< Hošea 6 >

1 “Hajde, vratimo se Jahvi! On je razderao, on će nas iscijeliti: on je udario, on će nam poviti rane;
“Njoo, turudi kwa Bwana. Kwa maana ametuvunja vipande vipande, lakini atatuponya; ametujeruhi, lakini atatufunga majeraha yetu.
2 poslije dva dana oživit će nas, trećeg će nas dana podignuti i mi ćemo živjeti pred njim.
Baada ya siku mbili atatufufua; siku ya tatu atatuinua, na tutaishi mbele yake.
3 Težimo da upoznamo Jahvu: k'o zora pouzdan mu dolazak. On će nam doći poput dažda jesenskog, poput kiše proljetne što natapa zemlju.”
Nasi tumjue Bwana; tukaendelee kumjua Bwana. Kuja kwake ni hakika kama asubuhi; atakuja kwetu kama mvua, kama mvua ya vuli ambayo huinyeshea ardhi.”
4 Što za tebe mogu učiniti, Efrajime? Što za tebe mogu učiniti, Judo? K'o oblak jutarnji ljubav je vaša, k'o rana rosa koje nestaje.
Efuraimu, nikufanyie nini? Yuda, nikufanyie nini? Uaminifu wako ni kama wingu la asubuhi, kama umande unaoondoka mapema.
5 Zato sam ih preko proroka sjekao i ubijao riječima usta svojih; al' sud će tvoj izaći k'o svjetlost.
Kwa hiyo nimewavunja vipande vipande kwa vinywa vya manabii, nimewaua kwa maneno ya kinywa changu. Maagizo yako ni kama nuru inayoangaza.
6 Jer ljubav mi je mila, ne žrtve, poznavanje Boga, ne paljenice.
Kwa maana natamani uaminifu wala si dhabihu, na kumjua Mungu kuliko sadaka za kuteketezwa.
7 Al' oni su kod Adama prekršili Savez i ondje mene iznevjerili.
Kama Adamu wamevunja agano; hawakuwa waaminifu kwangu.
8 Gilead je grad zlikovački, pun krvavih tragova.
Gileadi ni jiji la wahalifu wenye miguu ya damu.
9 Družba je svećenička kao zasjeda razbojnička: ubijaju na šekemskom putu; odista, sramotu počinjaju!
Kama makundi ya wanyang'anyi wanaomngojea mtu, hivyo makuhani hujiunga pamoja kufanya mauaji kwa njia ya Shekemu; wamefanya uhalifu wa aibu.
10 Strahotu vidjeh u domu Izraelovu; Efrajim se ondje bludu odaje i skvrni se Izrael.
Katika nyumba ya Israeli nimeona jambo baya; Uzinzi wa Efraimu ukopale, na Israeli ametiwa unajisi.
11 I tebi sam, Judo, žetvu odredio kad okrenem udes naroda svoga.
Kwa maana wewe, Yuda, mavuno yameteuliwa, nitakaporudisha urithi wa watu wangu.

< Hošea 6 >