niliwafundisha na kuimarisha mikono yao, sasa wanapanga mabaya dhidi yangu.
16 Okreću se prema ništavostima, oni su poput varljiva luka. Poradi razbješnjela jezika knezovi će im od mača pasti, bit će im to na ruglo u zemlji egipatskoj!
Wanarudi, lakini harudi kwangu, Niliye Juu. Wao ni kama upinde usiotumainika. Maofisa wao wataanguka kwa upanga kwa sababu ya udhalimu wa vinywa. Hii itakuwa ni aibu yao katika nchi ya Misri.

< Hošea 7 >